Familia inateseka sana. Nisaidieni natafuta Kazi, Kibarua

Pole sana mkuu maisha ndivyo yalivyo changamoto hayo yote yatapita Muombe Mungu
 
Yametupata mengi hapa JF. Bado utetezi wako haujafua dafu. Huwezi kulala njaa na asubuhi ukawa unaendesha baiskeli kijana! Niendelee?
Kiongozi naona unayo shida... Ila endeleeni labda upo kumpima mwamba ..... Na pengine labda wewe hukuwahi kuexperience hayo maisha... Ila acha kabisa kwasisi tuliopitia tunaelewa anachokiongea! Ngoja ninyamaze ....

Ila nakuomba tu, Kama huna Imani na mwana achana nae, acha sisi tumsaidie...
 
Kidogo wewe umenielewa
 
Wait a minute, nadhani nilijaribu kumsaidia kwa kumtafutia kazi maana nilijua mtu anayehitaji mtaalam kama yeye anavyodai. Unajua what happened? Tusiwe watu wa kukurupuka na kutetea kama huyo aliyeniita mjinga
what happened ndugu?
 
Wait a minute, nadhani nilijaribu kumsaidia kwa kumtafutia kazi maana nilijua mtu anayehitaji mtaalam kama yeye anavyodai. Unajua what happened? Tusiwe watu wa kukurupuka na kutetea kama huyo aliyeniita mjinga
waweza tiririka kidogo mkuu...utuokoe baadhi yetu tusije dumbukia kubaya
 
waweza tiririka kidogo mkuu...utuokoe baadhi yetu tusije dumbukia kubaya
Hapa JF ni mengi yametupata. Unampeleka mtu kwa mnaoheshimiana unakuta ni mbabaishaji au ni tapeli. Kabla ya kukubali kirahisi ukatapeliwa ni bora kujiridhisha. Unajua ukimuudhi mtu ndipo unamjua. Mfano akina kibatala wakiwa mahakamani utasiki, wewe si ni kikojozi, unahamaki - hapo ndipo ukweli unautoa. Tunafaa kuwa waangalifu maana unaambiwa kosa si kosa ila kurudia kosa. Nadhani angalau wenye akili za kiutu uzima wamenipata.
 
Wanasema ukweli mwingi utaupata either mtu akiwa na HASIRA au kwenye Mvinyo [emoji482]...
 
Hakuna lolote unalozungumza zaidi ya tuhuma tu. Kama nia yako ilikuwa kumchunguza usingeanza kwa kumuita tapeli hadharani. Amekuchallenge zaidi ya mara moja kuthibitisha tuhuma zako unaongea ngonjera tu. Amekupa hadi taarifa zake zote na wapi unaweza kumpata na ukasema una mtu Dodoma wa kuthibitisha.

Usipende kuingilia njia ya mnyonge anayehangaika. Kuna kitu kinaitwa KARMA ndugu yangu....nakwambia tena kuna KARMA kwenye huu ulimwengu na inafanya kazi.
 
Dah pole sana mkuu
pole kijana,una ujuzi gani mwingine, na mimi nilipitia mazingira kama yako ,ila nilisota miaka miwili huku sijielewi.Jitahidi kuwa karibu na MUNGU zaidi,na huu ni wakati wa kutoa zaka,na kufunga na umuombe MUNGU akuonyeshe njia.Nimeuliza ujuzi kwasababu kwa wakati huu ,ukipata hata kazi ya udereve chukua,,ungekua dsm ungeweza kufanya hata dereve wa uber .Ila usikate tamaa hamna jambo ambalo linakuja mbele yako na MUNGU hakuonyeshi njia.
 
Naomba Malumbano na ndugu kolola said: yaishe,tushaliongea via phone na tumemalizana,kiufupi tu ni kuwa aliniunganisha na mtu anayehitaji mtu wa IT,huyo mtu akanipigia simu mapema asubuhi,na mie niliondoka asubuh hyo nikaenda nje kidogo ya mji kufuatilia maziwa,nilikuwa kwenye baiskeli na kulikuwa na mvua sikusikia hyo call! Badae nilikuta missed call kadhaa za watu tofauti,Hata hivyo plan yangu ilikuwa nikitulia nianze fanya mawasilino nao,na hapo nikawa busy kuna walohitaji CV,walohitaji vyeti,nikatakiwa kutuma emails,wengine wakani ni interview via phone,call ya jamaa wa tigo ikaingia akinidadisi kama naweza fanya freelencer ya post paid vocha sales,inshort nilikuwa kwenye conversations nyingi,sasa ndugu yangu kolola said akaona siko serious,lkn tushaongea na niombe kwa heshima,mvutano uishe na tulipokwazana tusameheane!
 
Asante ndugu,pole nawe kwa yote ulopitia!hapa vijana tuna cha kujifunza,kuwa na vitu muhimu kama Leseni,kuna mwana JF ana bajaj na ni biashara nzuri sana hapa Dodoma,lkn imekuwa ngumu kwangu sababu sina leseni!kiukweli namtumainia Mungu..
 
Hukuongea na mimi bali jamaa yangu na nasikia na kazi umepata au siyo?
 
Hukuongea na mimi bali jamaa yangu na nasikia na kazi umepata au siyo?
Sijasema nimeongea na wewe,nimesema tushaliongea limeisha!kuhusu kazi kasema ataongea nawe then atanijulisha,ila details za kazi husika yes tushaziongea!
 

Huyu hayajamkuta bado, binafsi naelewa sana anachopitia mtoa mada...mimi yamenikuta naugulia mpaka leo hii, sema kinachoniumiza huyu ana familia kwakweli ni extraordinary time kama mtu hayupo vizuri kiakili anaweza ku commit suicide.

Kwa wale wasio na nia ya kumsaidia msiwavunje moyo wenye nia.
 
Umeenda far Zaid,,hata Mimi umenikera. Inatosha kumuamini kijana mwenzetu. Nilimuamink once alivyotaja hizo sehemu na movement zake za biashara. Sometimes to be matured sio kumuweka mtu kwenye excess pressure kama hiyo, ni kufanya critical analysis.
 
Sasa mkuu na sie wenye account za Crdb hatuwezeshani maana account zipo 0.00 , mpaka ya kufungulia ten haimo😅tuwezeshane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…