FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

Status
Not open for further replies.
Ndugu yake GENTAMYCINE mkurya muyango wa mtwara mpakani na Rusumo...

Huyu ndio simba wa africa... aliweza mugabe, ameweza mseveni na wengine...

Na nijambo la kawaida kufukuza balozi, nazani nchi nyingi zimefanya na rwanda sio wa kwanza, kama nina kumbukumbu sawa ata Tz walisha wahi kufanya
 
Dola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.

Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.

Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.

Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China

wazungu wana nini?
Warusi wenyewe kwa asilimia kubwa ni wazungu

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Dola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.

Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.

Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.

Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China

wazungu wana nini?
Sasa kwa nini wasiungane wamuangushe?
 
Sasa kwa nini wasiungane wamuangushe?
Kwasababu hawajawashiana vilivyo, na mzungu ndio anaweka vikwazo.

Ndio sababu marekani hatoki Middle east na hamuachii Ukraine awe sehemu ya Urusii.

Kama isingekuwa ni threat kwake si angeacha tu?
 
Naangalia comment za watu, nimeishia kucheka..Kila MTU anamsifia sentensi ya Kwanza,alafu ya pili anamtabiria kifo..kama Duterte Hadi Leo yupo sembuse Kagame?
 
Huenda kajipanga kuwa karibu na Putin amlinde
 
View attachment 2456852
Kagame sasa kafungulia full dose ya kibri ya kitutsi.

Nchi za USA, UK, France, Ujerumani na Ubelgiji zimemwambia bila kupepesa macho kuwa aliondoe jeshi lake DRC linaloitwa M23.

Ameamua kuwatimua nchini na kufunga balozi za waliompa ukweli.

Mwana kulitafuta, mwana kulipata.
Kila lenye mwanzo lina mwisho, nae kaula mno inatosha, tangu 1994?

Hao anaowatimua ndiyo waliokuwa wanamlinda na kumpromote ili wagawane rasilimali za DRC, kilichopo ni kwamba wametofautiana kwenye mgao au wamedhulumiana.
 
Eti Republic of Rwanda, hako ka wilaya tu wangeandika District of Rwanda ingetosha.
 
Uzee umemwingia vibaya sana hichi kibabu!
Milaana ya kutoa watu roho sasa zina mrudi ku dadadeki [emoji38]
 
Sasa kama bado hawajafanya si wameshindwa.. wakiweza ndio wameshinda
Ukikuta mechi iko dakika ya 60 bila bila utahitimisha kuwa wameshindwa kufungana?
Inabidi usubiri 90 ziishe ndio useme statement za hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom