Familia ya GSM yote ni Simba, wapo pale Yanga kibiashara tu

Kwani ujui mpira Ni biashara mambo ya ridhaa yamepita.Tunahitaji hizo hell kuleta mafanikio kuliko ushabiki wake.na Kama hivyo kwa Nini mriruhusu ujinga wa CEO wenu kukataa udhamini wa shabiki wenu kwenye ligi.
Ebu jipangeni kudai 20bilion zenu kwa MO.zake Ni hisa 49%fedha Ni Mali ya Simba SC.hakuna mfano wa cheque usio na jina la benki
 
Mo ni tapeli tu thamani ya Simba ni mabilioni ya kutosha sio hizo alizosema yeye
 
Tulikuruhusu utoke Milembe tukiwa na matumaini kuwa umepona kumbe kimeanza tena!

Rudi tuendelee kukupa tiba.
 
Makolo wanabadilisha motion tu,mpole,sopu,mayele wa kawaida,manara afungiwe sasa wanakuja na GSM eti ni mkia,muda si mrefu watakuja na aliko dangote nae ni kolo,mirembe waongeze vitanda maana makolo wanapoelekea sio kuzuri
Alikuwa amepona kumbe kimemuanza tena!
 
Makolo wanabadilisha motion tu,mpole,sopu,mayele wa kawaida,manara afungiwe sasa wanakuja na GSM eti ni mkia,muda si mrefu watakuja na aliko dangote nae ni kolo,mirembe waongeze vitanda maana makolo wanapoelekea sio kuzuri
Morison na Manara wanaendeleaje hapo kwenye dampo la vichaa?
 
Makolo wanabadilisha motion tu,mpole,sopu,mayele wa kawaida,manara afungiwe sasa wanakuja na GSM eti ni mkia,muda si mrefu watakuja na aliko dangote nae ni kolo,mirembe waongeze vitanda maana makolo wanapoelekea sio kuzuri
Utopolo mbona mnateseka sana? Nyie mabingwa wa kihistoria ya madimbwi endeleeni kushangilia ushindi acheni simba tubwabwaje
 
Hata Haji Manara yeye ni Simba halisi. Ila yupo Yanga kikazi na kwakuwa anatimiza majukumu yake wala hakuna shida.
 
Haijalishi mkuu kikubwa wao wanafanya biashara na wanaona wanapata faida na malengo ya timu yanatimizwa

Ndio Kwanza nasikia kwako kuwa n wazawa wa ruvuma nasikia wazawa wa tanga songea walienda kuwekeza katka kilimo
Ni wazaliwa wa Songea, hasa watoto. Sio yule babu aliyefariki.
 
Ngoja niweke kadi ya gsm ya uanachama wa simba
 


Inabidi wapongezwe, ni strength, hawana baya
 
una ushahidi wa hayo usemayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…