Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

Familia ya GSM ilivyotembea kwa magoti korido za Ikulu kuomba Hayati Magufuli asiwafunge

Tunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..

Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.

Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.

Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.

Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.

Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.

Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.

Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.

Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.

Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.

Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.

Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.

Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.

Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.

Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.

Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.

Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.

Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?

Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.

Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri

Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.

Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.

Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.

Ikulu kutamu jamani
Mbona wengi tu walilipa na wakafutiwa kesi zao mahakamani, hata yule Rugemarila wa VIP engineering alikuwa kichwa ngumu tu, ila nae angeshaachiliwa
 
Tunaendelea na visa na mikasa ya hayati JPM..

Hakuna siri JPM hakuwa chaguo la wana CCM mwaka 2015, hata mwenyekiti wa chama hakumtaka awe Rais bali alizidiwa na nguvu ya asili.

Mwenyekiti alimkusudia kumrithisha kijiti rafiki yake wa kitambo Bernard Membe,lakini wana CCM walimtaka Edward Lowassa.

Baada ya jina la Magufuli kuibuka kidedea kuna watu hawakulala siku hiyo. Tena sio wapinzani, bali wafanyabiashara na mafisadi ndani ya CCM, walijua kiama chao kimefika.

Mojawapo wa wafanyabiashara hao ni familia ya Bwana Ghalib almaarufu kama GSM.

Tukirudi nyuma kidogo hii familia ina asili ya mkoa wa Tanga na mzee wao marehemu Said Mohamed ambaye alifariki mapema mwaka huu alihamia huko Kusini mwa Tanzania na kujikita na kilimo na biashara ya korosho, alipozeeka akawaachia biashara vijana wake waziendeleze.

Pia hii familia imekuwa na ukaribu na familia ya mstaafu JK kwa miaka mingi.
Tufahamu kuwa JK aliwapenda sana watu wa mkoa wa Tanga kuliko watu wa mkoa wowote uli, labda ni kwa sababu alisoma Tanga School au kwa sababu wilaya anayotokea iko jirani na mkoa wa Tanga sielewi.

Nikikupa hapa orodha ya watu wa mkoa wa Tanga ambao walibebwa na JK kipindi cha utawala wake utashangaa,wengine hakuna aliyekuwa akiwafahamu wakalama post kubwa za ukuu wa mkoa,wilaya hata uwaziri ,achilia mbali post zingine za juu.

Kipindi hiki cha JK ndipo familia hii ya GSM nayo ikaibuka kama uyoga, kupitia kampuni zao za HSC na Silent Ocean wakaigeuza Kariakoo kuwa Dubai ya Afrika au China ya Afrika, wafanyabiashara toka nchi jirani wakawa hawaendi tena China kufuata mzigo mambo yote yaliiishia kariakoo.

Umafia wa kiwango cha juu uliofanyika bandarini na TRA na kampuni hizi ulivutia wateja wengi, mzigo ulikombolewa bandarini fasta na kwa gharama ndogo.

Kumbe nyuma yake kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za bandari na kodi za TRA, mabilioni ya shilingi yalihujumiwa na hii familia.

Baada ya hii jina la JPM kupenya sasa ikawa patashika nguo kuchanika wakawata na kuwazua wakaamua kuiua kampuno ya HSC wakijua tu ikibaki hewani JPM atowaacha salama.

Kupitia kampuni ya Law Domain Adocate tarehe 19 oct 2015 siku chache kabla ya uchaguzi mkuu,wakafile A notice of resolution to wind up voluntarily. Hii kwa wasiojua sheria, wind up ni kusimamisha shughuli za kampuni kisheria.

Walisahau kitu kimoja ila wakaja kukikumbuka baadae kuwa jinai huwa haifi, pamoja na kuwind up HSC kisheria bado wangekamatwa na kujibu tuhuma hata kama kampuni haipo.

Ile Silent Ocean ilibaki kuoparate kwa sababu inasemekana haikusajiliwa Tanzania japo iliwakenga wafanyabiashara wa Tanzania.

Sasa basi baada ya JPM kuingia madarakani, naweza kusema mwezi mzima alikuwa akishinda kama sio bandarini basi ni TRA, mabosi wa taasisi hizo mbili vitambi viliporomoka.

Vijana wake wakamletea ripoti ya wakwepa kodi maarufu,jina la HSC na Silent Ocean likiwa kidedea pale juu.

Matumbo moto wakajua hapa Segerea inawahusu, kama Manji alilala Segerea who is GSM?

Kwa kutumia ushawishi wa vijana wa mstaafu wakaomba apointment mara kadhaa kuonana na JPM.

Appointment ikawa approved wakaitwa Ikulu, kwa makosa yao walitembea kwa magoti kwenye korido mpaka ofisini kwa JPM. Akiwa na sura iliyokasirika akawaambia sitaki maelezo lipeni hizo arreas au Segerea inawasubiri

Yakalipwa mabilioni kimyakimya GSM dhambi zao zikasamehewa.

Plea bargain kwa wasiojua ilianza na hawa mabwana ila yao ilikuwa ya kimya kimya.

Kuanzia siku hiyo JK na JPM wakawa watu wa kutupiana vijembe hadharani kama utani vile kumbe wanajua kinachoendelea, ukitaka kula lazima uliwe.

Ikulu kutamu jamani
Kwa hiyo familia ya Kikwete ilienda kupiga magoti kwa Rais Magufuli?.
 
Saa nyingine mnaandikaga kufurahisha mägenge tu Kama huna Taarifa uliza

Magufuli alipitishwa kwa lazima Na KIKWETE hakuna cha kuzidiwa nguvu Na alishamuandaa yeye Na Big toka 2014 lakin story za Benad Membe sijui mnazitoaga wapi

mengine kabla hamjaandika muwe mna tu PM tuwasahihishe msionekane maandika tu madudu


Pitia hizi

 
Uzalendo ni kuiba 1.5 trilioni?

Uzalendo ni kuwabambikia watu kesi, kisha kuwapora pesa zao, na baadaye yeye binafsi kuzipora?

Uzalendo ni kuteka, kuua na kupoteza watu wenye kumkosoa?

Hivi kwa tafsiri yako mtu mzalendo ni mtu mwizi na anayeonea watu?
We elewa Magufuli alikua Mzalendo. Huko kwingine kichwa chako ni kizito sana kuelewa
 
Unapenda tuwe na watu kama makonda na sabaya? Au yule anayesema mukichagua upinzani sahauni mimi kuwaletea maendeleo jimboni kwenu? Au yule aliekabomoa nyumba dar ila kule mwanza akadai wasibomolewe kisa walimpigia kura?
Ungeenda shule na ungekuwa na uzalendo pia shule yako ingekusaidia ungeelewa.

Ukweli ni kwamba sio Matajiri wanachukiwa... tatizo wengi wenu ni wajinga wajinga sana! Anyways... kama hapa umeshindwa kuelewa hutaelewa tena baki na ujinga wako na wewe jipendekeze kwao
 
Ndugu zanguni hebu tujifunze! Tangu lini mtu akakumbwa na kesi au kosa la kukwepa kodi kisha akalipa na akalipa faini juu kisha wakatangaza zimelipwa benki fulani na aliyeidhinisha ni fulani bin fulan... tangu lini?! Au ni nchi gani duniani ulisikia ewe kichwa mchungwa Mtanzania limbukeni?!

Sasa ya nini kuendelea kuhoji walilipa lakini hamkuziona au hamkusikia walipewa kina nani... mtu anayetoa majibu haya ewe mleta mada unamuona ana akili timamu kweli kichwani huyo?! Nimekuwa hapa Jamii forums kwa miaka kadhaa na kumiliki akaunti kwa majina tofautitofauti, kitu ambacho nimekijua na nazidi kukijua sisi watu weusi ni wanafiki!, wajinga!, mabaramaki!, na watu tusiotaka kujikubali na kupenda vyetu pia ukweli hatuutaki tunataka konakona na uchawa tu!
 
Sina muda wa kuanza kukuandikia takwimu, we kama huyajui mambo hayo tulia tu....tangu huyu maza aanze kuwa kiongozi wa nchi akisaidiana na mafisadi uchumi unashuka tu daily, hadi aje kumaliza muda wake nchi itakuwa hoi. Tuombe Mungu rais ajaye asiwe pandikizi la hawa mafisadi nje na hapo tusahau maendeleo hapa Tanzania.
So hujui lolote kuhusu takwimu,unaharisha tu humu!?
 
Unamjua CAG? Ni nani!?..mbona povu,shida nini,umekumbuka nini!?
CAG na mjua ila nataka kwenye report ya huyo CAG page gani ya report yake inasema 1.5T zilipotea?

Nataka nijue ulisoma report au ndio ulisimuliwa na ww ukaibeba kama ilivyo.
 
CAG na mjua ila nataka kwenye report ya huyo CAG page gani ya report yake inasema 1.5T zilipotea?

Nataka nijue ulisoma report au ndio ulisimuliwa na ww ukaibeba kama ilivyo.
Itakua CAG alikua kichaa kusema zilipotea,kuhusu document,yule mgonjwa akili wako unaetokwa povu kumtetea alikua gwiji wa kupindisha mambo,uongo meingi
 
Itakua CAG alikua kichaa kusema zilipotea,kuhusu document,yule mgonjwa akili wako unaetokwa povu kumtetea alikua gwiji wa kupindisha mambo,uongo meingi
CAG usimlishe maneno hajawahi tamka hivyo na wala kwenye report yake sijaona, ila kama ww umeiona kwenye report ni ambie ipo page ya ngapi tuongee kwa reference.
 
Uzalendo ni kuiba 1.5 trilioni?

Uzalendo ni kuwabambikia watu kesi, kisha kuwapora pesa zao, na baadaye yeye binafsi kuzipora?

Uzalendo ni kuteka, kuua na kupoteza watu wenye kumkosoa?

Hivi kwa tafsiri yako mtu mzalendo ni mtu mwizi na anayeonea watu?

Unaweza kuthibitisha hilo la wizi wa 1.5 trio!?
 
Back
Top Bottom