Hapo lazima kuna mabaharia tayari waisharekebisha kitaaHuyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
kweli mkuu angebaki hata mmoja wa kiume aendeleze ukoo.Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
'Body language' ya huyo mzee kwenye picha inazungumza yote haya....sad!Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
Kama sio bukoba ni Kilimanjaro oneNina uhakika 100% hiyo familia ni ya Bukoba.
Amebarikiwa kwa kuwatoa wanae kulisha kondoo wa Bwanakwahiyo mbinguni watu wanaenda wakiwa watawa au
Amebarikiwa kwa kuwatoa watoto wake kuwalisha kondoo wa Bwana kama jinsi Elli alivyomtoa mwanae Samweli madhabahuniMkuu unaweza kunipa kifungu chochote kwenye biblia kinachosema uwe mtawa (brothers /sisters )
Thubutuuu, kizazi kitaendelea, kitaendeleaje mi sijuiHuyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
Ninaomba aya isiyo na utata mkuu inayokuambia uwe mtawaAmebarikiwa kwa kuwatoa watoto wake kuwalisha kondoo wa Bwana kama jinsi Elli alivyomtoa mwanae Samweli madhabahuni
Umeandika kwa hasira sana kaka [emoji34][emoji35]Huyo baba kala hasara.
Biggest loss kwa mzee.
Mzee bora asingezaa tu.
Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.
Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.
Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.
Hasara tupu.
Acha ujinga, Na wewe naomba aya inayosema ule chakula uende chooni.Ninaomba aya isiyo na utata mkuu inayokuambia uwe mtawa
yaani akakosekana hata mwenye huruma kidogoFamilia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
KabisaaaaLakini hao wazee hapo hawakosi wajukuu piga ua kizazi kitaendelea tu.
Vitu vingine sio barakaFamilia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Uongo, uongo mtupu! Hii taarifa sio sahihi jamani. Kwanza hii ni familia ya baba Michael na Emma Marandu wa parokia ya Kiraeni na sio kilema. Pili sio masista wote walioko kwenye picha ni wa hiyo familia. Wapo 4 ambao ni wa familia . Wengine ni ndugu wa karibu. Hao mapadre ni mmoja tu wa familia mwingine ni paroko na jirani. Tatu familia ina watoto 8. Wasichana 6 na wavulana 2. Kati yao wasichana 4 ni watawa na mvulana 1 ni padre.Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434