Familia ya Hayati Magufuli kusimamisha kijana wao Ubunge wa Chato 2025, Samia kuzunguka naye kimkakati mikoa maalum

Familia ya Hayati Magufuli kusimamisha kijana wao Ubunge wa Chato 2025, Samia kuzunguka naye kimkakati mikoa maalum

Kuna habari za chini ya kapeti kwamba familia ya JPM inajipanga kusimamisha kijana wao agombee ubunge wa Chato.

Karata hii inaungwa mkono na watu wa mfumo, hasa kwa kuangalia malengo ya uchaguzi mkuu 2025 na kuzikamata kura za Kanda ya ziwa.

Habari zinaeleza kwamba, kimkakati, Mama Samia atazunguka na kijana huyo wa JPM Kanda ya ziwa, hasa shinyanga, mwanza, Geita, Simiyu na Tabora.

Mikoa hiyo Ina "wanazi" wengi wa JPM , hivyo mvuto mkubwa wa kura utapatikana, na inawezekana wakati wa kampeni, akaahidiwa unaibu waziri wa ujenzi
Wewe unajua jiografia wengine kanda ya ziwa wanadhani ni mikoa ya wasukuma tu.
 
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba familia ya JPM inajipanga kusimamisha kijana wao agombee ubunge wa Chato.

Karata hii inaungwa mkono na watu wa mfumo, hasa kwa kuangalia malengo ya uchaguzi mkuu 2025 na kuzikamata kura za Kanda ya ziwa.

Habari zinaeleza kwamba, kimkakati, Mama Samia atazunguka na kijana huyo wa JPM Kanda ya ziwa, hasa shinyanga, mwanza, Geita, Simiyu na Tabora.

Mikoa hiyo Ina "wanazi" wengi wa JPM , hivyo mvuto mkubwa wa kura utapatikana, na inawezekana wakati wa kampeni, akaahidiwa unaibu waziri wa ujenzi
Maana ya hii ni kuwa Msoga Gang wamesalimu amri kwa Sukuma Gang. Kumbe ilikuwa ngoma ya kitoto tu haikeshi. Mama Abdul kwisha habari yake
 
Umeongea vizuri! Lijitokeze genge la majambazi na magaidi na wauza unga na uharamia wa kimataifa! Hawa watu wanahela chafu wanaweza kusimamisha wagombea na kama nchi isipokuwa makini kwa kigezo cha wingi wa kura nchi inaweza kuangukia pabaya! Wingi wa kura sio kigezo cha kukupa nchi! Kwamfano CHADEMA tuliwaona kipindi cha corona walivyokimbia bunge na kufungamana na mabeberu! Tungewapa ikulu huwe na uhakiki wangetuweka 'rock down' mpaka tufie ndani! CCM pamoja na mapungufu yao lakini kwasasa hatuna chama mbadala
Kabisa, unakuta mtu familia yake yote ni raia wa marekani, isipokuwa yeye mwenyewe.
 
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba familia ya JPM inajipanga kusimamisha kijana wao agombee ubunge wa Chato.

Karata hii inaungwa mkono na watu wa mfumo, hasa kwa kuangalia malengo ya uchaguzi mkuu 2025 na kuzikamata kura za Kanda ya ziwa.

Habari zinaeleza kwamba, kimkakati, Mama Samia atazunguka na kijana huyo wa JPM Kanda ya ziwa, hasa shinyanga, mwanza, Geita, Simiyu na Tabora.

Mikoa hiyo Ina "wanazi" wengi wa JPM , hivyo mvuto mkubwa wa kura utapatikana, na inawezekana wakati wa kampeni, akaahidiwa unaibu waziri wa ujenzi

Wafanye hayo sio shida, ila wahakikishe Tume huru ipo.
 
Tume sio Kila kitu, hata USA uchaguzi unaletaga utata, halafu mfumo hauwezi kuruhusu majitu ya hovyo kwa sababu tu yameshinda uchaguzi.
Cc: MuslimBrotherHood, Misri

Muslim brotherhood walishinda na Mursi akawa Rais, kabla ya kupinduliwa. Hizi dharau zenu zitawatokea puani siku
 
Magufuli hakuacha mtoto anae weza simama jukwaani akajinadi mkuu uo ni uwongo ila wakifanikiwa kumpata mmoja tu aje hapa chato anaweza pata kura nyingi

Tatzo watoto hawana fiundation nzuri kijijini mwa baba yao,

Labda wamlete furaha aliyeshindwa kumalizia majengo yake ya apatment hapo chato kwa sababu mrija wa wizi wa fedha za umma ulio kuwa umejengwa na mjomba wake ulikatwa na Mwenyezi Mungu.

Na kwa kuwa fraha alishiriki kumuua mjomba wake kwa kumdanganya yakuwa hakuna corona nchini,ikumbukwe alikuwa mahabara na yeye ndo alipima papa,mbuzi na Daftari akadai navyo vinaonesha vinacorona mwishowe mzirakende nae akauvaa dadeki akasepeshwa na Sir God,akipwa nafasi ya ubunge lazima na yeye atasepeshwa.

Ingawa mjomba wake,vile vifo vya kwenye viroba na kutupwa vichakani vilimkera Mungu pia ilo nalo likampunguzia sifa ya kuendelea kuishi duniani

Nina mengi hacha niishie hapa sifi leo kutoka
Chato karbu na kaburi la Magufuli.

Umeongea kande.
 
Mtalazimika kuiba kura nyingii mnoo...kupora uchaguzi mkienda na Sa100 2025...
 
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba familia ya JPM inajipanga kusimamisha kijana wao agombee ubunge wa Chato.

Karata hii inaungwa mkono na watu wa mfumo, hasa kwa kuangalia malengo ya uchaguzi mkuu 2025 na kuzikamata kura za Kanda ya ziwa.

Habari zinaeleza kwamba, kimkakati, Mama Samia atazunguka na kijana huyo wa JPM Kanda ya ziwa, hasa shinyanga, mwanza, Geita, Simiyu na Tabora.

Mikoa hiyo Ina "wanazi" wengi wa JPM , hivyo mvuto mkubwa wa kura utapatikana, na inawezekana wakati wa kampeni, akaahidiwa unaibu waziri wa ujenzi
Kwa hiyo kwa kifupi familia inaenda Kutumika kwa kipande cha Mkate?😆😆😆
 
Huyo jamaa kama ndio yule aliyesoma hotuba siku ya kumuaga baba yake, nilimuona mtu asiye na interest kabisa na siasa, hata kuongea ni mzito, japo najua kwa CCM wakiamua hata kuliweka jiwe hakuna kitakachoshindikana kwao kupata ushindi.
Kuongea ndio kuwa kiongozi?

Nyie ndio wale mnaodhani muongeaji mzuri ndio kiongozi Bora

Unakosea sana ndg
 
Tume sio Kila kitu, hata USA uchaguzi unaletaga utata, halafu mfumo hauwezi kuruhusu majitu ya hovyo kwa sababu tu yameshinda uchaguzi.
Cc: MuslimBrotherHood, Misri
Mchumia tumbo anapojaribu kujenga hoja anajikuta anajikanyaga kanyaga kama hivi
 
Anafaa sana yule mjomba wake mkemia aliyegombea Jimbo la Kawe yule akili zimo za kutosha, hao wengine sijawasikia kichwani wana kitu gani, Yule mkemia Yuko njema kichwani
 
Kuna habari za chini ya kapeti kwamba familia ya JPM inajipanga kusimamisha kijana wao agombee ubunge wa Chato.

Karata hii inaungwa mkono na watu wa mfumo, hasa kwa kuangalia malengo ya uchaguzi mkuu 2025 na kuzikamata kura za Kanda ya ziwa.

Habari zinaeleza kwamba, kimkakati, Mama Samia atazunguka na kijana huyo wa JPM Kanda ya ziwa, hasa shinyanga, mwanza, Geita, Simiyu na Tabora.

Mikoa hiyo Ina "wanazi" wengi wa JPM , hivyo mvuto mkubwa wa kura utapatikana, na inawezekana wakati wa kampeni, akaahidiwa unaibu waziri wa ujenzi
Biharamlo na Chato wanajitambua sana,Magufuli licha ya kukumbilia Jimbo jipya,lakini alikuwa anapita kwa msaada wa Policcm
 
Tume sio Kila kitu, hata USA uchaguzi unaletaga utata, halafu mfumo hauwezi kuruhusu majitu ya hovyo kwa sababu tu yameshinda uchaguzi.
Cc: MuslimBrotherHood, Misri
Kama kuna mfumo thabiti mbona tunaona vichaa na watu wa lbgt wakiwa na nyadhifa kubwa?
 
Magufuli hakuacha mtoto anae weza simama jukwaani akajinadi mkuu uo ni uwongo ila wakifanikiwa kumpata mmoja tu aje hapa chato anaweza pata kura nyingi

Tatzo watoto hawana fiundation nzuri kijijini mwa baba yao,

Labda wamlete furaha aliyeshindwa kumalizia majengo yake ya apatment hapo chato kwa sababu mrija wa wizi wa fedha za umma ulio kuwa umejengwa na mjomba wake ulikatwa na Mwenyezi Mungu.

Na kwa kuwa fraha alishiriki kumuua mjomba wake kwa kumdanganya yakuwa hakuna corona nchini,ikumbukwe alikuwa mahabara na yeye ndo alipima papa,mbuzi na Daftari akadai navyo vinaonesha vinacorona mwishowe mzirakende nae akauvaa dadeki akasepeshwa na Sir God,akipwa nafasi ya ubunge lazima na yeye atasepeshwa.

Ingawa mjomba wake,vile vifo vya kwenye viroba na kutupwa vichakani vilimkera Mungu pia ilo nalo likampunguzia sifa ya kuendelea kuishi duniani

Nina mengi hacha niishie hapa sifi leo kutoka
Chato karbu na kaburi la Magufuli.
Acha porojo

Furaha huyo huyo JIWE alimkamata na akiwa karibu nae kwa miaka 2-3
 
Muslim brotherhood walishinda na Mursi akawa Rais, kabla ya kupinduliwa. Hizi dharau zenu zitawatokea puani siku
Morsi angekaa miaka minne tu pale Misri wangepigana. Misri ina Waislamu tofauti, Coptic Orthodox, Jews na wengine alafu nchi iongozwe na Waislamu wenye msimamo mkali. Kwanini kundi hilo limepigwa marufuku Misri, Saudi Arabia na nchi nyingine za Kiarabu. Ni makosa ya kidemokrasia kulichagua lile kundi.

Muslim Brotherhood wamefanya mashambulizi ya kigaidi mengi tu, imagine kwa sasa wao ndio wawe wanaiongoza Misri wakati Hamas inapigana na Israel na wao Misri wanapakana na hizo pande mbili. Wakati huo Muslim Brotherhood ndio waliianzisha Hamas. Maana yake sasa hivi Israel ingekuwa inashambuliana na Misri, it's guaranteed wangeingia vitani.
 
Back
Top Bottom