Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Hao hawana matatizo na hilo. Matatizo yao,apparently,wanataka miradi aliyoianzisha Magufuli iendelezwe
 
You are just a learned friend who thinks that leading a country is that way simple especially here in Africa where power is centralized to one person....
Kwetu Tanzania rais ni kama mungu, unauliwa tu hata na wahusika wengine wanaosaka madaraka na sifa alafu lawama zinamuendea ambaye hata hahusiki. Same case to magufuli....lakini how long tutachukua kila siku kumponda ambaye ameshakufa?
Well said but huyo mwendazake alikuwa na nafasi kama commander in chief angekuwa hahusiki na huo ubazazi angehakikisha soon after the incident kwa kutumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ambavyo huapa kumtii angeviagiza vinafanya upelelezi na kuwakamata waliohusika na kuwapiga risasi akina Lissu na kuwapoteza akina Ben Sanane.Pasipo kuingiza visingizio vya ajabu ajabu
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Endelea kujiuliza pia, je hao wengine waliomtangulia nao wanatukanwa pia (ingawa me sijui kama anayukanwa labda mwenzetu unaushahidi). Mzee wetu Mkapa naye ametangulia mbele za haki naye anafanyiwa hivyo hivyo? Kama sivyo kwa nini itokee kwa JP peke yake? Ktk kufuatilia kwako, umeona hao wanaosema wanaema yaukweli ama ni uongo yote? Kwa nini basi wote waseme waseme uongo tupu?
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Huwezi mfurahisha Kila mtu
 
Endelea kujiuliza pia, je hao wengine waliomtangulia nao wanatukanwa pia (ingawa me sijui kama anayukanwa labda mwenzetu unaushahidi). Mzee wetu Mkapa naye ametangulia mbele za haki naye anafanyiwa hivyo hivyo? Kama sivyo kwa nini itokee kwa JP peke yake? Ktk kufuatilia kwako, umeona hao wanaosema wanaema yaukweli ama ni uongo yote? Kwa nini basi wote waseme waseme uongo tupu?
Dah kweli hapo umeongea
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
🤣🤣
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Magufuli ni shetani anayezengea Tanzania mpaka leo!
 
Kuwa kiongozi ni gharama kwenye kila kitu,kuanzia uongozi wenyewe hadi maisha ya kawaida, viongozi na familia zao wanapitia maumivu yote hayo
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Mchuma Janga hula na wa kwao
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Reich Fuhrer Adolf Hitler anatukanwa mpaka leo tangu afe miongo mingi iliyopita.
 
Back
Top Bottom