Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Familia ya Magufuli ipo kwenye msiba mwingine mzito, hivi mnajua kile kinaenda tokea...

Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
sikuzaliwa nikiwa na roho mbaya japo marehemu alinifanya kuwa na roho mbaya
 
Wewe ni mjinga sana na kilaza huna akili, yaani unafikiri kutumia makalio. Hakuna connection ya alichoandika mleta maada na hicho kitabu. Anguko la Tsar lilisababishwa na chawa, na yeye kumuona ni kijana hawezi kuongoza. Lakini pia kuna vitu vingine vingi kama kuoa mjerumani, etc. scenario hiyo Tanzania hatuna. Sisi tuna makundi ya mafisadi na wauaji ndani ya CCM, ambayo yalimuua Dkt Magufulu ambaye alikuwa mzalendo. Sasa huo ujinga wako unauletaje msg e wewe. Kwanza hata Tanzania haupo kazi kubeba box mjinga kabisa. Acheni sisi tuliopo Tanzania tuwape ukweli maana hata box tulishabeba na tukarudi bongo kushiriki kujenga nchi.
Sasa mbona unamtukana tu Kiranga, kana kwamba yeye ndio kaleta uzi au kaandika hicho kitabu?

Naungana na Kiranga, kama watz wengi mna akili kama hizi zako, basi kitasomwa na kujadiliwa na watanzania wa miaka 100 ijayo.

Mchambuzi nguli Bwana Ahmed Rajabu ana msemo wake huwa anapenda kuutumia, huwa anasema ''KILICHOANDIKWA KIMEANDIKWA''

Kiranga njoo uone matusi ya mfuasi wa Magu, hadi utacheka!
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Na nyie mazuzu tumewachoka,kutwa na huyo magufuli wenu utadhani yeye ndio muanzilishi wa ili taifa la Tanzania,kwamba mnataka atajwe kwa wema na kila mtu, nyie watani zangu washamba haitakiwi mpewe nchi tena na ushamba wenu
 
Sasa mbona unamtukana tu Kiranga, kana kwamba yeye ndio kaleta uzi au kaandika hicho kitabu?

Naungana na Kiranga, kama watz wengi mna akili kama hizi zako, basi kitasomwa na kujadiliwa na watanzania wa miaka 100 ijayo.

Mchambuzi nguli Bwana Ahmed Rajabu ana msemo wake huwa anapenda kuutumia, huwa anasema ''KILICHOANDIKWA KIMEANDIKWA''

Kiranga njoo uone matusi ya mfuasi wa Magu, hadi utacheka!

Mkuu,

Nimejibu hiyo ad hominem fallacy katika post #50 .

Kuna watu hawajui kusoma kwa ufahamu, halafu hapa JF tunawasiliana kwa maandishi, hivyo, kuelewana lazima iwe vigumu.

Hivyo mimi nitawajibu si kwa kutaka kuwaelimisha wao, bali kwa kuelimisha wengine watakaosoma.
 
Kwa ushahidi upi hadi JF waseme Ben Saanane kafariki?
Exactly my point.

Nimesoma nyuzi humu kuhusu kama tatu kuhusu kitabu cha Kibendera.

Niliyoyakuta humo, ni kwamba Hayat Rais ndie aliyempiga risasi Ben Saanane, kwwmba, kwenye kitabu hicho(sijakisoma) Kabendera anayajua hayo.

Sasa kama Kabendera ni kweli ni mtu wa Kuaminiwa na kile alichoandika kitabuni, ikiwa na kwamba anajua Bena Saanane ameshakufa, kwanini Jina lake hapa JF haliwekewi R.I.P kama ilivyo kwa wengine?

Rhetorically, Hakuna Ushahidi wowote ule!

======
Watanzania waelewe hawa "Mamluki" hawa wanafanya kampeni za Kisaikilojia kuzima Uamsho wa Hayat Magufuli, kwamba kuna mambo mengi tunaweza kuyafanya wenyewe kama Nchi bila kuwa wategemezi! Yaani Hawataki Watanzania wajiamulie mambo yao wenyewe.

======
Magulification must go on
 
Exactly my point.

Nimesoma nyuzi humu kuhusu kama tatu kuhusu kitabu cha Kibendera.

Niliyoyakuta humo, ni kwamba Hayat Rais ndie aliyempiga risasi Ben Saanane, kwwmba, kwenye kitabu hicho(sijakisoma) Kabendera anayajua hayo.

Sasa kama Kabendera ni kweli ni mtu wa Kuaminiwa na kile alichoandika kitabuni, ikiwa na kwamba anajua Bena Saanane ameshakufa, kwanini Jina lake hapa JF haliwekewi R.I.P kama ilivyo kwa wengine?

Rhetorically, Hakuna Ushahidi wowote ule!

======
Watanzania waelewe hawa "Mamluki" hawa wanafanya kampeni za Kisaikilojia kuzima Uamsho wa Hayat Magufuli, kwamba kuna mambo mengi tunaweza kuyafanya wenyewe kama Nchi bila kuwa wategemezi! Yaani Hawataki Watanzania wajiamulie mambo yao wenyewe.

======
Magulification must go on
Mi sipendi kuona watu wanaburuzika kwa vijihadithi vya kutunga.
Eti Kabendera ni muandishi wa habari za uchunguzi muda mrefu, sasa kama anao ushahidi kwanini asipeleke kwenye ofisi ya DPP, na serikali wakijiridhisha, then watoe tamko, Magufuli aliisha fariki hakuna wa kuchukuliwa hatua, ni kwamba familia ya marehemu watapata closer, na kama ni fidia, watajuana na serikali, na maisha yatasonga mbele.

Lakini hakuna ushahidi, ni hear say, kwamba aliweza kuhoji watu 50, hii pekee haitoshi nataka mwenye video, au aliyeshuhudia first hand, ataieleza ofisi ya DPP mwanzo mwisho, kikithibitika sawa. Sio hizi porojo za kutengeneza.

Siyo kila kibaya kinachosemwa kuhusu mbaya wako ni kweli.
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Hayati anaonewa mtu aliye andikwa altwe hai basi
 
Exactly my point.

Nimesoma nyuzi humu kuhusu kama tatu kuhusu kitabu cha Kibendera.

Niliyoyakuta humo, ni kwamba Hayat Rais ndie aliyempiga risasi Ben Saanane, kwwmba, kwenye kitabu hicho(sijakisoma) Kabendera anayajua hayo.

Sasa kama Kabendera ni kweli ni mtu wa Kuaminiwa na kile alichoandika kitabuni, ikiwa na kwamba anajua Bena Saanane ameshakufa, kwanini Jina lake hapa JF haliwekewi R.I.P kama ilivyo kwa wengine?

Rhetorically, Hakuna Ushahidi wowote ule!

======
Watanzania waelewe hawa "Mamluki" hawa wanafanya kampeni za Kisaikilojia kuzima Uamsho wa Hayat Magufuli, kwamba kuna mambo mengi tunaweza kuyafanya wenyewe kama Nchi bila kuwa wategemezi! Yaani Hawataki Watanzania wajiamulie mambo yao wenyewe.

======
Magulification must go on
Magufulication must go on!

Torture and killing of opposition, personality cult, must go on!?

Hivi unaelewa unachokiandika ndugu?

Watanzania kujiamulia mambo yao wenyewe ndio kuteka na kuua watu?

Ndio kutofuata sheria na kufanya unachoamua mwenyewe kama raisi bila kujali mihimili ya dola?

Acheni kujitoa ufahamu nyie.

Tukubali tu kuwa kwa miaka takribani sita, nchi iliongozwa na mwendawazimu.
 
Mi sioni cha maana na hicho kitabu. Maana mtu anayemtishia hayupo wala serkali yake haipo. Haya iqe kweli what next kwake?
Ni mjibga tu hata kuhamishwa upepo kwa kile watu wanatakiw .
Nasinzia
 
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.

Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.

Simlaumu Kabendera ila nataka kuamini Kaebendera hayupo peke yake hii nikazi nzuri sana ilio pangwa ikapangika.

Inaweza ikawa nikuwaminajili yakuwa tisha waliopo kwenye mamlaka kutafakari njia zao na yakwamba kesho nawao ni zam yao so wapunguze speed.

Pili yaweza kuwa ni kufanya character assassination ili kupunguza kelele za kumkumbuka Magufuli japo naona hii haitosaidia watu wanaona Hayati anaonewa yaani wa Tz hawawaelewi masikini walimuelewa sana hata kama alikuwa mvuta bangi wanamkubali.

Tatu yaweza kuwa nimkakati wakiusalama kuwasafisha waliopo kwenye mfumo yaani mkakati wakusafisha safisha serikali yote ina maana walipo kwenye viti wajiandae maana watasafishwa hakuna wakurudi 2025.

Nne yaweza kuwa ni makati wa ki intelligence wa nchi za magharibi kutaka kuisambaratisha ccm nadhani wamewachoka so wanatumia haka kakitabu kuivuruga ccm na nikweli hii mbinu wamefanikiwa sana hata kenya Tanu ilinuka dam mpaka wakasema wagawane fito ila team ni ile ile... kwa Tz CCM inawasumbuwa magharibi sasa upo msemo unasema nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika. Mch wamesha mlaza next ni vijakazi kwahiyo ktk jicho la usalama kama mch amesha anguka vijakazi wanamalizana nao kimya kimya mtasikia mengi sana alio sema Mch Gwajima.... connect dot...

Mwisho familia nadhani familia ya Magu kaz wanayo kuna kila dalili ile scenario ya Taifa fulani ikawakumba hata yule kijana ajiangalie sana hii ni picha mbaya huyu ni bundi analia hawezi kuwaacha salama.
Nakumbuka wewe ndiye ulimpa vitisho Ben saa nane mda mfupi kabla ya kutekwa
 
Hizo ni pages 3 tu ndio zimewapagawisha kiasi hiki, vipi kama angeziacha ziwe vilevile pages 15 bila kuzipunguza hali ingekuwaje?
BBC anakuja kuchoma moto maiti ya mtu iteketee kabisq na mifupa..muda utaongea
 
Kiukweli hii ni story hot sana hasa JF , X na baadhi ya mitandao ila njoo ground sio story kabisa Trust me hata mitandao kama instagram na Fb hii sio story . Njoo main streams ndio kabisa huwezi ikuta . Kwa Tz hii ya matukio hili ni tukio dogo sana kama matukio mengine na upepo wake utakata very soon na maisha yataendelea
Umeshakata,Na zaidi huo mchache umempaisha zaidi MAREHEMU kuushika uongozi.
 
Hakuna msiba wala nini.

Magulificatiom must go on.

Huo ndio Ulimwengu tuliomo.

Jamiiforums waweke R.I.P kwenye I.D ya Ben Saanane basi, isiwe tabu. Amekufa aua Hajafa?
So mngemuacha aende Sasa mbona mnamfukuafukua.
 
Hahaha nchi ya wezi hii, alipokuwepo Magufuli alianza kujaribu kuwaweka hadharani. Watu tulipinga utaratibu alioutumia, tukamuita katiri, roho mbaya na kila kitu.

Leo Rais SSH kawaacha wezi wale kwa urefu wa kamba zao, tuna lalamika. Shamba la bibi, kila kitu Zanzibar, kila mtu anakula atakavyo, upigaji wa kufa mtu, na kila kelele tunazozisikia.

Hii yote ni kwasababu watu wana jaribu kulinganisha njia za mwenda zake na huyu wa Kizimkazi.

Leo watu wanatafuta kufukia legacy ya mwendazake kwa kumuhusisha na mauaji ya watu tusio fahamu wamefariki au la.

Wanataka watu waone kukemea uovu ni dhambi, na majbazi yanataka yaendelee kuiba.

Sisi tunaoibiwa tunashangilia mipango ya waovu, na kadri tunavyoendelea hivi naamini hawataki tupate kiongozi mwenye uchungu na nchi na mali za nchi kwa manufaa ya wengi.

Akipatikana wanaanza kumtisha, walikuwepo kina Magufuli, wako wapi.

Jamani haya maneno tukizushiwa sisi hatupendi, kwanini tunawazushia wengine?

Tuletewe ushahidi tuache hizi story za kusadikika.

Tusiwe wepesi kudanganywa na kudanganyika.

Sio kila kibaya kinachosemwa kuhusu tusio wapenda ni kweli.
Mkuu kama wewe huna ushahidi, unasemaje yaliyoandikwa ni uzushi. Utafiti hupingwa kwa utafiti sio mahaba!!
 
Back
Top Bottom