FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

Status
Not open for further replies.
Duh, kuna watu walikuwa wanadai EU na US ndio wanafadhili waasi wa M23, yaani waafrika tuna shida sana, migogoro mingi tunaanzisha wenyewe tunasingizia wazungu
Hii itakuwa smoke in mirrors poteza.maboya.

Wamefanya hivi ili ionekane wamemnawa na hawabariki vitendo vyake kumbe nyuma ya kapeti wanaendelea kumfadhili.

Walihofia Putin atatumia Rwanda kama kigezo cha kuishwawishi Afrika kuwa wazungu ni wabaya na wanawagombanisha ili apate sapoti ya Afrika.

Watu wanafikiria about the new world post Russio-Ukraine war
 
Kuna uzi nilisema humu,huyu jamaa kwakuwa kaona kwenye sanduku la kura hakuna anayemuweza basi anaona anaiweza dunia yote na hili sasa ndio litakuwa anguko lake...
Yule ni CIA agent ukiona amefanya jambo ujue amefanya kwa ruksa yao.
 
Inashangaza kama ni habari za kweli kwa sababu yupo hapo kwa huruma ya USA ambao huwa wanajutia kutofanya chochote kuzuia genocide Clinton akiwa Rais. Akiwavuruga watamwondoa asubuhi tu.
 
Hii itakuwa smoke in mirrors poteza.maboya.

Wamefanya hivi ili ionekane wamemnawa na hawabariki vitendo vyake kumbe nyuma ya kapeti wanaendelea kumfadhili.

Walihofia Putin atatumia Rwanda kama kigezo cha kuishwawishi Afrika kuwa wazungu ni wabaya na wanawagombanisha ili apate sapoti ya Afrika.

Watu wanafikiria about the new world post Russio-Ukraine war
Wamhofie Putin, Putin ana lipi la maana akiungana na hiyo Afrika? Putin ukiacha silaha za nuclear ana lipi lingine?

Hata hiyo Africa ina nguvu gani? Hawa viongozi wa Afrika wanaoitwa kama watoto wadogo kwenda Marekani n kuhutubiwa wana msaada gani kwa huyo Putin?
Watu mnajitia mna nguvu kumbe mnakufa njaa na madeni
 
Muda si mrefu Urusi 🇷🇺🇷🇺 inaingia Rwanda
 
Yule ni CIA agent ukiona amefanya jambo ujue amefanya kwa ruksa yao.
Hata Savimbi alikuwa mtu wao baadea wakambwaga. Hawana rafiki wa kudumu hao. In fact siyo Agent wa CIA ila US huwa wanajilaumu kufanya uzembe na kushindwa kuzuia genocide ndiyo maana huwa wanampetipeti Kagame. P
 
Zipo taarifa za chini chini kwamba Rwanda imewataka mabalozi wa USA,UK, Belgium & France kuondoka Kigali ndani ya masaa 72.

Kama Rwanda imefikia hatua ya kuwatimua wafadhili Wakuu wa budget yake naona mwisho wa PAKA umewadia.
View attachment 2456856

Ngongo kwasasa Kivu ya Kaskazini,
Kwanini unasema ni tetesi wakati naona kuna attached document toka serikali ya Rwanda inayoelezea hayo maamuzi?!
 
Zipo taarifa za chini chini kwamba Rwanda imewataka mabalozi wa USA,UK, Belgium & France kuondoka Kigali ndani ya masaa 72.

Kama Rwanda imefikia hatua ya kuwatimua wafadhili Wakuu wa budget yake naona mwisho wa PAKA umewadia.
View attachment 2456856

Ngongo kwasasa Kivu ya Kaskazini,
I request H.E Kagame to revise his decision and use orher aporoaches. I belive this is not the best option.
There are so many better options on the table than this...
H.e Kagame, take one glass of wine and relax for a moment.
Meet u next yr in Kigali.
I will personally come to pay u a visit and disscuss a cople of things 😎.
 
Duh, kuna watu walikuwa wanadai EU na US ndio wanafadhili waasi wa M23, yaani waafrika tuna shida sana, migogoro mingi tunaanzisha wenyewe tunasingizia wazungu
Akili za kiswahili, lakini wazungu kama nchi walishahama siku nyingi kwenye huo uhuni. Ni kweli wapo watu na makampuni binafsi ya kizungu yana mkono kwenye machafuko lakini nchi zina namna nyingine ya kuimpose influence
 
Wamhofie Putin, Putin ana lipi la maana akiungana na hiyo Afrika? Putin ukiacha silaha za nuclear ana lipi lingine?

Hata hiyo Africa ina nguvu gani? Hawa viongozi wa Afrika wanaoitwa kama watoto wadogo kwenda Marekani n kuhutubiwa wana msaada gani kwa huyo Putin?
Watu mnajitia mna nguvu kumbe mnakufa njaa na madeni
Vita ikitokea you need every resource you can acquire.

Putin atatengeneza silaha, Afrika itatoa askari
Itakuwa Vita ya Wazungu Vs Warusi, Wachina, Waislam na Waafrika.

Unadhani nani atashinda?
 
Zipo taarifa za chini chini kwamba Rwanda imewataka mabalozi wa USA,UK, Belgium & France kuondoka Kigali ndani ya masaa 72.

Kama Rwanda imefikia hatua ya kuwatimua wafadhili Wakuu wa budget yake naona mwisho wa PAKA umewadia.
View attachment 2456856

Ngongo kwasasa Kivu ya Kaskazini,
"One behalf of his excellency.. " [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vita ikitokea you need every resource you can acquire.

Putin atatengeneza silaha, Afrika itatoa askari
Itakuwa Vita ya Wazungu Vs Warusi, Wachina, Waislam na Waafrika.

Unadhani nani atashinda?
Dunia ya leo kinachofanya ushawishi ni nguvu ya uchumi, sio blah blah, kama Urusi kashindwa kumshawishi Ukraine ambaye ni kama ndugu yake i
, waliokuwa nchi moja ikambidi kutumia silaha itakuwa ngumu kushawishi nchi nyingine za mbali, simply sababu hana nguvu za kiuchumi
 
PK anakoelekea kubaya, uthubutu na ujasiri anaonesha kwa kweli umenifanya nipende hatua zake ingawa binafsi si mshabiki wake kwa kuwa namuona kama mpenda matatizo katika kanda nzima ya Afrika mashariki.

Big up KP ila huna mwisho mwema kwa hatua uliyoipiga kwa faida ya Wanyarwanda na Rwanda kwa ujumla.
amejisahau sana jamaa. anawafukuza waliomuweka? akawaulize wana wa chato. kilichwakuta ni matokeo ya kiburi tu
 
Dunia ya leo kinachofanya ushawishi ni nguvu ya uchumi, sio blah blah, kama Urusi kashindwa kumshawishi Ukraine ambaye ni kama ndugu yake i
, waliokuwa nchi moja ikambidi kutumia silaha itakuwa ngumu kushawishi nchi nyingine za mbali, simply sababu hana nguvu za kiuchumi
Dola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.

Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.

Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.

Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China

wazungu wana nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom