NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wajumbe wamegomea hii habari,wanataka wapewe kuanzia matandu mpaka ukoko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa......kila mtu na atamani upande wake...huyo maza nimemuelewa sana apumzike kwa amani na watoto wasiokua na hatia ndo wameniuma zaidiHuyo ndo joe? Anaonekana mtamu hatari
Hapana we utakua unakunywa kifutio a.k.a kvant
Mkuu wajane wengi wenye vihela/hela wanatoka na viserengeti boy hadi aibu. Yaan siku hizi ni kama fasheni, wanataka kusuguliwa na vijana, wanadai wazee wenzao hawana nguvu.Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.
Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..
Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
Marehemu atakuwa kachukizwa na hicho kitendo huko alipo.Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Mimi bado sijajua marehemu Joe alikuwa PF hapa tz au alikuwa raia tu wa kawaida? Pili mauaji yametokea lini hadi watu wakadhulumiana na mmoja kukisanuaNatamani kukielewa hiki kisa.
Huyo Joe ni nani? Boyfriend Wa nani amehusika? Mlinzi je?
Anyway, poleni wafiwa.
Inakera kwakweli...sio siriMkuu wajane wengi wenye vihela/hela wanatoka na viserengeti boy hadi aibu. Yaan siku hizi ni kama fasheni, wanataka kusuguliwa na vijana, wanadai wazee wenzao hawana nguvu.
Kazi iendelee
Ndo zao siku hizi, ovyo kabisaMume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Due,Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Muwe mnaelemishana huko kwenye magrupu yenu mkuu. Wengi wakiachiwa mali wanafilisika sababu ya kuendekeza viserenget boy. Tunawaona wengi tu huku mtaan wanayoyafanyaInakera kwakweli...sio siri
Muwe mnaelemishana huko kwenye magrupu yenu mkuu. Wengi wakiachiwa mali wanafilisika sababu ya kuendekeza viserenget boy. Tunawaona wengi tu huku mtaan wanayoyafanya