FAKE: Rwanda yawatimua mabalozi wa USA, Belgian,UK & France

Status
Not open for further replies.
Dah..! Ripota wetu nawe Pasua Kichwa..! Hasa hapo kwenye Saa 72 ,Aliwaita mabeberu Kweli ..?

'Ametoa Masaa 72 Kwa Mabarozi Wa MABEBERU na Wao Waondoke'..!

DayaspORA wanasemaje..? Maana Wana Nongwa.!
 
Sababu
 
Aise kwahiyo alitumia fursa duu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ufafanuzi, kuna shida gani Monusco kuextend hiyo contract DRC? Na hapo kwenye kuondoa hizo suspensions kuna shida gani? Sioni hoja hapo..., cha msingi M23 warudi kwao mbwa hao
 
Dah..! Ripota wetu nawe Pasua Kichwa..! Hasa hapo kwenye Saa 72 ,Aliwaita mabeberu Kweli ..?

'Ametoa Masaa 72 Kwa Mabarozi Wa MABEBERU na Wao Waondoke'..!

DayaspORA wanasemaje..? Maana Wana Nongwa.!
Mpaka aandike? Vingine tunajiongeza MKUU, mwenye hizo guts za kuwaita Mabeberu alikuw Magufuli, na lile Jiwe la Zimbabwe pekee
 
Dah..! Ripota wetu nawe Pasua Kichwa..! Hasa hapo kwenye Saa 72 ,Aliwaita mabeberu Kweli ..?

'Ametoa Masaa 72 Kwa Mabarozi Wa MABEBERU na Wao Waondoke'..!

DayaspORA wanasemaje..? Maana Wana Nongwa.!
Hapo watajijua wao.. Hao Diaspora watajijua wenyewe maana hata hapo Rwanda kuna Diaspora wa Nchi nyingine zilizofungashiw virago
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…