FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #161
Siyo "najiona" ndivyo ilivyo, tena "sister do" kweli kweli wa zamani.Porridge break. Nafuatilia uwandishi wako.
Halafu Faiza mbona unajiona mtoto wa mjini Sana?
AlhamduliLlah, nimezaliwa na kulia New Streert Dar enzi nzuri kabisa. Ndoto zote za "utoto wa mjini" nimezitimiza. Kama kusafiri ndani na nje ya Tanzania ni wachache sana humu wanaoweza kufikia japo robo yake.