Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Safar hii yupo serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safar hii yupo serious
Wakigoma. Watadhubutu. Wataondoka before 72hrsWamefukuzwa Rwanda ndani ya saa 72 wawe wameondoka ndani ya Rwanda wakigoma kuondoka ndani ya mda huo watawafanya nini?! PaKa aache mikwara basi
Nauliza wakigoma PaKa atawafanya nini?!Wakigoma. Watadhubutu. Wataondoka before 72hrs
SababuRwanda imefukuza Ubarozi wa DRC ndani ya Masaa 24, pia imetoa Masaa 72 kwa Barozi za Mabeberu ( USA , UFARANSA, UBELGIJI, UINGEREZA, UJERUMANI) na wao waondoke Nchini kwao Kwa Maslahi Mapana ya Warwanda na kukataa Usaliti.
Barua hii ya wazi imetolewa leo tar 24/12/2022.
Tutegemee Makubwa.View attachment 2457088
Hahahaaa!! Nao wanakwepa kukupatia jibu lako.Nauliza wakigoma PaKa atawafanya nini?!
Juzi nimetoka kwenye mizunguko mishale ya saa 6 nikapita njia moja nikakuta Mbwa 8 wanamfuka PaKa mmoja unaambiwa aligombaniwa km mpira wa Kona, walimchuna ngoziHahahaaa!! Nao wanakwepa kukupatia jibu lako.
Hata kinondoni yenyewe yaweza kuwa kubwaKagame Kavimba Kichwa...!
Anasahau Nchi Yake ukubwa wake ni Kama Wilaya K'ndoni.
Aise kwahiyo alitumia fursa duu.#MsasaSports MESSI FAKE ADAIWA KULALA NA WANAWAKE 23....
Mwanaume mmoja Nchini Iran kwa majina Reza Parastesh ambaye anafanana na mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi ametiwa mbaroni kwa kutumia fursa hiyo kulaghai watu hususani Wanawake.
Parastesh ameripotiwa kuwalaghai na kufanya mapenzi na Wanawake 23 akitumia mfanano wake na Messi kuwashawishi.
Kwa habari kemkem za kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha tembelea Msasa Online kila wakati hakika hutopitwa na chochote saa 24.
Mpe kichwa tuSafi sana kagame, unyama mwingi
Mpaka aandike? Vingine tunajiongeza MKUU, mwenye hizo guts za kuwaita Mabeberu alikuw Magufuli, na lile Jiwe la Zimbabwe pekeeDah..! Ripota wetu nawe Pasua Kichwa..! Hasa hapo kwenye Saa 72 ,Aliwaita mabeberu Kweli ..?
'Ametoa Masaa 72 Kwa Mabarozi Wa MABEBERU na Wao Waondoke'..!
DayaspORA wanasemaje..? Maana Wana Nongwa.!
USALITISababu
Hapo watajijua wao.. Hao Diaspora watajijua wenyewe maana hata hapo Rwanda kuna Diaspora wa Nchi nyingine zilizofungashiw viragoDah..! Ripota wetu nawe Pasua Kichwa..! Hasa hapo kwenye Saa 72 ,Aliwaita mabeberu Kweli ..?
'Ametoa Masaa 72 Kwa Mabarozi Wa MABEBERU na Wao Waondoke'..!
DayaspORA wanasemaje..? Maana Wana Nongwa.!
Kagame kamaindi kuhusishwa na Waasi wa M23.. Sas kaona kuna Unafki na UsalitiNaomba ufafanuzi, kuna shida gani Monusco kuextend hiyo contract DRC? Na hapo kwenye kuondoa hizo suspensions kuna shida gani? Sioni hoja hapo..., cha msingi M23 warudi kwao mbwa hao