Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Ubarikiwe sana, ila nimekupenda bure kwa majibu yako na reaction yako maana wangekuwa kama akina Evelyn Salt chamoto ningalikipata

Pamoja Mkuu,hata wewe una lugha ya kistaarabu sana pia,pamoja na kwamba mwanzo hukuwa unakubaliana nami,bado ulijenga hoja yako kwa lugha ya kistaarabu pia.Na huu ndiyo uungwana.
 
Pamoja Mkuu,hata wewe una lugha ya kistaarabu sana pia,pamoja na kwamba mwanzo hukuwa unakubaliana nami,bado ulijenga hoja yako kwa lugha ya kistaarabu pia.Na huu ndiyo uungwana.
Kwa mara ya kwanza kueleweka, Nadhani wewe ni mhenga kama mimi ambao hatuwezi kuteuliwa. Nipo JF kuburudika maana sina muda wa kwenda vijiweni
 


Kuwa na amani.
Endelea na kile unachokifanya.
 


Kuwa na amani.
Endelea na kile unachokiamini.
 
Sio kuendekeza nyege! Sex ni hitajio la kisaikolojia kwa watu wa jinsia zote, unapolitekeleza kwa wakati wake unapata utulivu wa nafsi, tatizo la huyo marehemu ni moja tu chaguo lake halikuwa kwa usahihi! Ameenda kuangukia kwa kijana ambae anatafuta maisha, angetupata Kama sie wenzake ambao ni 40's na tuna visent vyetu vya mshahara ingawa ni vidogo, na tuna wake zetu tungeishi nae Kama mchepuko kwa adabu huku tukiangalia familia zetu! Wala kilichotokea inawezekana kingeepukika.
 
Kichefu chefu sana sio kuachiwa tu mali ..hata kama uko single parenr date na wazee wenzako ...
Mbona sisi wanaume tunafilisiwa na dogo dogo mpaka vya primary... na jamii inaona sawa tu...?

Ndio huo usawa...


Wamama waendelee kusafisha damu na serengeti .... ... Wote tunataka moto na joto...

Gari bovu huvutwa na gari zima!
 
Mwanza nyegezi
 
Aisee [emoji1787]
 
Dada wa kazi kuanzia 2007 Wala hatafuti boy friend au mtu wa kumuoa? Look around mnaweza mkawa mnakula nae.
 
Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
muda gani mumewe kafariki?inawezekana labda kiben ten alikuwepo kabla jamaa hajafa.then kwa nini kuna mikanganyiko mara houseboy mara kibenten
 
Ni tatizo la wanawake Aged kupenda vijana kitu hawaelewi vijana wanatumia makalio kufikiri huyo mrembo angekuwa anatoka na mtu mzima mwenzie mwenye familia yasinge mkuta
wanasema jamaa ni houseboy tu
 
Wanawake wanachukulia vitu kiurahis... ndio maana waarabu hata wahindi hawawaachi wanawake wafanye maamuzi.. mume akifa kama kuna mahela mwanamke hapewi hizo hela.. ila anapewa huduma zote na ukoo wa mume.. mpaka atakapoolewa tena
it makes sense kule mwanamke hafanyi kitu mpaka ruhusa ya mume/kaka/baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…