Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Vizuri kwako ni mama ila kwangu ni bibi.
Napenda hadidhi za FaizaFoxy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri kwako ni mama ila kwangu ni bibi.
Bila shaka mwanaume alihamishia penzi kwa mama mkwe na kaamua kwenda kuishi mbali na pale ndiyo maana akahama.Madame ungemalizia kisa maana naona umeamua kujisema mwenyewe
Naunga mkono hojaNilifahamu watu kama wewe hamkosekani, nikaandika hivi post namba moja. Unaonesha hujasoma au unachokisoma huelewi:
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
...Inaendelea:... Inaendelea:
Basi mama na binti yake wakahamia, maisha yakawa mazuri kabisa, kutoka "kajamba nani" mpaka flat ya Kariakoo ni hatua kubwa sana.
Mimba ikawa inakuwa tena, mtoto ikabidi asimame kazi, ana shida gani ya kazi, na buzi la kidosi lipo pembeni? Maisha yakaendelea mpaka binti akajifunguwa.
Alipojifunguwa binti kukaanza kuwa na mabadiliko kidogo mule ndani, ikawa mama akitoka anachelewa kurudi na kijana wa kihindi ikawa time zake za kuja ni kama zamani lakini ikawa akija haoneshi shauku kubwa sana kwa "girlfriend" wake, sivyo kama ilivyokuwa zamani.
Siku moja mwanawe akamuliiza, "mama mbona siku hizi ukitoka asubuhi hurudi mpaka jioni sana, siyo kawaida yako", mama anamwambia nipo bize mwanangu kuna mambo nayashughulikia, utayajuwa tu ikifika muda wake.
Mambo yakaenda hivyo mpaka kuna siku kama mwaka umeshapita tokjamwahamie, mama akamwambia mwanawe "binti yangu mimi nahama, nimepata kwangu". Mtoto akasangaa, hajawahi kukaa mbali na mama'ke toka azaliwe. Mama akamwambia usiw na wasiwasi nipo hapa hapa Kariakoo mitaa mitatu kutoka hapa, mtoto akamwambia, mama kwanini umekwenda kukodi nyumba na nyumba hii inatutosha? Mama akamwambia sikukodi mwanangu, nimepata nyumba yangu mwenyewe ntakupeleka ukapaone. Ngoja nikapaweke sawa kwanza, wewe kaa na mtoto hapa mimi ntamudu, usijali.
Itaendelea...
...Inaendelea:
"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.
Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.
Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...
Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.
...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
Very interesting...Inaendelea:
"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.
Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.
Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...
Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.
...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
FaizaFoxy ikiendelea unitag...Inaendelea:
"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.
Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.
Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...
Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.
...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
ukweli ni kwamba huna akili ya kushauri mtu kitu chochote zaidi ya dini.Kichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Ukiweka mwendelezo nitag please...Inaendelea:
"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.
Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.
Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...
Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.
...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
Sawa mwanangu wa kwanza
FaizaFoxyUmeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?
Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?
Wakiwa mbali everything is fine ...
SawasawaIn shaa Allah leo hii tunaimalizia. Siyo kisa kirefu, ni umbea wa kijamii. Tukio la kweli.
Please usimfanyie hivyo Kijana,hata ukijua yeye asijue sio kosa lake....ataumia sana najaribu kufikiri at age of 20 niambiwe baba yangu sio baba yangu🤯Ana miaka 23, ikiwa mbaya anatakiwa aweze libeba, ndo maana nimengoja awe matured vizuri, nafikiri, kama sio wangu nimefanya wema mkubwa sana.
Please usimfanyie hivyo Kijana,hata ukijua yeye asijue sio kosa lake....ataumia sana najaribu kufikiri at age of 20 niambiwe baba yangu sio baba yangu🤯
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya watu kuowana.Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?
Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?
Wakiwa mbali everything is fine ...
mnashindwaje Na Nyinyi Kututupia Majini Ya Kikristo Ili Tuombewe Msikitin Maana Sisi Msikitin Tunaswal Tunaondoka Hatuna Muda Wa Kutoa Majini Turushieni Majini Yenu Au Nyinyi Mungu Wenu Hana Elimu Ya Kuwafanya Mfuge MajiniTunayemuabudu tunamjua na ndio maana hayo majini ya kiislamu wanakimbia kuombewa kwa jina la Yesu
Wanapiga kelele eti wanaungua kwa moto
Kamuulize Maimuna, Subihani, Makata na majini yenu mengine watakuambia Mziki wa Yesu ukoje!
Na mimi nikisema uislam uliletwa na waarabu ili kurahisisha biashara ya Utumwa! Hiyo imekaaje...
Aisee,kama unataka Fanya tu kisirisiri piga kimya,,,japo sioni MuhimuMambo magumu haya, Imagine ningemcheki akiwa na 4 years? Chance ni kubwa ni wa kwangu, ila kuna mazingira yalitokea back in 1998 ndo yanafanya niwaze haya