Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Linaloshtua sana ni hizi habari za hawa vigogo kubakana ikulu.
 
Mnapata wapi nguvu ya kuwatetea watu wasiowahusu kama hivi? Hamna mambo muhimu ya maisha yenu? Jitu kama lilikuwa liuaji la hovyo ama laa wewe unahangaika kutetea na kujieleza ya kazi gani?

Ukiwekeza kwenye mambo yako utafika mbali dude
👊 Bravo.... Tufanye yetu
 
Kiukweli hii ni story hot sana hasa JF , X na baadhi ya mitandao ila njoo ground sio story kabisa Trust me hata mitandao kama instagram na Fb hii sio story . Njoo main streams ndio kabisa huwezi ikuta . Kwa Tz hii ya matukio hili ni tukio dogo sana kama matukio mengine na upepo wake utakata very soon na maisha yataendelea
Hakuna anayefatilia UPUMBV huu huku mtaani kwa wananchi wa kawaida. Labda kama hii habari ingepata airtime kwenye platforms zingine... Acha sisi tuendelee kubishana tu hapa ila sio kwa wananchi wa kawaida
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.

Pamoja na mazuri ya Magu alijingiza kwenye mauaji na hatuwezi kumtetea kwa uuaji! Tuache kusingizia wazungu kila kitu kwani Lissu naye walikuwa wazungu pale Dodoma. Jamaa ego ilizidi kichwa na kujiona Mungu. Ukichaa wake washasema seminari lakini wakapuuzwa kwamba akipata hasira anakuwa kichaa kichaa sasa ndiyo maana tuwe makini na matendo yeyu
 
Sasa kama huelewi utaelewaje kinaathiri nini na hakiathiri nini?
Sasa mtu akisema, kwa lugha ya kiyunani ambayo siilewe, kuwa "mfinye sikio "Tujitegemee". Mimi nikija kufinywa (nitaathirika kwa maumivu ya kufinywa) na nitakuwa nimehujumia haki ya kukaa bil bughudha.

Kwa hiyo, uwe unaelewa ama hulewi jambo la kukuathiri au kukunyima haki likitekelezwa dhidi yako unajua na kuelewa jambo hilo.
 
Sasa mtu akisema, kwa lugha ya kiyunani ambayo siilewe, kuwa "mfinye sikio "Tujitegemee". Mimi nikija kufinywa (nitaathirika kwa maumivu ya kufinywa) na nitakuwa nimehujumia haki ya kukaa bil bughudha.

Kwa hiyo, uwe unaelewa ama hulewi jambo la kukuathiri au kukunyima haki likitekelezwa dhidi yako unajua na kuelewa jambo hilo.
Wewe ushasema huelewi na hata huelewi unaelewa nini na huelewi nini.
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Binafsi naona ni mkakati wa kumharibia mama na kuipachika wale Wafuasi wa Mwendazake Kwa sababu watu wanaoitwa maskini walimkubali licha ya huo Ukatili wake.

Watu waelewa na wenye Fedha hawawezi kumuelewa mtu dizaini ya Mwendazake
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Mchuma majanga hula na wa kwao. Walikula pipi sana hatuna cha kuwasaidia. Wamepita viongozi wengi sana pale ikulu kwa nini awe yeye pekee? Mbona wengine walitenda mabaya ya akina ulimboka nk? mbona mizani ya matendo yao bado inalalia kwemye mema yao zaidi kushinda mabaya yao?

Ni nani hajui ya akina Nyerere na Kambina na Kolimba? Nani hajui ya Mzee Mwinyi na Mrema? nani hajui ya Mkapa? Nani hajui yote hayo na mengine mengi ?Huyu Magufuli alizidi huo ndio ukwelli usiopingika.

Ndio maana tunasema tunapoishi tuishi na wanadamu vizuri sifa ya mtu mzigo hijionyesha yenyewe tu sasa hutegemea utakapokufa utasifika zidi kwa mazuri yako au mabaya yako?

Magufuli hakuwa malaika anayo mazuri yake mengi sana tatizo mabaya yake yameuzidi mzani so alale anakostahili.
 
Huu mwaka nmeamua kuwa mtazamaji tu

Ova
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Ukifa ndugu haufi tu, bali yale uliyotenda yatakusindikiza. Uwe, mzinzi tutakusema kwa uzinzi wako, ukiwa kibaka pia utasemwa kama kibaka, ukiwa mwema utasemwa kwa mema. Hakuna kisingizio.
 
Kiukweli hii ni story hot sana hasa JF , X na baadhi ya mitandao ila njoo ground sio story kabisa Trust me hata mitandao kama instagram na Fb hii sio story . Njoo main streams ndio kabisa huwezi ikuta . Kwa Tz hii ya matukio hili ni tukio dogo sana kama matukio mengine na upepo wake utakata very soon na maisha yataendelea
Hata ikipotea, bado kuna impact kubwa sana kwa baadaye.
 
Hii ni historia imeandikwa itadumu vizazi na vizazi, si habari ya kujadiliwa leo tu.

Kama Watanzania wa leo hawajafikia uwezo wa kuijadili, hata wa miaka 100 ijayo wataijadili.

Mwezi uliopita, December 2024, nimetoka kusoma na kumaliza kitabu kinaitwa "The Last Tsar: The Abdication of Nicholas II and the Fall of the Romanovs" by Tsuyoshi Hasegawa.

Kitabu kimeandikwa December 2024. Tsar Nicholas II kauawa mwaka 1917. Miaka 107 baadaye watu bado wanaandika vitabu kuhusu anguko la Tsar Nicholas and the house of Romanov huko Russia.

Itakuwa huyo Magufuli kafa hata miaka minne haijafika?

Kuna tofauti kati ya journalism na history.

View attachment 3192691
Naomba pdf mkuu
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Ok, una haki ya kutoa maoni.
 
Hizo ni pages 3 tu ndio zimewapagawisha kiasi hiki, vipi kama angeziacha ziwe vilevile pages 15 bila kuzipunguza hali ingekuwaje?
Hahahahhahahahaa Ka-flag anataka Watu waende mahakamani ili apate mwanya wa kuwavua nguo
 
Back
Top Bottom