FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

Status
Not open for further replies.
Ukikuta mechi iko dakika ya 60 bila bila utahitimisha kuwa wameshindwa kufungana?
Inabidi usubiri 90 ziishe ndio useme statement za hivyo.
Sio bila bila, west ndio yupo kwenye , control , na hizo dakika 90 zitakuwa lini? Mwisho wa dunia?
 
Dola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.

Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.

Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.

Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China

wazungu wana nini?
Umetaja vyote lakini ukasahau kitu kimoja kwamba;

Wazungu Wana AKILI (DEEP THINKING). Wewe endelea kulinga na Hilo Kalio lako kubwa.
 
Umetaja vyote lakini ukasahau kitu kimoja kwamba;

Wazungu Wana AKILI (DEEP THINKING). Wewe endelea kulinga na Hilo Kalio lako kubwa.
Dah dhambi ya kujidharau ni kubwa sana mbele ya mungu...ni heri udharauliwe mpaka na miti ila sio kujidharau.
 
20221224_213320.jpg

Vipi na hii
 
It's clear that some peoples inside anonymous rooms are busy working hard to polarise the relationship of #Rwanda among international Communities.The fake document below can reveal betrayers hidden agenda. @MugabeBob @YolandeMakolo @PrimatureRwanda @a_mukuralinda @ScoviaMutesi https://t.co/wVPbnVaj4V
 
Rwanda imefukuza Ubarozi wa DRC ndani ya Masaa 24, pia imetoa Masaa 72 kwa Barozi za Mabeberu ( USA , UFARANSA, UBELGIJI, UINGEREZA, UJERUMANI) na wao waondoke Nchini kwao Kwa Maslahi Mapana ya Warwanda na kukataa Usaliti.

Barua hii ya wazi imetolewa leo tar 24/12/2022.

Tutegemee Makubwa.
IMG-20221224-WA0002.jpg
 
Wamefukuzwa Rwanda ndani ya saa 72 wawe wameondoka ndani ya Rwanda wakigoma kuondoka ndani ya mda huo watawafanya nini?! PaKa aache mikwara basi
Lazma waondoke. Unakuta na yeye kashatoa Mabarozi wake ktk hizo Nchi
 
Kwa kuwa ni wataarabu wataondoka lkn.....
Nmeuliza wakigoma kuondoka PaKa atawafanya nini?!

Hana cha kuwafanya akifanya fyoko wanambutua tu kwani ana nini kinachompa jeuri na kinachowatisha?!

PaKa anamtisha nini GB au USA na France kipi anawatisha?!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom