Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Hahahaaa kudanga huko nikajikuta nakutana na mama watoto, miaka 15+ iliyopita.nikikimbuka huwa nacheka sana mambo ya ujana.unajiweka smart halafu unawinda wanawake wenye pesa.ila saivi usmart umekwisha,majukumu yamekuwa mengi muda wa kujitizama kwenye kioo haupo.
Sema mnatakataga sasa kumtawala boss babe😀! Mnajikuta na nyie mna wivu kumbe tu akili yako iko kwa wallet...lol
 
Wajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Pascal mayalla na mshana J tafadhali wasilianeni mtupe habari inayoeleka. Huku jf kila mtu anaongea lake
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!



View attachment 1816190

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, dunia hii... 🙆🏾‍♂️
 
Kwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?

Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.

Hizi ni hukumu zenye double standards.
Moyo ni kichaka huwezi ukajua mtu anawaza nini wakati wewe ukiona amekuja kwa ajili ya mapenzi kumbe mwenzio kaja kwa tamaa ya mali tena vijana wa siku hizi wanataka vya bure hawataki kutafta mali zao kiukweli,lakini pia kuna sehemu mahali mama aliteleza mfano kuwa exposed kwa huyo boyfriend mpaka anajua ratiba zako zote ,pole sana kwa familia kwa kweli huu ni ukatili usiopimika
 
Sasa alishindwaje mlia mkongo show moja tuu mwanamke anakuachia mali ya nini kuua
 
Moyo ni kichaka huwezi ukajua mtu anawaza nini wakati wewe ukiona amekuja kwa ajili ya mapenzi kumbe mwenzio kaja kwa tamaa ya mali tena vijana wa siku hizi wanataka vya bure hawataki kutafta mali zao kiukweli,lakini pia kuna sehemu mahali mama aliteleza mfano kuwa exposed kwa huyo boyfriend mpaka anajua ratiba zako zote ,pole sana kwa familia kwa kweli huu ni ukatili usiopimika
Mkuu, ni kweli suala kubwa ni ukatili wa kuuawa mama na wanawe wawili. Mahusiano yake na huyo jamaa hatuwezi kujua yalikuwaje. Kuna baadhi humu tumeanza kumlaumu huyo mama. Hakuna mtu anayestahili ukatili wa namna hiyo.
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!



View attachment 1816190

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!



View attachment 1816190

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie kina mama huwa mnajitakiaga mambo mengine! Badala utulie ulee watoto unaanza fukunyuku kudate mwisho unadate majambazi mfyuuuuu 😡! Pole sana watoto, mmeponzwa na mama yenu mfyuuuuu 😡!
 
Back
Top Bottom