Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Uungwana ni vitendo, big up!Wakuu imetosha naomba mniwie radhi sana, nipeni muda nipate habari yote kwa ukamilifu
My apology again kwa kutokidhi kiu yenu juu ya habari hii.. NAKIRI MAPUNGUFU!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hadi sasa hatujatajiwa umri wa mwanamke wala wa 'boyfriend'...Ni tatizo la wanawake Aged kupenda vijana kitu hawaelewi vijana wanatumia makalio kufikiri huyo mrembo angekuwa anatoka na mtu mzima mwenzie mwenye familia yasinge mkuta
Huyo wa kati ndo mama?
Mrembo
Boyfriend wa nani sasa?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2815][emoji2815][emoji2815]Mi naangalia tu urembo wa mama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utamwambia nini maana mshana anapiga kvant kubwa tu viroba tupa kule
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Hii kesi ipo police.Ni homicide
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Uungwana ni vitendo, big up!
Hata wewe bado haujaeleweka, hii family inaonekana ni famous kwa baadhi ya watu tu.Kwa ambao hamjaelewa
Huyo mama mumewe joel ameshafariki, hivyo mama akatafuta kibenten/boyfriend ..kibenten akaingia tamaa baada ya kuona mama anapeleka pesa benki mara nyingi. Hivyo akasuka mchongo na mlinzi wakaleta majambazi
Wakaua watoto wawili kasoro mlinzi..
Mlinzi japokuwa alipoozwa na pesa lakini kafichua siri.. Na hivyo wote wamekamatwa tayari
Pascally hukutupiapo kaneno kweli?Wajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815]Inawekana mshana hatunaye tena ulimwenguni sasa wanajaribu kutafuta followers wake, ooh sory nilijua bado tupo enzi zileeee
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Wamekufa kifo kibaya sana.Inasikitisha sana,
FUNZO:
Wanawake wajane jieshimuni, jama unaona bado unaweza olewa, fanya hivyo na sio kutembea na wanaume hovyo hovyo.
Huyu mama amekufa na kusababisha wanae kufa kwa sababu ya uasherati wake. (Kwa lugha isiyoyakisanii)
Swali nje ya mada!flat's hpo unamkumbka mama nafisaWajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Sasa ataolewa bila kupitia hatua ya mahusiano?Inasikitisha sana,
FUNZO:
Wanawake wajane jieshimuni, jama unaona bado unaweza olewa, fanya hivyo na sio kutembea na wanaume hovyo hovyo.
Huyu mama amekufa na kusababisha wanae kufa kwa sababu ya uasherati wake. (Kwa lugha isiyoyakisanii)
Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?Inasikitisha sana,
FUNZO:
Wanawake wajane jieshimuni, jama unaona bado unaweza olewa, fanya hivyo na sio kutembea na wanaume hovyo hovyo.
Huyu mama amekufa na kusababisha wanae kufa kwa sababu ya uasherati wake. (Kwa lugha isiyoyakisanii)