Familia aliyegongwa na mwendokasi yahaha kumtibia akisubiri kulipwa

Hakuna wa kumlipa hata aende popote kama hana watu ,
Wanasubiri msiba tu waufadhili.

Karibu Tz
 
Ki Bongo Bongo eti Wanasheria wanasema hairusiwi kufanya hivyo,lazima ulipe fee ya kisheria kwanza ndiyo uhudumiwe kisheria!!
 
Ghafla bin vuu jamaa kawa mlemavu,halafu waliosababisha hawajali....maisha ya mwanadam yamejaa mateso,mahangaiko na shida tupu,ukiwa mzma,mshukuru mno Mungu!
Waswahili wanasema "hujafa hujauumbika"
 
kweli serikali yetu ione aibu sio kutuza Simba na Yanga ilhali tayari zina wafadhili.. huu sio uungwana kwakweli.
Watanzania wenzangu. Hawa watawala wako pale kwa sababu ya matumbo yao. Fedha wanazotoa kwenye timu za mpira zinawapa faida ya kuendeleza kupumbaza wadanganyika waliolala fofofo huku mali zao zikipigwa. Wanajua huko kwenye mpira ndiyo kuna ''nyumbu'' wengi. Sasa wakimpa huyu msaada unadhani watapata faida yoyote? Amkeni!
 
Juzi nimeshuhudia mlango wa Mwendokasi wakati unafungwa ukamkata mtu kidole cha mkono, kikadondokea ndani. Jamaa libidi ashuke.

Dereva aliambiwa lakini akaondoa zake gari. Wafanyakazi kituoni hawajui la kufanya.
Duh! Inasikitisha Sana
 
Serekali hapa tunaionea tu,hili swala ni la Bima watende haki tu waache ubabaishaji kisa Watanzania tulio wengi ni Ma layman! Wale wenye information za huyu Jamaa kulipwa naomba wamuongoze hadi apate haki yake anayo stahili Kama majeruhi wa ajali!!
 
Serekali hapa tunaionea tu,hili swala ni la Bima watende haki tu waache ubabaishaji kisa Watanzania tulio wengi ni Ma layman! Wale wenye information za huyu Jamaa kulipwa naomba wamuongoze hadi apate haki yake anayo stahili Kama majeruhi wa ajali!!
Kazi ya serikali ni kuongoza watu, unalijua hili? Kwa hiyo wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha hata wale wasiojua taratibu, wanajulishwa wafanye nini.
 
Ki Bongo Bongo eti Wanasheria wanasema hairusiwi kufanya hivyo,lazima ulipe fee ya kisheria kwanza ndiyo uhudumiwe kisheria!!
Inapaswa kuingia makubaliano tu ili hela ikilipwa na wakili analipwa, ni %
 

Swala ilimuokoa Sana. Maana ni mtu anayependwa kuswali.
 
Nchi hii kwenye maswala ya kulipana lazima kuwepo na zengwe

Ova
 
BIMA unawajua unawasikia?

Watasema ni uzembe wa dereva, kamshtaki Dereva
Dereva anashtakiwa ndio, lakini kama ana angalau third party basi kisheria hiyo thirdparty ina wajibika kumlinda mtu wa tatu aliyeumia
 
Serikali ebu mlipeni huyo Jamaa
Na siyo kumlipa tu kumpatia huduma zote za kimsingi ili at least arudi katika hali yake !!!!! vyombo vya habari viendelee kupaza sauti na ikiwezekana na sisi humu tumpe msaada!!!
 
Serikali ebu mlipeni huyo Jamaa
Utashangaa huo mradi wa mwendokasi kila saa kila siku bus zinazunguka barabarani kutwa wanakusanya pesa na nauli zimepandishwa body ya huu mradi inashindwa nini kukaa kikao ikajadili namna ya kumsaidia huyu muhanga?

Nina imani haya ktk sheria zao kuna maelekezo namna ya ku-deal na watu wanaosababishiwa matatizo na magari yao nini kinawafanya wasiharakishe wanaacha victim wao anateseka namna hii?hizo hela wanatoa zao mifukoni?siyo haki kabisa ukichukulia mtu ana familia inamtegemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…