Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Usikute na wao wanamtukana..!!! Unadhani mtu wa mitabia ile hakuwa anakera home?
 
Wasukuma kwa vile ndiyo kabila kubwa Tanzania na lina idadi kubwa ya watu.
Mimi Msukuma lakini sikuwahi kumpenda yule Mhutu aliyejivika usukuma. Ni wapumbavu wachache tu tena wahamiaji haramu wenzake waliojivika usukuma ndiyo walimpenda. Alilichafua sana kabila letu yule mwehu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Inaonyesha unawajua na hadi idadi yao unaijua, Fanya kuorodhesha hizo ID zinazolipwa kumtukana JIWE
 
Wanaomtukana JPM ni wanaCCM wenyewe hao wapinzani wanaosikika ni spika tu lakini mastermind wa kushambuliwa JPM ni chama alichotokea wakitarajia atawabeba lakini akawatenda vinginevyo ndio maana wana hasira kubwa dhidi yake.

Familia ya JPM ni wacha Mungu hawana muda wa kuzingatia mashambulizi ya kisiasa maana Mungu ndiye atalipiza kisasi dhidi ya wote wenye chuki naye ijapokuwa hayupo tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…