Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Aliye HACK akaunti ya Mshana jr ya JF akamatwe , maana Mshana hawezi kuandika stori KIBOYA hivi
Mh, mtu mzima akitaka kutukana, basi huzungushiaaa!

Yaan unayetukanwa hata kama umekaa naye hapo hapo, hauwezi ambulia kitu, utabakia tu kukenua meno kwa furaha ukidhani anayenangwa si wewe kumbe kisu kishachinja!

Wakubwa ana akili,wee acha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaoajiri wasaidizi wa ndani nje na kuwafuatilia/kuwajua vyema historia za Maisha yao
Mkuu, umeongea jambo la maana sana. Big up kwako. Historia ya maisha ya mtu ni jambo la muhimu sana. Kuna kiongozi mmoja aliwahi kusema katika moja ya hotuba zake kwa viongozi wadogo kwamba "historia yako itatembea na wewe".

Asije mtu akakwambia eti sasa hivi nimebadilika sipo kama zamani wakati uliishi naye kwa muda wa miaka 3 na kumjua tabia zake vema. Kama mtu huyo kabadilika basi ni 4% tu ya tabia zake lakini 96% ni tabia zake zile zile mbovu sema anazifanya kwa style nyingine mpya.
 
Watu wanalaumu vitu vya ajabu tu
Suala la umri linatoka wapi hapo na hata umri haujatajwa lakini shida kama hii inaweza kumkuta mtu yoyote migogoro ya mahusiano ipo bila kujali umri tamaa zipo tu bila kujali umri jambo kama hili linaweza kumkuta yoyote hujui mawazo ya mtu


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wajameni, this is very sad!. Emmy Kaungamno, alikuwa jirani yetu next Door, enzi za udogoni pale Drive in Flats, "mafletini". Last Sunday nimesali Msasani Lutheran, nikasalimiana nae, na kujoke, how come, she looks so cute as if she is early twenties, na kusema lazima kuna watu wanatunza!, akasema thanks, hakuna mtu ni Almight God only!. Its as if alikuwa anatuaga!. So sad!.
Paskali
Mkuu,
Unapata wapi ujasiri wa kuandika neno "wajameni"
 
Semaga hivi wako wakaka kazi yao kuwa smart na kwa siku anasalimia wamakankaka 10 anakumwagia misifa kama umenit naye sokoni anakuomba akusindikize had kwa gar...ss kama una stress za kwako unahis anajua kucare unajikuta unampa namba..had saa7 usk anakubembeleza tu bas unahis wewe ndo wewe..mxiew
Kwahiyo umeamua kunichamba[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119] hata mimi kaka ako..
 
Sasa ataolewa bila kupitia hatua ya mahusiano?
Unajuaje kama hawakupanga ndoa?

Maana hapo hawajasema alikua anatembea na wanaume hovyo hovyo bali huyo mwanaume alikua mpenzi wake, shida iko wapi?
Mpaka sasa hujaona shida ilipo ?? ..Ur not serious kabisa
 
Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.

Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..

Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
Haya ni maoni tu
Habari iliyotoka ni kama tu kichwa cha habari haijasema umri wa huyo boyfriend
Ametajwa kama boyfriend kwa kuwa mume alishafariki
lakini huwenda labda sio mtu mwenye 20s au 30s kama wengi wanavyodhani inawezekana yuko kwenye 40s huko kama ambavyo mngependa iwe na maisha normal anayo kama nyumba gari lakini hizi tamaa na mawazo kama hayo yametoka wapi mizozo ya mahusiano na kujua kila kitu kuhusu mpenzi wake huwenda imepelekea hayo yote



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Haya ni maoni tu
Habari iliyotoka ni kama tu kichwa cha habari haijasema umri wa huyo boyfriend
Ametajwa kama boyfriend kwa kuwa mume alishafariki
lakini huwenda labda sio mtu mwenye 20s au 30s kama wengi wanavyodhani inawezekana yuko kwenye 40s huko kama ambavyo mngependa iwe na maisha normal anayo kama nyumba gari lakini hizi tamaa na mawazo kama hayo yametoka wapi mizozo ya mahusiano na kujua kila kitu kuhusu mpenzi wake huwenda imepelekea hayo yote



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ulitaka Mshana Jr. aende amuulize umri wako, shughuli zako ni zipi, una miliki mali gani!!!!!!

Watu wengine bana, sijui!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom