Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema mnatakataga sasa kumtawala boss babe😀! Mnajikuta na nyie mna wivu kumbe tu akili yako iko kwa wallet...lolHahahaaa kudanga huko nikajikuta nakutana na mama watoto, miaka 15+ iliyopita.nikikimbuka huwa nacheka sana mambo ya ujana.unajiweka smart halafu unawinda wanawake wenye pesa.ila saivi usmart umekwisha,majukumu yamekuwa mengi muda wa kujitizama kwenye kioo haupo.
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Sema mnatakataga sasa kumtawala boss babe[emoji3]! Mnajikuta na nyie mna wivu kumbe tu akili yako iko kwa wallet...lol
Mshana sio kawaida yako kutoa habari ya mapungufu kama haya. Mimi Leo nimekusamehe Ila usirudie tena mkuu.Wakuu imetosha naomba mniwie radhi sana, nipeni muda nipate habari yote kwa ukamilifu
My apology again kwa kutokidhi kiu yenu juu ya habari hii.. NAKIRI MAPUNGUFU!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal mayalla na mshana J tafadhali wasilianeni mtupe habari inayoeleka. Huku jf kila mtu anaongea lakeWajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Duh, dunia hii... 🙆🏾♂️Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!
View attachment 1816190
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo ni kichaka huwezi ukajua mtu anawaza nini wakati wewe ukiona amekuja kwa ajili ya mapenzi kumbe mwenzio kaja kwa tamaa ya mali tena vijana wa siku hizi wanataka vya bure hawataki kutafta mali zao kiukweli,lakini pia kuna sehemu mahali mama aliteleza mfano kuwa exposed kwa huyo boyfriend mpaka anajua ratiba zako zote ,pole sana kwa familia kwa kweli huu ni ukatili usiopimikaKwa hiyo ni kosa lake kuuawa yeye na wanawe? Yeye ndio amesababisha haya?
Unajuaje kama alikuwa "anatembea na wanaume hovyo hovyo"?
Ni sawa na kusema mwanamke akiwa barabarani usiku akabakwa ni kosa lake.
Hizi ni hukumu zenye double standards.
Nchi imetikisikaPascal mayalla na mshana J tafadhali wasilianeni mtupe habari inayoeleka. Huku jf kila mtu anaongea lake
Avae Mshana Jr alikuwa anaandika kwa haraka kuwahi kuitupia humu JF hii habari kwani simu janja yake ilikuwa na asilimia 1 ya chaji ya betri. Msimlaumu.Utamwambia nini maana mshana anapiga kvant kubwa tu viroba tupa kule
Unashikaje simu ya mkeo!!??Huko kwenye magroup wanaambiana upuuzi tu, nilishika simu ya wife nikakuta group eti mama mijengo vs michepuko nikasema kimoyomoyo "fakin"
Mshana mbea siku hizi hatareWakuu imetosha naomba mniwie radhi sana, nipeni muda nipate habari yote kwa ukamilifu
My apology again kwa kutokidhi kiu yenu juu ya habari hii.. NAKIRI MAPUNGUFU!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ni kweli suala kubwa ni ukatili wa kuuawa mama na wanawe wawili. Mahusiano yake na huyo jamaa hatuwezi kujua yalikuwaje. Kuna baadhi humu tumeanza kumlaumu huyo mama. Hakuna mtu anayestahili ukatili wa namna hiyo.Moyo ni kichaka huwezi ukajua mtu anawaza nini wakati wewe ukiona amekuja kwa ajili ya mapenzi kumbe mwenzio kaja kwa tamaa ya mali tena vijana wa siku hizi wanataka vya bure hawataki kutafta mali zao kiukweli,lakini pia kuna sehemu mahali mama aliteleza mfano kuwa exposed kwa huyo boyfriend mpaka anajua ratiba zako zote ,pole sana kwa familia kwa kweli huu ni ukatili usiopimika
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!
View attachment 1816190
Sent using Jamii Forums mobile app
Limesemaje?Kaka mshana mbona jeshi la polisi nalo limekuja na taarifa nyingine tofauti na hizi juu ya chanzo cha kifo cha hao marehem?
Hahahaha[emoji1][emoji1][emoji1]Mh, mtu mzima akitaka kutukana, basi huzungushiaaa!
Yaan unayetukanwa hata kama umekaa naye hapo hapo, hauwezi ambulia kitu, utabakia tu kukenua meno kwa furaha ukidhani anayenangwa si wewe kumbe kisu kishachinja!
Wakubwa ana akili,wee acha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie kina mama huwa mnajitakiaga mambo mengine! Badala utulie ulee watoto unaanza fukunyuku kudate mwisho unadate majambazi mfyuuuuu 😡! Pole sana watoto, mmeponzwa na mama yenu mfyuuuuu 😡!Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story!
Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa!
View attachment 1816190
Sent using Jamii Forums mobile app