Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa


Ni ukweli mkuu waibe mamilioni wakamatwe na king’amuzi na remote mhnmmmmm
 
kwan alishindwa kuomba akapewa ata kusingizia ana taka kufanya biashara ili
ajikwamue kiuchumi,sidhan kama angenyimwa,kama angekuwa anapeleka moto vizuri to higher standard.
 
nadhani remote na tv+kingamuzi alichukua mlinzi ili na yy akafurahie maisha.
 
Duuh

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Duuuh jamani Mali zimetoa uhai wa watu khaaaah.
 
Duuuh jamani Mali zimetoa uhai wa watu khaaaah.

Tunasubili report ya police , mama Samiha mama tunaomba mama fatilia hii case hili viongozi wa jeshi la Police linaongozwa na kamanda Siro wasitoe maelekezo tofauti kwa maslahi Yao wakambambikia mtu mwingine
Tumia hata TISS undercover na JWTZ kuchunguza hili tukio kutokana na report watakayotoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…