Familia: Hayati Magufuli aliongoza sala na nyimbo kabla ya kifo chake, alipakwa mafuta matakatifu. Pia aliombewa na Mufti

Uamuamini Sheikh muongo muongo kama huyo? Zubeir akikwambia yeye ni mwafrika kataa mpaka uone rangi yake.
 
Jambo jema sana [emoji120][emoji120]
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.

Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu....
Hao wote aliwaambukiza Covid-19.

Kwenye line bado wengineo wengi tena kwa mfululizo.

#Respect Science
 
Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo...
Duh......mlisema kafa kwa tatatizo la moyo?

Haya bana, ngoja tuache tu mengine yapite.
 
Walifanya makosa kuficha bora wangemtangaza anaumwa watu wengi wangempigia Mungu kelele hadi angeamka kama kwa dorca
 
Kwa hio mufti ni mkatoliki au mbwembwe tu.

Hawa viongozi wa dini wanatakiwa wamjibu afande sele.
 
Alimwomba msamaha Tundu Lisu?
 
Basi mtangazeni kuwa ni Mtakatifu kama Nyerere. Maana huwa mnasema ni Nyerere wa pili
 
Hiyo sisi haituhusu.
Tunataka kujua alitubia kwa kumuomba radhi yule aliyemmiminia 38 bullets?
 
Amefanya Toba lakini bado kama kuna wanaoendelea kulia kwasababu yake toba haitakuwa na maana. Ndugu za akina Ben Saanene, waliofungwa bila hatia.

Hawezi kuwa redeemed unless wote walioteseka kwa mkono wake wamepata haki.
Padre wa saint Peter amelifafanua vizur sana kwa kutumia bible. Kazi kubwa nikumuombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…