Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Hao hawana matatizo na hilo. Matatizo yao,apparently,wanataka miradi aliyoianzisha Magufuli iendelezwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama Mbowe angesema kwamba waliokataza mikutano ya hadhara ni kamati kuu ya CCM bado mwendazake ni muhusika namba moja kwani yeye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao hicho.Labda Magufuli mwingine wa Msumbiji.
Well said but huyo mwendazake alikuwa na nafasi kama commander in chief angekuwa hahusiki na huo ubazazi angehakikisha soon after the incident kwa kutumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ambavyo huapa kumtii angeviagiza vinafanya upelelezi na kuwakamata waliohusika na kuwapiga risasi akina Lissu na kuwapoteza akina Ben Sanane.Pasipo kuingiza visingizio vya ajabu ajabuYou are just a learned friend who thinks that leading a country is that way simple especially here in Africa where power is centralized to one person....
Kwetu Tanzania rais ni kama mungu, unauliwa tu hata na wahusika wengine wanaosaka madaraka na sifa alafu lawama zinamuendea ambaye hata hahusiki. Same case to magufuli....lakini how long tutachukua kila siku kumponda ambaye ameshakufa?
Endelea kujiuliza pia, je hao wengine waliomtangulia nao wanatukanwa pia (ingawa me sijui kama anayukanwa labda mwenzetu unaushahidi). Mzee wetu Mkapa naye ametangulia mbele za haki naye anafanyiwa hivyo hivyo? Kama sivyo kwa nini itokee kwa JP peke yake? Ktk kufuatilia kwako, umeona hao wanaosema wanaema yaukweli ama ni uongo yote? Kwa nini basi wote waseme waseme uongo tupu?Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Huwezi mfurahisha Kila mtuKabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Dah kweli hapo umeongeaEndelea kujiuliza pia, je hao wengine waliomtangulia nao wanatukanwa pia (ingawa me sijui kama anayukanwa labda mwenzetu unaushahidi). Mzee wetu Mkapa naye ametangulia mbele za haki naye anafanyiwa hivyo hivyo? Kama sivyo kwa nini itokee kwa JP peke yake? Ktk kufuatilia kwako, umeona hao wanaosema wanaema yaukweli ama ni uongo yote? Kwa nini basi wote waseme waseme uongo tupu?
🤣🤣Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Magufuli ni shetani anayezengea Tanzania mpaka leo!Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Mchuma Janga hula na wa kwaoKabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Reich Fuhrer Adolf Hitler anatukanwa mpaka leo tangu afe miongo mingi iliyopita.Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma