Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Uko sahihi kabisa, lakini kumbuka vijana bado wana mataminio mengi ya sex, kwa hiyo mmama anapokuwa kwenye relationship na kijana akubali tu kuwa ataumizwa sana au atumiwe kwa ajili ya pesa tu na mwisho wa siku yamtokee kama ya huyo mama wa masaki

Upo sahihi mkuu hilo la tamaa za vijana wamama wawe makini
 
Aise.

Nimekumbuka huu wimbo wa FM Academia Acha tamaa.

The lack of money is the root of all kind of evil, pay attention |
Acha tamaa mwanangu, amenikanya mama aliyenizaa,
Jichungee, amesema nami,
Tukitafuta pesa juu tutaiba, tabia mbaya,
Hakuna aliyezaliwa ni mwizi,
Hakuna aliyezaliwa ni kahaba,
Tabia hizo twaziiga tukitafuta pesa,
Binadamu hukubali afanye mambo ambayo hata yasiyo halali juu ya pesa,
Yuda alimuuza bwana Yesu, kaini naye alimuua abel,
Vijana wanaopenda sugar mammie ukiwaulia, eti wanatafuta.

Acha Tamaa elombe kichinja, acha tamaa said commorien.

Hebu nenda YouTube kamsikilize kabeya alivyotema busara humu.
 
Kesi zote mbili zitaunganishwa na upelelezi zaidi wa mahusiano wa Mke nao utaendelea.
Isije kuwa hiyo tukio la Iringa linawekwa hapa kuhalalisha tukio la masaki kuwa ni sawa au ni yeye tu.
Sahihi kabisa,lakini naamini vyombo vyetu vitambaini mhusika/wahusika wa huo unyama.
 

Sawa ana historia Ya kumwaga damu , ndio wote watatu wachinjwe kwa wakati mmoja mama na wanae wasipige hata kelele kujiteteA tena na house boy ?

hapana sio kweli
 
OMG.... I can't take this..
😭😭😭😭😭😭
 
Sawa ana historia Ya kumwaga damu , ndio wote watatu wachinjwe kwa wakati mmoja mama na wanae wasipige hata kelele kujiteteA tena na house boy ?

hapana sio kweli
Kwakweli haingii akili,Ila kwakuwa wameshamtia mikononi kama nayeye anahusika atasema tu,na huko kwao inasemekana alikuwa anatuhumiwa tu hakuna ushahidi wa moja kwa moja.
 
Sasa haya boyfriend yametoka wapi, nimejaribu kusoma taarifa ya kamanda sijaona sehemu inayomzungumzia boyfriend. Naona hayo ya boyfriend ni yako Mshana Jr
 
Sasa haya boyfriend yametoka wapi, nimejaribu kusoma taarifa ya kamanda sijaona sehemu inayomzungumzia boyfriend. Naona hayo ya boyfriend ni yako Mshana Jr
Mm najiuliza
Huyo boyfriend siku 3 hajaongea na mpenzi wake asishtuke kweli kwamba mbona hapatikani kwenye simu?
Boyfriend alitakiwa aww wa Kwanza kuanza kumtafuta na kutoa taarifa polisi kwa vile hawajawasiliana kwa simu
Na kwa vile alikuwa anaweza kuingia kwenye hyo nyumba nilitegemea awe was Kwanza kugundua maiti
Hata Kama nyumba ilikuwa imefungwa angeweza kutafuta ndugu au polisi wakaingia
 
Acheni polisi ifanye kazi yake na sio kuingilia majukumu ya kiupelelezi
 
Huyo kijana jinga kabisa ,ngja abinywe pumb kwamza

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…