FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

Vijana hapa wanauliza wewe ni mzaramo, mluguru, mmakonde au mndengereko?

Vijana hapa wanauliza wewe ni mzaramo, mluguru, mmakonde au mndengereko?
Hapa siyo sehemu yake, bofya link hiyo, utapata jibu:

 
FaizaFoxy samahani sana.

Nimekufuatilia comments zako na nyuzi zako huwa naona hauna ile femiminity (qualities or attributes regarded as characteristic of women or girls)

Hata kuna baadhi ya wadau wanasemaga wewe ni mwanamume. Unatuhakikishiaje kuwa wewe kweli ni mwanamke na sio mwanamume?

Si kwa ubaya lakini
Unaanza ubaguzi?

Una haki ya kuamini upendacho, upo huru. Huu uzi haunihusu mimi "personally", nyuzi zinazonihusu "personally" zipo, unataka ya kunitongoza au ya "general knowledge" nikuwekee link?
 
Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?


Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?

Wakiwa mbali everything is fine ...
Nakuja na mambo ya "compatibility" mazito sana, ntayaleta kidogo kidogo, kwa namba. Utafaidika mengi sana.

Kaa mkao wa kula.
 
Kwenye biblia hakuna nabii issa au unamuongelea isaka mtoto wa Ibrahimu?
mambo ya dini general siyo hapa, hapa vifungu vya dini vyenye uhusiano na mada tu.

Hamisheni mjadala wa dini uzi wangu wa "general knowledge" link hiyo chini:


 
Je nikweli kwamba MTU unaweza kudumisha ndoa Kama unashuka chumvini Mara kwa Mara.
Tukishuka huko chumvini wanawake wanatuona Kama watu wenye mahaba au wanatuona Kama mabumunda Fulani.
Hiyo elimu ya kujamiiana, baadae ntakuja na vipengele vya zipi ni sifa za mwanamme na zipi sifa za mwanamke.

Utanikumbusha nikichelewa sana.
 
Hadi leo mahusiano ni fumba la imani hakuna anaejua mahusiano hususani ya kimapenzi ni nini maana kila alieingia na kutoka analia, alie ndani analia, anaetaka kuongia tena nae analia.
Hili hata lingekuwa janga la kitaifa serikali bado ingeshindwa
Nini usichokijuwa? Usifikiri kama wewe hujuwi basi wote hawajuwi.
 
Back
Top Bottom