Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeowana kwa ndoa ya dini ipi, au mmebebana tu?Faiza mie nataka niombe talaka kwasababu baba watoto,amegoma kulipa Ada,ananambia nilipe Mimi,eti ni mwajiriwa,wakati naye ana kampuni inayomlipa vizuri,na Mimi nilishirikia kuanzisha hiyo kampuni
Nataka niwachukue wanangu,afu kila mtu achukue njia yake,na majina niwabadili niwape ubini wa nyumbani kwetu🙏 FaizaFoxy over to you,mama ushauri.
😂😂🙌Over my dead body
Una uhakika na ulichoandika au umejitungia tu kichwani mwako. Kama una uhakika weka ushahidi
Nakupa mfano wa ndoa zilizokuwepo kabla ya dini ya uislam na ukristo,1.Ndoa ya Yakobo(Israeli) na Lea 2.Ndoa ya Ibrahim(Abraham) na Sara 3.Ndoa ya Isaka na Rebeka,hizo ni ndoa zilikuwepo kabla ya ukristo na uislam na wote hao walikuwa ni waebraniaWeka ushahidi. Yanini uandikie mate na wino upo?
...Inaendelea:...Inaendelea:
"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.
Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.
Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...
Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.
...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
Nzuri, ila huyu mama 😂🙌...Inaendelea:
Mwanangu, kaa chini, relax nikueleze.
Basi binti akakaa, mama akaanza; mwanagu wakati u mjamzito nilimhisi huyu mpenzi wako kaanza kubadilika, nikafikiria, hivi siku akiamuwa asili[pe kodi hapa, tutakwenda wapi? Nikasema ngoja nijitahidi niokowe jahazi.
Nikaanza kumfanyia vitimbi bila wewwe kuhisi. si unajuwa ujauzito wako, miezi mitatu ya mwisho muda mrefu ulikuwa unapumzika?
Nikatumia fursa, kijana akjaa tele, nikamnyima kabisa mchezo lakini nikawa namfanyia mambo na visa vingine nikajuwa huyu hachomoki, mpaka alivyojaa sawasawa, akawa ananiomba utamu mpaka macchozi yanamtoka, nikaona huyu, akipata mijipapa ya Dar haimuwachi, tutamkosa. Nikamwambia "mimi ntakupa na mwanagu unae, na wanawake wengine ntakutafutia, umtakae ntakuletea, kwa sharti moja tu. Uninunulie nyumba.
Nikafanya nnayo yajuwa kijana wako akasema tafuta nyumba haraka sana. Na imi sikufanya ajizi, nikatafuta madalali, madalali hawakuniagusha siku hiyohiyo wakanambia zipo nyumba nyingi tu, pesa zako tu.
basi binti yangu tukaenda kuzitazama nikaipend moja, ingawa ilikuwa ya kubomowa yote lakini nikaona hii imekaa mtaa mzuri na nisicheleweshe, nikamwambia kijana, nyumba imepatikana na bei yake. Akasema mimi ntraamini vipi uliyoyasema, nikamwambia leo hii ntakuonesha, twenda, nikatoka nae nikaenda mpka kwa kina fulani pale, si unajuwa wala walivyo wazuri? Yeye nimemwacha kwenye gari, nikaingia nikaongea wakatoka wawili na mimi mpaka kwenye gari, nikawaambia pandeni tuka Ice cream. Wakapanda tukaenda town, tukala ice cream tukarudi, tukawashusha, nikamwambia kijana sema yupi ulimpenda katika hao, akasewma wote wazyri wanfaa. Nikamwambia hao muda wowote tumalizane la nyumba kwanza, huku namfanyia vituko ndani ya gari. Tunafika hapa kwako chini ananirudisha yupo hpoim akasema kesho tunanunuwa nyumba, kwanza sikuamini.
Siku ya pili si mapema tu kaja tukaenda kununuwa nyumba tena kwa jina langu. Ikabidi na mimi nitimize ahadi yangu lakini sikumpoa mimi, nikaenda kumchukulia ,,oja wa wale mabinti, si unajuwa wale wamezibuka, nikamwambia yule mtiwazimu kijana huyu lakini usimle ukammaliza huyu wangu. WAkanielewa, wakanishusha mimi wao wakaenda na yao.
Kwa ufupi mama hivyo ndivyo tulivyoipata nyumba, lakini kijana wako akawa sas king'ang'anizi, lazima mimi nimepe, nikaona huyu hanijuwi huyu, nikamwambia kwanza mimi siwezi kukupa hapa kwa mwanangu, halafu siendi mahoteli, nitengenezee nyumba ile tuhamie pale utanila mpaka uchoke. Kija hakufanay ajizi, ndiyo zikanza pirika za kuijenga upyta ile nyumba, ndiyo ukaniona nipo busy sikai nyumbani, nilikuwa nahakikisha kila kinaenda sawa, basi miezi mitatu tu nyumba ni ya kuahamia. mtoto kashikilia anatalka mchezo, akijaza fanicha zote ndani. Nikamwambia mimi sifanyi nje mpaka uniowe, ikabidi tukaowane bomani, maana yule baniani.
Kwa hiyo mwanangu, sasa hivi yule ni muwe wangu rasmi na ndiyo maana ukawa hunioni, tumehamia rasmi pale kwangu.
Mwanangu nisamehe sana lakini nimeyafanya yote haya kwa ajili yako, bila hivyo tungetoka kapa.
Kwa ufupi hapo ndiyo kisa kilipoishia, yaliyobaki yakawa ni maisha tu yanaendelea.
Majumba yanaficha siri nzito nzito za mahusiano.
kama unataka kujuwa details zaidi uliza tu.
Yupo mpaka leo na bado ni rafiki mkubwa wa muhindi, kwa utu uzima wake, wana siri zao wenyewe wanajuwana na muhindi ingawa ule uhusiano wa mke na mume ulikwosha zamani sana, nadhani umebaki wa ukuwadi tu., b-Binti nae baadae aliolewa na mume mwengine na anaishi nje ya Dar, kama sikosei ana watoto wanne au watano.Nzuri, ila huyu mama 😂🙌
Nategemea elimu Bora kutoka kwako.Hiyo elimu ya kujamiiana, baadae ntakuja na vipengele vya zipi ni sifa za mwanamme na zipi sifa za mwanamke.
Utanikumbusha nikichelewa sana.
Ndoa ya kwa DC,au haitambuliki?Mmeowana kwa ndoa ya dini ipi, au mmebebana tu?
Kiislam, hicho siyo kigezo cha kudai au kutowa talaka. Pia Kiislam huwezi badili ubini wa mtoto. Labda awe ni mtoto wa nje ya ndoa ambae hana urithi kwa baba kisharia.
Mlioanzisha kampuni mlifata sheria za makampuni na kila mtu anapata "dividends" zake kisheria ya makampuni, au mlifanya kienyeji tu?
Mwezi huu wa ada huwa mgumu sana kwenye majumba. Nikipata majibu ya maswali niliyokuuliza naweza kuja na ushauri mzuri. Sthamili kidogo, usifanye maamuzi ya haraka haraka.
Fires of Rome and Years of the PassoverHistory books gani?
Bible ni library ya vitabu vya historia kama ilivyo Qur'aan, tena bora Bible, its more comprehensive, detailed and humanity friendly kuliko hicho kitabu chenu ambacho Muddy alikuwa kila siku anakifanyia ammendments mara kwa mara, hadi msaidizi wake Abdullah Ibn Sa'd Ibn Abi Sarh ambaye ndo alikuwa scriber wake akamkimbia kwa kuona linguistic errors na Muddy kufanya marekebisho madogomadogo kweny Qur'aan, na huyu ndiye ex-muslim wa kwanza, Muddy kama kawaida yake akaamuru auliwe kokote atakapo patikana.Au bible ndo history book?
Wewe huna akili.Kitabu kilichoandikwa na jopo la maaskofu chini ya uangalizi wa papa?
Bas fanya kimya kimya kama una kimuhe muhe cha kujua.Nimevumilia miaka yote hiyo kwa sababu ya maslahi ya mtoto tu basi, kwa sababu ahitaji tena msaada kwa sasa na ni mtu mzima, naona moyo wataman sana kujua.
Kumsomesha na kumlea sijapoteza fedha hata kidogo, ameniita Baba miaka yote na mie nimemtambua kama mtoto, ni wasiwasi tu ninao.
Cheki kwenye viganja vyako navyake kama vinafanana ni damu yakoMambo magumu haya, Imagine ningemcheki akiwa na 4 years? Chance ni kubwa ni wa kwangu, ila kuna mazingira yalitokea back in 1998 ndo yanafanya niwaze haya
Mkuu ungeeacha tu nahisi harufu ya damu kumwagika haitakuwa na mwisho mzuriKulea ilikuwa wajibu kumpa mtoto maisha, ila nataka tu jua ubaya wa huyu mchaga wangu ninayeishi naye.
Pia kwa miaka ya utu uzima nataka jua, kama ni wa nje, ni nani huyu alikuwa ananyemelea mke wangu?
Cheki kwenye viganja vyako navyake kama vinafanana ni damu yako
[emoji23][emoji23][emoji23] daaah [emoji119] et unawavumilia tu umenifurahisha mkuuYaani jinsi unavoona uislamu ni dini ya uongo, na wao wanauona ukristo hivohivo. Mnatakiwa mvumiliane.
Unadhani wazazi wako wangekua waislamu ungemjua Yesu? Haya mambo tunarithishwa tu
Na ndio ni hadithi, mungu angekuwepo kusingekua na dini 4000+ na mimi nawavumilia ujue
Utakufa kwa cancer ya koo kisa ubataka kumridhisha mwanamke.acha huo ujinga.Je nikweli kwamba MTU unaweza kudumisha ndoa Kama unashuka chumvini Mara kwa Mara.
Tukishuka huko chumvini wanawake wanatuona Kama watu wenye mahaba au wanatuona Kama mabumunda Fulani.
Maulid sio yako, kanzu ya Nini?Utakufa kwa cancer ya koo kisa ubataka kumridhisha mwanamke.acha huo ujinga.
Alisali msikiti gani?Wewe ndio utaarib Uzi maan hii ni open forums lazima tu reply comment yako,
Nabii issa hakuwa mkristo alikuwa mwislam kama sivyo leta ushahidi.