Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?

Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.

Hizi ni hukumu zenye double standards.
Kwanini atembe Usiku pekee yake?
 
Kwa ambao hamjaelewa
Huyo mama mumewe Joel ameshafariki, hivyo mama akatafuta kibenten/boyfriend ..kibenten akaingia tamaa baada ya kuona mama anapeleka pesa benki mara nyingi. Hivyo akasuka mchongo na mlinzi wakaleta majambazi

Wakaua watoto wawili kasoro mlinzi..
Mlinzi japokuwa alipoozwa na pesa lakini kafichua siri.. Na hivyo wote wamekamatwa tayari
Inavyosemekana mlinzi ndiye aliyewaua kwa kuwakata na Panga na nyundo
 
Wajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Poleni aisee!
 
Mkuu usituharibie mapema hivi bado hata hatujaneemeka na hizo bei mpya
Kabisa
IMG_20210612_154306_479.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha, wapumzike kwa amani....
Sasa boyfriend kashindwa kula hela za bibie kupitia mapenzi? Mbona ni rahisi kuliko hiyo njia ya kutumia manguvu/mauaji

Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.

Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..

Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
 
Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.

Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..

Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
Ogopa sana kiben10 kimbaumbau kimekula vumbi la kongo halafu kikasimamia ukucha.. Kinasugua kihuni mpaka inatoa mvuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu elezea ueleweke...

Yaani kutoka incident ya kuwauwa na kudhulumiana na mlinzi kutoa siri yote hayo yametokea kwa muda wa siku moja ? Au hawa waliuwa lini ?

What, When, How...
Where, why, who
 
Back
Top Bottom