FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

Nimeamka nakutana na Uzi niliokua natamani siku zote uandikwe.. FaizaFoxy tunaomba muendelezo...
Na nyie watu wa Dini mkae Kwa kutulia, sio kila mnapomuona FaizaFoxy mjisogeze kutaka kubishana kuhusu Dini, Leo Kaja na kitu cha tofauti . Nimependa mama let us proceed
Vizuri kwako ni mama ila kwangu ni bibi.

Napenda hadidhi za FaizaFoxy
 
... Inaendelea:

Basi mama na binti yake wakahamia, maisha yakawa mazuri kabisa, kutoka "kajamba nani" mpaka flat ya Kariakoo ni hatua kubwa sana.

Mimba ikawa inakuwa tena, mtoto ikabidi asimame kazi, ana shida gani ya kazi, na buzi la kidosi lipo pembeni? Maisha yakaendelea mpaka binti akajifunguwa.

Alipojifunguwa binti kukaanza kuwa na mabadiliko kidogo mule ndani, ikawa mama akitoka anachelewa kurudi na kijana wa kihindi ikawa time zake za kuja ni kama zamani lakini ikawa akija haoneshi shauku kubwa sana kwa "girlfriend" wake, sivyo kama ilivyokuwa zamani.

Siku moja mwanawe akamuliiza, "mama mbona siku hizi ukitoka asubuhi hurudi mpaka jioni sana, siyo kawaida yako", mama anamwambia nipo bize mwanangu kuna mambo nayashughulikia, utayajuwa tu ikifika muda wake.

Mambo yakaenda hivyo mpaka kuna siku kama mwaka umeshapita tokjamwahamie, mama akamwambia mwanawe "binti yangu mimi nahama, nimepata kwangu". Mtoto akasangaa, hajawahi kukaa mbali na mama'ke toka azaliwe. Mama akamwambia usiw na wasiwasi nipo hapa hapa Kariakoo mitaa mitatu kutoka hapa, mtoto akamwambia, mama kwanini umekwenda kukodi nyumba na nyumba hii inatutosha? Mama akamwambia sikukodi mwanangu, nimepata nyumba yangu mwenyewe ntakupeleka ukapaone. Ngoja nikapaweke sawa kwanza, wewe kaa na mtoto hapa mimi ntamudu, usijali.

Itaendelea...
...Inaendelea:

"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.

Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.

Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...

Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.

...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
 
...Inaendelea:

"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.

Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.

Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...

Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.

...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
...Inaendelea:

"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.

Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.

Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...

Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.

...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
Very interesting
 
...Inaendelea:

"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.

Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.

Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...

Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.

...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
FaizaFoxy ikiendelea unitag
nzuri sana hii
 
Kichwa cha habari kinajieleza.

Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.

Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.

Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.

Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
ukweli ni kwamba huna akili ya kushauri mtu kitu chochote zaidi ya dini.
 
...Inaendelea:

"Haya mkae salama, nadhani sitorudi leo". Hilo la siku zingine kutokurudi mama hata wiki, lilikuwa kawaida kabla hata hawajahamia flat ya Kariakoo, si unajuwa singo mama wa mjini tena bado kijana.

Mambo yakawa yanaendelea hivyo, mama akionekana siku moja, wiki, wiki mbili haonekani, binti nae akawa analea kitoto chake mpaka kinaanza kutembea, siku hiyo mama kaja kwa binti yake akamwambia "mwanangu hapa kwenye flat yako kodi inakwisha karibuni, inabidi ujitayarishe kuhamia nyumbani kwangu, badala ya kuendelea kulipa hapa na mimi nyumba kubwa.

Binti kidogo akastuka, mama kodi hapa sijuwi inakwisha lini na shillingi ngapi, analipa mwenyewe baba...

Itaendelea, In shaa leo tutaimalizia.

...Mama wewe umejuwaje kodi inakwisha?
Ukiweka mwendelezo nitag please
 
Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?


Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?

Wakiwa mbali everything is fine ...
FaizaFoxy
 
Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?


Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?

Wakiwa mbali everything is fine ...
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya watu kuowana.

We are not perfect. Muhimu zaidi ni kufata maadili na mafundisho ya dini zetu kila siku ya maisha yetu.

Kilichobaki katika kesi yako ni kureconcile, ikishindikana mnawachana, kila mmoja anaanza upya.
 
Tunayemuabudu tunamjua na ndio maana hayo majini ya kiislamu wanakimbia kuombewa kwa jina la Yesu
Wanapiga kelele eti wanaungua kwa moto

Kamuulize Maimuna, Subihani, Makata na majini yenu mengine watakuambia Mziki wa Yesu ukoje!

Na mimi nikisema uislam uliletwa na waarabu ili kurahisisha biashara ya Utumwa! Hiyo imekaaje...
mnashindwaje Na Nyinyi Kututupia Majini Ya Kikristo Ili Tuombewe Msikitin Maana Sisi Msikitin Tunaswal Tunaondoka Hatuna Muda Wa Kutoa Majini Turushieni Majini Yenu Au Nyinyi Mungu Wenu Hana Elimu Ya Kuwafanya Mfuge Majini
 
Back
Top Bottom