Astronomer The Great
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 978
- 576
Kipindi kile alitaka kuja Simba lakini ndio muda huo kuna Mo ikashindakana Yanga yupo kwaa ajili ya biashara na ili mradi biashara zake zinaenda hakuna shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi kile alitaka kuja Simba lakini ndio muda huo kuna Mo ikashindakana Yanga yupo kwaa ajili ya biashara na ili mradi biashara zake zinaenda hakuna shida
Umechemsha,ni Ghalib siyo Gharib
umekunywa zile dawa zako carbamazapine???Familia yote ya GSM kama ilivyo familia ya Dewji Na Bakhresa ni wana Simba GSM yupo yanga kibiashara na anatamani Kuisupport Simba ila Mo hawezi kumpa hiyo nafasi.
Aliyemleta GSM Yanga ni mbia wake kibiashara ambaye ni Rais mstaafu...nimtaje? Ipo siku ether bakhresa au GSM ataimiliki Simba maana Simba ni jina kubwa Africa kibiashara na imemlemea Mo.
Mo anafirisika taratibu tangu atekwe
Yanga ni Simba B au kampuni tanzu ya Simba,ukishangilia mafanikio ya Yanga ujue unashangilia Simba.wanabadilishana viongozi na wachezaji kwa maslahi yao tu .ila wenye akili ndogo kwa mujibu wa mama Samia ndio hawaelewi hilo
Huyu alishawahi hadi kuwa mtunza hazina wa Simba enzi hizoBakhresa ndiye Simba haswaaa
Uzi umekuzidi kimo mamaumekunywa zile dawa zako carbamazapine???