johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #341
Amina bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno la mwisho la nini? Lingekuwa linafaida gani kwetu wakati tulikuwa hatumhitajiMi nataka kujua, jpm alituachia neno gani la mwisho, maana kama alipata mda wa kuimba na kuomba toba, hangekosa kuacha wosia , mfano, nyerere kabla hajafa alisema, "Najua huu ugonjwa sitapona, ntakufa,, najua wantanzania watalia sana........"
Kweli kbs ishara zilianza kuonekana mapema hata kabla ya kampeni za uchafuzi,ujue mtu akikaribia kufa hasa kwa watu wenye matendo mabaya kwa jamii huwa wanakuwa wakali sana...binafsi nilianza kushtuka alivyochelewa kufika kwenye ibada ya mazishi ya Mzee Mkapa kule Lupaso.
..pia kila alipokwenda kulikuwa na mashine kama feni kubwa karibu na alipokuwa akiketi jukwaani.
..alivyopotea na watu walivyoanza kumuulizia na alivyoshindwa kujitokeza Kanisani siku ya jumapili nikahisi ana tatizo kubwa.
Afu unakuta anaekupaka mafuta ni fundi wa kulawiti hapo ndo utajua kuwa Mungu siyo mayeleAkimuomba mola wake inatosha na ndio maana ya mpako wa mafuta matakatifu kwetu sisi wakatoliki ni maana kubwa sana.
Angalau umekubali alikuwa na madhambi. Lakini umekosea kusema msamaha wa Mungu hauna masharti. Nilazima uwaombe msamaha uliowakosea.Paulo mtume aliwaomba msamaha aliowaua baada ya kuongoka/kuokoka? (Sauli - Paulo).
Msamaha wa Mungu hauna masharti.
Ukitubu kwa imani unasamehewa!
Hakika maisha ya duniani ni safari ndefu Sana na tusiyojuwa tunakokwenda..
Binadamu anapofariki pale ndy mwanzo wa safari ya kurejea kwa muumba wetu inapoanzia.
-Iwe ulikuwa mtu mwema ,
-Iwe ulikuwa mtu muovu hapa duniani,
Ni lazima ufe.
Zipo dalili zinazoonyesha ubaya au uzuri wa safari yako huko uendako.
A--Kama ni mwema basi hapa hapa duniani dalili njema zitaonekana kwako
Mfano
-Kupata nafasi ya kuomba toba kabla hujafa.
-Mazishi yako kuumiza mioyo wa watu wema.
-Kifo chako kufurahiwa na watu waovu ,wanga,wachawi,watu wenye chuki zisizo na sababu..
Mtu muovu akifa hatopata nafasi hata ya kutamka neno lolote litakalo mpendeza Mungu.
Wala hatopata nafasi ya kuomba toba.
Unapoomba toba , hakika Mungu amekuridhia hata kabla hujaomba.
B--Mtu muovu msiba wake utakuwa ni huzuni kwa watu waovu wenzake.,wezi, wachawi,wanga nk.
Magufuli alionyesha ishara zote za mtu mwema ,
Alionyesha ishara zote za uzuri wa safari yake huko aendako. .
Tulishuhudia wanga na wachawi wakifanya sherehe kushangilia kifo chake.
Na kuacha watu wema wakimlilia Magufuli hata leo.
Sleep well my President.
Sleep well John.
cha kushangaza zaidi unafanya jitihada za kumuua mtu halafu hafi unakufa wewe....maisha haya unaweza ukasonya ukiwa ndani ya jenezaUmeona eh...alibanaaaaa , Nature ikafanya àchie ...Leo wale aliokuwa nao kiwananga Mabeberu ,kukebehi Safari za.Nje ,wanabadilisha Mabegi!
Na posho zmepanda😁
Mishahara Juu,
DUNIANI UNAYAKIWA KIWA NA KIASI!
TUNA MIDA.MFUPI SANA WA.KUISHI!
zitto junior pitia hapa 👆Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.
Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.
Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.
Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.
Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.
Maendeleo hayana vyama!
===
Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."
Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"
"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Alivyokuwa na sauti mbaya sasaMsemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.
Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.
Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.
Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.
Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.
Maendeleo hayana vyama!
===
Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."
Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"
"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Kama hakutubu kwa maana ya kumkiri Yesu na kumpokea kuwa Bwana na mokozi wa maisha yake yuko kuzimu!Msemaji wa familia ya hayati Magufuli amesema mpendwa wao kabla ya kufa alibahatika kuongoza sala ya maombi ya kumuombea pamoja na nyimbo.
Pia alipata sakramenti ya toba na mafuta matakatifu.
Kadhalika Mufti wa Tanzania sheikh Zubeir alimuombea.
Katika maisha ya binadamu hii ni neema kubwa ambayo watu wengi huikosa wawapo kufani.
Binafsi sitaomboleza kwa kuvaa nguo nyeusi bali nitavaa nguo nyeupe kwa ajili ya shukrani kwa Mungu kwa maisha ya John hapa duniani.
Maendeleo hayana vyama!
===
Msemaji wa familia ya Hayati Magufuli Ngusa Samike amesema "kabla ya kifo chake Rais Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake."
Alisema kabla ya kifo pia, "Mwadhama Polycap Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia Rais Magufuli huduma ya kiroho ya mpako mtakatifu,"
"Pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir naye alimfanyia maombi kabla ya kifo chake."
Washirikina ndio huwa hivyo,huwa wanajifanya kuwa "neutral".Sifahamu hawa Viongozi hawana msingi wa imani waisimamio? Mungu wa Padre aliyempaka mafuta ndie mungu wa Sheikh? Mbona anachanganya miungu?
Alikuwa na sauti mbaya sana.....changanya Sasa na kifo, ikawa mbaya zaidiKinembe acha hizo
Walitutenda sana Watanzania!
Haya...Bwana Legacy ,lakini meza imepinduliwa ,hata chale,huko zinamcheza!Taahi.ra wewe, unadhani ye hakulijua hilo?
Waovu huwa wanakufa,Kwa mateso,huo ataupata wapi!Mi nataka kujua, jpm alituachia neno gani la mwisho, maana kama alipata mda wa kuimba na kuomba toba, hangekosa kuacha wosia , mfano, nyerere kabla hajafa alisema, "Najua huu ugonjwa sitapona, ntakufa,, najua wantanzania watalia sana........"
Hao hao walisema JPM ni mzima anachapa kazi ndio sembuse uwaamini wanachosema baada ya kifo chake?? Ulitegemea watasema alikufa akirusha miguu??zitto junior pitia hapa 👆
Lissu mbona alimshambulia JPM kwa maneno makali Chato alifanywa nini?? Mnamkuza sana JPM kuliko uhalisia, spana za Lissu mara hii umezisahau? Alimuita Gari la mkaa mbona hakupigwa na raia unaowasemea?Hehe...ka unajiamini ingia field simama jukwaani umtukane JPM uone kitakachokupata.