Familia aliyegongwa na mwendokasi yahaha kumtibia akisubiri kulipwa

Juzi nimeshuhudia mlango wa Mwendokasi wakati unafungwa ukamkata mtu kidole cha mkono, kikadondokea ndani. Jamaa libidi ashuke.

Dereva aliambiwa lakini akaondoa zake gari. Wafanyakazi kituoni hawajui la kufanya.
Aise kilimkata kidole
Wapi ilikuwa

Ova
 
Juzi nimeshuhudia mlango wa Mwendokasi wakati unafungwa ukamkata mtu kidole cha mkono, kikadondokea ndani. Jamaa libidi ashuke.

Dereva aliambiwa lakini akaondoa zake gari. Wafanyakazi kituoni hawajui la kufanya.
Jaman!
 
Huyu ataishia kuhojiwa na millard mara dar24 sjui wasaf clouds
Asipokuwa makini,narudia tena nchi hii watu wadhulumati wanaweza wakamuingiza kingi huyu

Ova
 
Kama wanafanya hivyo siyo vizuri kabisa. Ndio ile kufa kufaana. Ila jamaa hata kama kapona kapata ulemavu wa kudumu/maisha. Yani ghafla tu mtu alikuwa mzima kwenye mishe zake.
Wewe ndo unajua sio vizuri ila wao wanapiga hesabu afe kabisa ili walipwe mpunga mrefu
 
Jamaa ana pisi kali 🔥
Wakina mwajuma tumesha wasema sana hapa hawanaga makuu wanalala hata kwenye mkeka cha msingi umsitiri tu kama wanavyosema wenyewe 😄
Wee jamaa badala ya kuangalia mguu wa mgonjwa unapeleka jicho kwa mke wake! Picha ingekuwa HD nadhani ungefunga safari kwenda kumjulia hali mgonjwa!😃😃😃
 
Ningekuwa mwanasheria hii case ningeisimamia ili alipwe haki zake, ni uonevu sana kwa watu maskini. Ingekuwa serikali ya Dkt Magufuli hakika angekuwa keshalipwa, lakini kwa huu upigani unaweza kuta hela watu ilishatoka na wakala na mhanga kapewa kidogo. Hakika Tanzania imegeuka ya wachache
 
Kwahyo wahusika wanajifanya wamemsahau? Watu wana dhambi sana na laana zingine ni kujitakia!!

Serikali mlipeni huyo jamaa fidia, yaani hii nchi watu wanapiga mapesa kifisadi na hawafukuzwi wanabembelezwa waachie nafasi zao!!! ila kumlipa huyu jamaa hata 50M tu ambayo haitapunguza chochte mnajifanya mmesahau?

Wahusika wote laana itawaangukia
 
Juzi nimeshuhudia mlango wa Mwendokasi wakati unafungwa ukamkata mtu kidole cha mkono, kikadondokea ndani. Jamaa libidi ashuke.

Dereva aliambiwa lakini akaondoa zake gari. Wafanyakazi kituoni hawajui la kufanya.
Ule mlango wa mwendokasi ukikubana hauwezi kukukata acha uongo, ule mlago una kama mipira fulan pale ambayo ukikubana bati lile halikufikii.

Mimi nilishawahi kubanwa na huo mlango kiganja cha mkono niliumia na ulishtuka mkono ila sikukatwa
 
Jamaa ana bahati kumpata huyo mke. Kumbe Siyo wanawake wote wabaya kwenye ndoa.

Sometimes tusikatae ndoa.

dronedrake
Hapo kuna probability mkuu. Huwezi kujua, huenda huyu mwanamke kweli ni mwema au mbaya. Inawezekana kwamba kwa hali ya jamaa ya sasa, mwanamke anafahamu jamaa amekuwa ni asset, na muda wowote mpunga unaingia.

Akishanyakua tu chake hakawii kumkimbia jamaa; hivi viumbe haviaminiki hata kidogo.

Aidha, kwa hali aliyonayo mshkaji itachukua muda kurudia hali yake ya kawaida au pengine asiirudie tena (ingawa hatuombei). Kuna mambo atashindwa kumtimizia huyo mwanamke kama unyumba, matunzo n.k.

Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa sana huyo bidada akasepa..
 
Ghafla bin vuu jamaa kawa mlemavu,halafu waliosababisha hawajali....maisha ya mwanadam yamejaa mateso,mahangaiko na shida tupu,ukiwa mzma,mshukuru mno Mungu!
 
Apo serikali haiusiki wala sio issue ya kisheria,ni kufata formalities tu za bima ili aweze kupata malipo yake na maisha yasonge...
 
Wa Presicion hawajalipwa ndo aje lipwa wa Mwendokasi?
 
Ule mlango wa mwendokasi ukikubana hauwezi kukukata acha uongo, ule mlago una kama mipira fulan pale ambayo ukikubana bati lile halikufikii.

Mimi nilishawahi kubanwa na huo mlango kiganja cha mkono niliumia na ulishtuka mkono ila sikukatwa
Mkuu, acha ubishi. Mlango ulimbana kidole kwa juu. Aliingia bus likiwa limejaa so akashika kwa juu ili kujisukuma ndani, ndio mlango ukafungwa ukabana kidole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…