Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nampenda FaizaFoxy ndugu, nifanyeje?Kichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Kamtongoze, kafunguwa uzi wa kutongozwa tu:Nampenda FaizaFoxy ndugu, nifanyeje?
Tunayemuabudu tunamjua na ndio maana hayo majini ya kiislamu wanakimbia kuombewa kwa jina la YesuUtakuwa unaongelea ukristo, maana ndo
Bottom line, Wakristo wanaabudu wásichokijua Kwasababu wamefichwa ukweli wa Kila kitu kuhusu imani Yao.
Kamtongoze,kafunguwa uzi wa kutongozwa tu:
Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo. Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.www.jamiiforums.com
Lichukulie neno "kuowana" kwa maana yake ya Kiswahili. Huwezi kuoanisha raba na kandambili. Ili iwe jozi ya viatu ni lazima viowane. (compatibility).
👍👏💭🆒Kichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Mke wa mtu saa 9 usiku huu yupo social media amefungua na uzi.
Hivi huko kwenye mafunzo ya dini namna ya kuishi na mume mlienda kusomea ujinga.
NneKwanza kabisa hakikisha unapoowa uwe katika hali ya uchumi wako wa kawaida kabisa, usingoje mpaka ukusanye pesa au ujioneshe kuwa una pesa. Mwanamke inatakiwa muowane ukiwa katika hali duni siyo katika hali nono ya "kula bata".
Pili, muowe kwa vigezo vyake hivi; Kwa uzuri wake, kwa mali zake, kwa nasaba yake na kwa dini yake.
Tatu, hakikisha mnaowana, siyo umemuowa.
Jiepushe kabisa kuzaa nje ya ndoa, uasherati na uzinzi ni uchafu.
Wananchi wote turudi kwenye dini ya asili...Uislam
Umenipa point Aisee! Siku mvaa kobazi akijichanganya siongei sana nampa huu mstari.Utaaribu uzi kwa maudhui ambayo sio yaliyokusudiwa kwenye uzi huu...
Kiumri Ukristo uliutangulia Uislamu (hili hata wewe unajua), ndani ya vitabu vyenye kubeba hizi imani mbili kuna asilimia kadhaa ya kushahabiana kwa mafunzo yake...
Je, kama Uislamu ndio sahihi lakini si Ukristo, iweje kuwe na vinasaba vinavyolingana kwenye maandiko ya imaninzote mbili, iweje imani ya kweli Uislamu(kwa mujibu wako) ikope mafundisho ya imani ya uongo Ukristo (kwa mujibu wako)?
Usijibu chochote kwenye hii post, tafakari kimya kimya
Umeshalea unataka ugundue nn tena,,?Nilihisi mtoto wangu wa kwanza si wangu, ila nilivumilia tu nikiwa na lengo la kumsomesha mpaka amalize chuo kikuu ndo niangalie DNA
Kamaliza Chuo kikuu Mwaka jana, bado moyo unaita nikaangalie DNA, je kwa sasa ni sahihi maana mtoto keshamaliza utegemezi?
THEATRE ARTS! - ASK BBC!Tunayemuabudu tunamjua na ndio maana hayo majini ya kiislamu wanakimbia kuombewa kwa jina la Yesu
Wanapiga kelele eti wanaungua kwa moto
Kamuulize Maimuna, Subihani, Makata na majini yenu mengine watakuambia Mziki wa Yesu ukoje!
Na mimi nikisema uislam uliletwa na waarabu ili kurahisisha biashara ya Utumwa! Hiyo imekaaje...
Akikutongoza huko kwa uzi wa kukutongoza nitag ili nicheke kidogo madam 😁Kamtongoze,kafunguwa uzi wa kutongozwa tu:
Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo. Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.www.jamiiforums.com
Mada yenyewe iko wapi sasa unapoerma tuingieKichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Nafsi huona yasiyo onekana kwa macho. Nenda kapime... Nenda hospital andaa mazingira, ongea na dokta weka kla ktu fresh.... Mchukue kijana usimwambie mnaenda kupma DNA... Fka hospital kwny hatua za upmaj mkiwa na dokta mwambie tumekuja kupma DNA....Tulioana kwa Heshima, nafikiri nitaenda siku sio nyingi.
Nafsi huona yasiyo onekana kwa macho. Nenda kapime... Nenda hospital andaa mazingira, ongea na dokta weka kla ktu fresh.... Mchukue kijana usimwambie mnaenda kupma DNA... Fka hospital kwny hatua za upmaj mkiwa na dokta mwambie tumekuja kupma DNA....