Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Sio bila bila, west ndio yupo kwenye , control , na hizo dakika 90 zitakuwa lini? Mwisho wa dunia?Ukikuta mechi iko dakika ya 60 bila bila utahitimisha kuwa wameshindwa kufungana?
Inabidi usubiri 90 ziishe ndio useme statement za hivyo.