Familia ya Ivan matatani kwa kufukia pesa ya Uganda

Nilisema ni kinyume cha sheria zinazolinda pesa.Warejee maoni ya post ya awali.
 
familia ikili kukosa kaburi lifukuliwe mseveni atawasamehe
 
Nilijua ni tanzania tu, kumbe kila sehemu watu wanapenda kiki.

Hao wanasheria wamekosa kazi!
 
Zikuungua mzunguko unakuwepo tena au inakuwaje wao wameunguza pesa zao moto ulipita[emoji24] [emoji33] [emoji40] [emoji72] [emoji87]
 
Ni vyema wakafuatilia suala hili maana hali ya fedha ni ngumu kila pahala, ni afadhali hiyo pesa wangeipeleka kwenye vikundi vya watu wasiojiweza ikawasaidia
 
Itakua serikali imepungukiwa bajeti wanataka waongezee
 
Wanatafuta kiki ,hao ndio wale wana mavyeti mengi hila hana pesa matokeo yake anakuwa na hasira na mafanikio ya watu,kimoyokimoyo anajiona mpumbavu,akitafuta return on investment ratio
Nyamaza wewe haujui lolote
 
Pesa madafu bhabha sio issue.....
Zingekua dolar ingekuw baridi tu ila pesa ya Africa kila mtu anatoa macho,....
 
Wako sawa kabisa,,bora wangefukia magari au dhahabu na vyeti au wangemjengea nyumba waiezrke alafu waifukie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…