Familia ya Hans Poppe kutinga kwa Rais Samia kudai mabilioni ya baba yao yaliyoporwa na Hayati Magufuli kwenye ‘plea bargain’

Kuna Dereva wake ( wa Familia ya Marehemu Hanspoppe ) Mmoja 'Mpenda Mbunye' Kawe aliniambia kuwa Boss wake Hanspoppe ameacha Pesa za Kula Wake zake Lukuki, Watoto na Wajukuu zake kwa miaka 100 ijayo.
BOSS BOSS alikuwa ameajiriwa kama MKURUGENZI WA KAMPUNI, lakini wamiliki wa hiyo KAMPUNI ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].
 
Ni Zakaria Hans Poppe.
Hans Poppe alikuwa baba yake. Naye ana historia yake kubwa katika Vita vya Uganda.
 
Weka yote mkuu. Boss wa Keko alikuwa nani? Keko gerazani au?
 
Magufuli ili akusamehe ni lazima mpunga ukutoke tu ,iwe waziwazi au kimya kimya.
Ilikuwakama kituo cha polisi,kuingia bure kutoka na hela
 
Huu ulikuwa utawala wa shetani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…