Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

Baada ya miaka 3 babu yako amefufuka
Logical non sequitur.

Babu yangu hakuwa Farao sadist aliyejifanya Mungumtu na kuathiri vibaya maisha ya mamilioni ya watu kwa kuharibu siasa za nchi.

Magufuli alinunua mpaka wanasiasa lakini hakuweza kununua uhai amalize "mitano tena".

Kapigwa daflao anaoza saa hizi.
 
Mmoja wa wandani wa familia ya aliyekuwa rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli amepenyeza taarifa kuwa mara baada ya kumaliza msiba walikaa kikao na kuamua kuwa familia hiyo haitamjibu mtu yoyote anayetukana au kukebehi legacy ya Magufuli kwenye nchi hii, badala yake watauachia muda ujibu maana siku zote muongo mpe muda na uongo wake utabaki hadharani.

Na ni kweli baada ya miaka 3 ya kifo cha mpendwa wao muda umeendelea kuwajibu wale wanafiki na waongo hasa kutokea Chadema. Baada ya miaka 3 bado familia ya Lisu inalishwa na wazungu na hajadhubutu kabisa kuirudisha nyumbani, Godbless Lema pia bado mke wake na watoto wanaishi kama wakimbizi Canada!
Baada ya miaka 3 wale wabunge 19 akina Mdee wameendelea na ubunge wao licha ya Mbowe kuahidi kuwatoa bungeni!

Baada ya miaka 3 ununuzi wa ndege unaendelea, ujenzi wa bwawa la mwl Nyerere na SGR unaendelea kwa kasi licha ya kupingwa na Chadema!

Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Baada ya miaka 3 , Lengai Ole Sabaya yuko huru anakula maisha uraiani baada ya mahakama kumkuta hana hatia na kesi zake zote zilikuwa za uongo. Paul Makonda ni mkuu wa mkoa wa Arusha licha ya Chadema kuahidi kumpoteza.

Baada ya miaka mitatu Mange na Kigogo wamegeuka wachochezi,wakosa adabu kwa Rais na Nape Nnauye ndiyo anahusika kuwafungia akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii! Kumbuka Nape alikuwa mlilia uhuru wa kutoa maoni nchini. Kutoka kuitwa mashujaa wa taifa hadi kufungiwa Instagram zao, karma is karma na bado.

Baadhi ya vigogo walioshangilia kifo chake, tayari walishamfuata na kusahaulika kama walishawahi kuwa viongozi wa nchi hii kwa miaka mingi. Eg Rondo


Ama hakika muongo mpe muda na muda unaendelea kujibu na tutaona na kujifunza mengi ndani ya muda.
Time is a fair judge
 
Akili zako fupi sana. Naomba uniwie radhi kwa kukwambia ukweli ulio uchi. Kwanza Sitaki kuamini kuwa umevuka past form5. Ushauri tu, acha kusikiliza hadithi alafu kuja kupayuka ulivyovisikia kwa wachambuzi wa kisiasa n uchumi wa mchongo. Wenzio wanaongea visivyoingia akilini makusudi kuyatetea maslai yao. Wewe unapopayuka valivyokuwa wanaviongelea, unajishusha thamani kwa kuonekana umebeba kichwa kama dispenser ya mate. Samani kwa kutumia lugha nzito, ila inasikitisha mtu kushindwa kusoma na hata kuangalia picha pia ukashindwa
Shukuru Mungu mama yako alikuzaa, akatoa huu uchafu tumboni mwake, la sivyo watalaamu wangegundua gonjwa jipyaaa... We ni uchafu... Hakuna mzazi wa kujivunia mpumbavu mwenye akili mgando kama wewe.... Kheri kulala kwenye choo cha soko kuliko kuishi na mpumbavu kama wewe....

Aliyekwambia elimu ndo uelewa ni nani?
Tuaiende mbali

Raisi wako ana elimu gani?
Vipi kuhusu wabunge wako akina msukuma wana elimu gani?
Mwenezi mlomtengua akampa ukuu wa mkoa ana elimu gani?

Hizo shahower bora baba yako angetoa watengenezee shampoo kuliko kutuletea mpumbavu kama wewe, ni hasara kwa taifa na dunia kwa ujumla...

Kweli nimeamini matahila hawafi.
 
"Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo."

SAWA.

Lazima uwe mpumbavu hasa kutegemea mtu ambaye hajagombea nafasi yoyote, halafu ashinde uchaguzi.

Huyo Mbowe na CHADEMA waligombea wapi halafu wakashindwa? Kweli upunguani na ujinga ni sifa ambazo baadhi ya watu wanaziabudu.
 
Ukikiri makosa unaahiwa huru?

Siasa yenu hovyo sana

**** watu humu JF ni punguani kabisa. Yaani ebu fikiria mtu anathubutu kutamka kuwa eti Sabaya alishinda kesi!! Maana yake haelewi hata maana ya kushinda kesi!!

Sabaya alifungwa kifungo cha nje. Maana yake alipatikana na hatia, na yeye akakiri. Mahalama kwa kuzingatia muda aliokaa jela, ikaamua kumpa kifungo cha nje. Na amemaliza kutumikia hicho kifungo, sasa ni huru.

Wendawazimu walitegemea siku zote akae jela? Kwani alifungwa maisha??
 
Marehemu kuna mazuri alifanya. Lakini hilo haliondoi ukweli kuwa alikuwa kiongozi katili, asiyeheshimu katiba wala sheria, na aliyekanyaga demokrasia, haki za watu, uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari, na aliyeruhusu uharamia na ushetani mwingi kutendeka kupitia mashetani binadamu kama Makonda na Sabaya.
 
Shukuru Mungu mama yako alikuzaa, akatoa huu uchafu tumboni mwake, la sivyo watalaamu wangegundua gonjwa jipyaaa... We ni uchafu... Hakuna mzazi wa kujivunia mpumbavu mwenye akili mgando kama wewe.... Kheri kulala kwenye choo cha soko kuliko kuishi na mpumbavu kama wewe....

Aliyekwambia elimu ndo uelewa ni nani?
Tuaiende mbali

Raisi wako ana elimu gani?
Vipi kuhusu wabunge wako akina msukuma wana elimu gani?
Mwenezi mlomtengua akampa ukuu wa mkoa ana elimu gani?

Hizo shahower bora baba yako angetoa watengenezee shampoo kuliko kutuletea mpumbavu kama wewe, ni hasara kwa taifa na dunia kwa ujumla...

Kweli nimeamini matahila hawafi.
Unachokisema ni factual ndani ya kichwa chako. You're not worth my time, ila sometimes it is better to stay silent for people to think you're stupid than talking to prove them right.
 
Shukuru Mungu mama yako alikuzaa, akatoa huu uchafu tumboni mwake, la sivyo watalaamu wangegundua gonjwa jipyaaa... We ni uchafu... Hakuna mzazi wa kujivunia mpumbavu mwenye akili mgando kama wewe.... Kheri kulala kwenye choo cha soko kuliko kuishi na mpumbavu kama wewe....

Aliyekwambia elimu ndo uelewa ni nani?
Tuaiende mbali

Raisi wako ana elimu gani?
Vipi kuhusu wabunge wako akina msukuma wana elimu gani?
Mwenezi mlomtengua akampa ukuu wa mkoa ana elimu gani?

Hizo shahower bora baba yako angetoa watengenezee shampoo kuliko kutuletea mpumbavu kama wewe, ni hasara kwa taifa na dunia kwa ujumla...

Kweli nimeamini matahila hawafi.

Maneno makali sana
 
Ni kweli kabisa muda umeongea.aliyepokea kijiti hajatufaa sisi wtz.maana c.a.g ameona Kila sehemu pameoza na kunuka uvundo.nchi imepoteza mwelekeo
Na muda umeongea kweli Makonda anahamishwahamishwa kila mara kwa sababu anajifanya kufuata staili ya JPM ambayo wenzake humo kwenye Chama hawataki kusikia hiyo habari 👁🤠
 
Baada ya miaka 3 ya kifo cha Magufuli, CCM imeendelea kushinda na kuzoa viti vyote vya udiwani hadi Pemba, Mbowe na Zito hawajaambulia chochote kwenye hizi chaguzi ndogo.

Wapinzani Tanzania ni wa hovyo sana
Wanaojaribu kuifuta legacy ya JPM wamo ndani ya CCM zaidi kuliko waliomo ndani ya Chadema 👁

Kila mtu anajua hilo 👁🙄🙄
 
Back
Top Bottom