Familia nzima yawa Watawa

Familia nzima yawa Watawa

Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
Hapo lazima kuna mabaharia tayari waisharekebisha kitaa
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
kweli mkuu angebaki hata mmoja wa kiume aendeleze ukoo.
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
'Body language' ya huyo mzee kwenye picha inazungumza yote haya....sad!
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
Thubutuuu, kizazi kitaendelea, kitaendeleaje mi sijui
 
Huyo baba kala hasara.

Biggest loss kwa mzee.

Mzee bora asingezaa tu.

Lengo la kuzaa ni kuacha descendants, watu watakaoendelea genealogy yako, you pass your genes ama DNA to the next generation.

Sasa kama unazaa halafu wote wanakua hivyo si bora usingezaa tu.

Maana yake huyo mzee kizazi chake kimeishia kwake, ni kama vile amekufa bila kuzaa.

Hasara tupu.
Umeandika kwa hasira sana kaka [emoji34][emoji35]
 
Wazungu watatuuwa na dini zao, sisi tunafurahiya tukifikiria tumepata kumbe tumepatikana. Hakuna Mungu wa kweli anaesema usioe au kuolewa ili ufanye kazi yake. Ila itachukuwa mda kwa Mwafrika kuelewa.
 
Familia yenye watoto 9 wakike 6 wote masista wakiume 3 wote mapadre
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2470434
Uongo, uongo mtupu! Hii taarifa sio sahihi jamani. Kwanza hii ni familia ya baba Michael na Emma Marandu wa parokia ya Kiraeni na sio kilema. Pili sio masista wote walioko kwenye picha ni wa hiyo familia. Wapo 4 ambao ni wa familia . Wengine ni ndugu wa karibu. Hao mapadre ni mmoja tu wa familia mwingine ni paroko na jirani. Tatu familia ina watoto 8. Wasichana 6 na wavulana 2. Kati yao wasichana 4 ni watawa na mvulana 1 ni padre.

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Majibu kutoka kwa Padre anayewajua Hawa watawa na mapadre.
 
Back
Top Bottom