uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Umeshalea unataka ugundue nn tena,,?
Achana na hayo mambo
Kulea ilikuwa wajibu kumpa mtoto maisha, ila nataka tu jua ubaya wa huyu mchaga wangu ninayeishi naye.
Pia kwa miaka ya utu uzima nataka jua, kama ni wa nje, ni nani huyu alikuwa ananyemelea mke wangu?