Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

Acha ufala wewe! Nina elimu ya kumzidi huyo CAG wenu huko chooni kwenu Bongo... Na wewe nikuulize unaijua siasa wewe?!

Hiadhi maneno na ripoti zake CAG wa sasa na msikilize tena Rais wenu huyo akishakufa au akistaafu utaelewa.
Unamjua CAG!?..mbona umepanic!!?
 
Can you prove???au ndio zile propagandq za cdm ,muacheni mzee baba apumzike alikuwa mzalendo wa kweli kazi yake imeonekana sio hao walamba asali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimsahau comrade wetu mmoja Dr Edward Mondlane Sokoine huyu mziki wake unajulikana na wale waliozaliwa from 1970 backward after 70 Hawa Ni watt. Alikuwa mchunga ng'ombe. Yaani ukichunga ng'ombe sijui inakuwaje Ila unakuwa jasiri Mana inabidi uwatetee wasibiwe na ndio huo upendo unaleta kwa watu wako ikitokea kuwatala
 
Kuna mengine hujaongea lakin
 
Unamanisha GSM WALILIPA MAHELA KIBAO ILA YALIKWENDA KWENYE MIFUKO YA BISWALO MGANGA NA MZEE KICHWA AU SIO
 
Ndo bas tena....afu Lowassa alishinda daa,CCM bhana,wakiamua kumweka MTU madarakani wanamweka,wakiamua kumtoa wanamtoa...ukigoma kutoka unanyofolewa roho.Hakuna MTU limbukeni kama mwanaadamu.....vyote anaviacha duniani lakini yupo tayari kumtoa roho mwenzie sababu ya Mali...mweee
 
Shukuru Mungu kuwa upepo wake haukukupitia!

Kumbuka: Wengine upepo uliwapitia kihalali (walikuwa waovu na mafisadi) na kuna wengine upepo uliwapitia kwa uonevu.
Kumpa mtu sifa zake hakuhusiani na upepo kupitiwa au kutopitiwa huwezi vunja Sheria za nchi au kwenda kinyume usiadhibiwe na ukiadhibiwa basi huyo mtu mbaya NO tatizo wabongo mshazoea uchafu na mnauona ni usafi, KAZI bila dili na rushwa huwezi fanya na mambo mengine ya kupindishapindisha ndio mnapenda
 
Kipindi cha Magufuli ndio Mnyeti na Makonda walikuwa watu wa kawaida sana ila baada ya kuteuliwa wakawa mabilionea
 
Kama makonda si ndio?
 
Unapenda tuwe na watu kama makonda na sabaya? Au yule anayesema mukichagua upinzani sahauni mimi kuwaletea maendeleo jimboni kwenu? Au yule aliekabomoa nyumba dar ila kule mwanza akadai wasibomolewe kisa walimpigia kura?
 
Takwimu za ukuaji uchumi zikoje kabla na wakati wa utawala wake?..ili tuone huo uchumi uliivyokua unakua
Sina muda wa kuanza kukuandikia takwimu, we kama huyajui mambo hayo tulia tu....tangu huyu maza aanze kuwa kiongozi wa nchi akisaidiana na mafisadi uchumi unashuka tu daily, hadi aje kumaliza muda wake nchi itakuwa hoi. Tuombe Mungu rais ajaye asiwe pandikizi la hawa mafisadi nje na hapo tusahau maendeleo hapa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…