Familia nyingine ni za ajabu sana


TRUE
Waweza kuta kuna msababishaji wa hiyo situation humo humo ndani
 
Nyie wote mna laana mmelaaniwa nyie! madada zako watatu hawajaolewa wapo maskani alafu huwalaumu unalaumu tu mabroo ilihali hao madada zako wanamtegemea maza na kudanga kidogo kidogo mtaani, kama upo dar tuma nauli ya wote waje uwapeleke kwa mtume Mwamposa waombewe wasipobadilika uwauwe
 
Pole Sana Mkuu, haya maisha haya we acha tu
 
...same... too... mee... japo dee...fer... Kee... dogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…