Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Kawa house boy tena?
Au inalindwa heshima ya marehemu?
 
Semaga hivi wako wakaka kazi yao kuwa smart na kwa siku anasalimia wamakankaka 10 anakumwagia misifa kama umenit naye sokoni anakuomba akusindikize had kwa gar...ss kama una stress za kwako unahis anajua kucare unajikuta unampa namba..had saa7 usk anakubembeleza tu bas unahis wewe ndo wewe..mxiew
Duuuu! Duniani kuna ujinga mwingi mno
 
Mshana Jr katoa Uzi tayari,dili la kumpora fedha ,limesukwa na ex Wa uyo mama na mlinzi.ITV hawana vyanzo vya habari vya huakika
 
Inauma mno!

Sina hakika kama kilichoelezwa kuwa chanzo cha msaidizi wa ndani kuwaua hawa watu kama ni kweli!!


Kwa wanaoajiri wasaidizi wa ndani nje na kuwafuatilia/kuwajua vyema historia za Maisha yao ni vyema pia TUKAWA TREAT VIZURI, KUNA MALALAMIKO MENGI YA WAFANYAKAZI WA NDANI KUNYANYASWA NA KUONEWA, HUWEZI JUA NINI KILITUKIA. WENGINE WANAAJIRI WATU HOVYO HOVYO BILA KUJUA HISTORY ZAO VIZURI, KUNA RAFIKI YANGU ALIAJIRI MTU KUMBE ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI JUST IMAGINE MTU WA NAMNA HII UNAFIKIRI HAWEZI KUFANYA VITENDO KAMA HIVI.?


Pole Sana kwa wanafamilia na watu wa karibu, sijajua baba and familia alikuwepo au vipi maana taarifa zake na hazijawekwa sawa.


May their souls rest in eternal life!!
 
Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Wanawake bhana!! Mume kafariki juzi tu keshapata HAWARA hadi anajua nyumbani kwake na hela zilipo!!!! Huyo hawara anayepajua home mume kafa juzi tu lazima alikuwepo kabla. Mjane anaishi mwenyeweee na wanawe tu very selfish utakuta hapo wakwe, mawifi na mashemeji aliwakatia laini wasiguse urithi alioachiwa akaamini mlinzi na kibenten.. Matokeo yake watoto malaika wanauwawa very sad!!!
 
Huko kwenye magroup wanaambiana upuuzi tu, nilishika simu ya wife nikakuta group eti mama mijengo vs michepuko nikasema kimoyomoyo "fakin"
Mama mijengo ikimaanisha nini?
Imagine mdada limekukwama jambo unatafuta mama mtu mzima akushauri anageuka kukuambia nitakutaftia kiben 10 .tena anakuambia ngoja nitakutaftia kiben 5 kiwe kinakukuna🤣🤣..mama yuko abov 67 huko! Sasa fikiria yeye anafanyaje!dunia imeisha kbs!
Mwisho umekaribia
 
Baada ya Taarifa hii kuileta humu Jamvini
Inaonekana yapo mengi nyuma ya pazia kuhusiana na tukio hili
Bila shaka tusubili wajuvi wa mambo
Wanakuja!
Inauma mno!

Sina hakika kama kilichoelezwa kuwa chanzo cha msaidizi wa ndani kuwaua hawa watu kama ni kweli!!


Kwa wanaoajiri wasaidizi wa ndani nje na kuwafuatilia/kuwajua vyema historia za Maisha yao ni vyema pia TUKAWA TREAT VIZURI, KUNA MALALAMIKO MENGI YA WAFANYAKAZI WA NDANI KUNYANYASWA NA KUONEWA, HUWEZI JUA NINI KILITUKIA. WENGINE WANAAJIRI WATU HOVYO HOVYO BILA KUJUA HISTORY ZAO VIZURI, KUNA RAFIKI YANGU ALIAJIRI MTU KUMBE ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI JUST IMAGINE MTU WA NAMNA HII UNAFIKIRI HAWEZI KUFANYA VITENDO KAMA HIVI.?


Pole Sana kwa wanafamilia na watu wa karibu, sijajua baba and familia alikuwepo au vipi maana taarifa zake na hazijawekwa sawa.


May their souls rest in eternal life!!
 
Dada wawatu unamharakisha na utamu wake bado tunauhitaji....fuckin huyu jamaa...

Angemfanya matusi vizuri mbona angecheua mpunga kilaini kabisa....lakini kwanini mtoto wakiume upewe hela kifalafala...
Vijana wengi wanapenda kitonga kuna kisa kama hiki kilitokea mbezi beach miaka 5 iliyopita mama mrembo aliuliwa na boy friend
 
Kijana aitwae Shadrak Kapanga anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za Mauaji ya Bosi wake pamoja na wanae wawili kwa madai ya kugombezwa mara kwa mara,
Tukio hilo lilitokea Tarehe 9/6/2021 maeneo ya Masaki Dar es salaam.
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Muliro Jumanne amethibitisha kutokea kwa tukio hili.
Chanzo:ITVView attachment 1816265
Hii habari ni serious case Ila inaripotiwa kama ajali ya Boda boda
 
Back
Top Bottom