Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washamba hao ndiyo walikabidhiwa nchi. Bora nchi imerudi pwani kuna wastaarabuHabari ya kusikitisha na Maendeleo yasiyo na chama vyahusiana vipi?
Hapa ndio nikajua ukiwa ccm lazima uwe na PhD ya uongoMarehemu nae ni wa kuonewa wivu??
Na watoto? Kwanza ni ukatili kuwaonyesha watoto maiti. Huwa inabidi kama tu marehemu ni ndugu wa karibu mno.
Binadamu siku zote hajifunzi. Itakuja kutokea siku nyinginekulikua na haja gani ya kubeba watoto wa4 kwenda nao uhuru? Nadhani funzo litakua limepatikana wakati ujao umakini utakuwepo
Binadamu siku zote hajifunzi. Itakuja kutokea siku nyinginekulikua na haja gani ya kubeba watoto wa4 kwenda nao uhuru? Nadhani funzo litakua limepatikana wakati ujao umakini utakuwepo
It's out of love for a man who loved them.Huwezi kuzuia. This signifies one thing,Magufuli alipendwa sana na wananchi wa kawaida.Wachache waliomchukia walimchukia kwa sababu zao binafsi.Walitumwa wangekaa nyumbani yasingewapata.
Acha ushetani wewe, hakuna aliempenda ila vitisho na ukatili tuu.It's out of love for a man who loved them.Huwezi kuzuia. This signifies one thing,Magufuli alipendwa sana na wananchi wa kawaida.Wachache waliomchukia walimchukia kwa sababu zao binafsi.
Propaganda tuu.It's out of love for a man who loved them.Huwezi kuzuia. This signifies one thing,Magufuli alipendwa sana na wananchi wa kawaida.Wachache waliomchukia walimchukia kwa sababu zao binafsi.
Haswaaa, ogopa sana mijitu iliyojizindika sana. Inapokufa, mipepo yao inaondoka na watu. Makafara, matambiko na uganga waliofanya unatafuta damu za watu. Kilangila.Kwa upande wangu watu wote ninaowafahamu waliopanga kwenda kuaga niliwakataza na wakatii,sababu najua mwili kama ule wenye mazindiko,damu na vilio vya watu wengi hauwezi kuondoka hivi hivi bila kutoa kafara.
Nipe sababu zako wewe unazodhani ndizo zimewafanya wananchi wa kawaida waomboleze kifo cha Hayati Magufuli in this manner.Mpaka kutandika nguo zao barabani ili gari lililobeba mwili wake likanyage!This is unheard of and unprecedented.This must send a strong message to looters of our resources or the NWO cabal that we do not want interference in our internal affairs and that for them Tanzanian is off limits.Propaganda tuu.
Upendo ni ushetani kweli na unaweza kutishwa na uka-omboleza kifo cha mtu kweli!That is news.Mtasema ujinga mwingi kwa sababu ya chuki na husuda mlizo nazo dhidi ya marehemu.Acha ushetani wewe, hakuna aliempenda ila vitisho na ukatili tuu.
Hii ni husuda tu na chuki binafsi mkuu.Na sikulaumu,kwa kuwa mawazo uliyonayo si yako yamepandikizwa,na kwa kuwa wewe huwezi kutenganisha mchele na pumba,umebeba kila kitu.Uwe na makapu mawili,moja la pumba na moja la mchele.In short be more diagnostic.Washamba hao ndiyo walikabidhiwa nchi. Bora nchi imerudi pwani kuna wastaarabu
Hii reaction ya wananchi na jinsi walivyo omboleza kifo cha Magufuli,sends a very special and clear message to impostors and capitalists mkuu.What they are saying is,your hands off Tanzania and our resources are off limits.Tulia tusubirie na huku chato sijui mpaka tukazike itakuaje?