FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

Mbona huweki ushahidi unaishia kutapika ngonjera ulizokaririshwa na papa kupitia taasisi yake?
WE changanua akili yako ya madrassa dini ilioanza miaka 2000 iliopita na dini ilioanza miaka 1445 iliopita ipi kongwe?
Mnafundishwa ujinga sana huko madrasa
Hapo chini ni mwaka jana je mwaka huu? Akili zenu huwa mnaacha nyuma mkienda kusujudu masjid
 

Attachments

  • Screenshot_20240117_211050_Chrome.jpg
    Screenshot_20240117_211050_Chrome.jpg
    101.9 KB · Views: 5
WE changanua akili yako ya madrassa dini ilioanza miaka 2000 iliopita na dini ilioanza miaka 1445 iliopita ipi kongwe?
Mnafundishwa ujinga sana huko madrasa
Hapo chini ni mwaka jana je mwaka huu? Akili zenu huwa mnaacha nyuma mkienda kusujudu masjid
Unaendelea kurudisha matapishi yaleyale...uongo ukiusema mara nyingi haugeuki kuwa ukweli.

Nimekwambia weka ushahidi ukristo ulianza miaka 2000 iliyopita hapa.
Kama huna tulia, kaite wenzako, kaite hata manabii wako huenda wakamuuliza Yesu majibu.
 
Nilihisi mtoto wangu wa kwanza si wangu, ila nilivumilia tu nikiwa na lengo la kumsomesha mpaka amalize chuo kikuu ndo niangalie DNA

Kamaliza Chuo kikuu Mwaka jana, bado moyo unaita nikaangalie DNA, je kwa sasa ni sahihi maana mtoto keshamaliza utegemezi?
Achana nayo
 
Back
Top Bottom