Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Machawa ya mama yalisema Mungu kaamua ugomvi, Sasa wanahitaji ugomvi tena?
Pamoja na haya yote lakini bado wanaogopa kuwa na tume huru, halafu pamoja na hiyo tume yao isiyokuwa huru bado wanatumia vyombo vya usalama kupora kura! Kuna haja gani sasa ya kufanya unafiki wote huu wakati tunajua kabisa hawamkupenda Magufuli na walifurahi sana alipofariki?