Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Tunasubili report ya police , mama Samiha mama tunaomba mama fatilia hii case hili viongozi wa jeshi la Police linaongozwa na kamanda Siro wasitoe maelekezo tofauti kwa maslahi Yao wakambambikia mtu mwingine
Tumia hata TISS undercover na JWTZ kuchunguza hili tukio kutokana na report watakayotoa
Hakika kabisa yaan, haki itendeke pasipo kuumiza wasio na hatia.
 
Hii case inafanana na ya Said ntimizi alipooondoa uhai wa yule mama mwenye shule na kumzika ndani ya ceptic tank.

Nahisi kama saidi yuko out of prison ila kalay low. Kama yule aliyemuua marehemu ayoub naye katoka jela conrad. Wauaji bongo wengine huwa wana toka ( mapungufu makubwa haya kwa wahusika).

Issue ya huyu dada nadhani kuna mambo ya kishirikina pia toka kwa ndugu wa mume wanaotaka kurithi mali ya mumewe. Kuna nguvu za giza hapa zimekuwa triggered. Houseboy amekuwa kama agent of action in the spirit realm.
Said yuko nje mama yake ndio kamtoa,karudia kazi yke ya utapeli ila damu ya yule mama itammaliza muda ni ukuta
 
Wanawake wanachukulia vitu kiurahis... ndio maana waarabu hata wahindi hawawaachi wanawake wafanye maamuzi.. mume akifa kama kuna mahela mwanamke hapewi hizo hela.. ila anapewa huduma zote na ukoo wa mume.. mpaka atakapoolewa tena
Hao wanaomlea wanapata wapi uchungu wa kumhudumia huyo mjane wa watu, imani za kizamani
 
Hii case inafanana na ya Said ntimizi alipooondoa uhai wa yule mama mwenye shule na kumzika ndani ya ceptic tank.

Nahisi kama saidi yuko out of prison ila kalay low. Kama yule aliyemuua marehemu ayoub naye katoka jela conrad. Wauaji bongo wengine huwa wana toka ( mapungufu makubwa haya kwa wahusika).

Issue ya huyu dada nadhani kuna mambo ya kishirikina pia toka kwa ndugu wa mume wanaotaka kurithi mali ya mumewe. Kuna nguvu za giza hapa zimekuwa triggered. Houseboy amekuwa kama agent of action in the spirit realm.
Mmh comment yako inafikirisha sana, maana ndugu wa kiafrika nao huwa na mengi nyuma ya pazia
 
Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Loh Bora angenipata hata mie mzee mwenzake! Hawa watoto wa 30's ni tatizo! Hawapendi kazi, wanawaza ukitonga tu! Rip Mrembo Mola awahifadhi
 
Ni tatizo la wanawake Aged kupenda vijana kitu hawaelewi vijana wanatumia makalio kufikiri huyo mrembo angekuwa anatoka na mtu mzima mwenzie mwenye familia yasinge mkuta
Ni kweli kabisa ndg! Ndio hivyo Tena kazi ya Mola!
 
Wanasema Mume Mauti yalimkuta South Africa, kwenye bar ya club vya usiku!!
Duniani hapa kila mtu anavuna alichopanda. Ukiona kitu kama hiki kinatokea ujue kabisa ni majibu ya matendo yako. Huruma ziende kwa watoto na Mungu aweke roho zao mahali panapostahiri.
 
Wanawake unampelekaje boyfriend kwenye nyumba ya marehemu mumeo mpaka ajue ya hela ulizonazo.

Pia mjane tajiri wanaume wahuni vibenten wa nini.. why usitafute mjane mwenzako mwenye mahela. Ama unakuwa hata mchepuko wa mwanaume anaejielewa pia.. hela anazo ila hajui hata value yake..

Wanawake wajanja wana vikazi vya laki sita tu ila mwanaume mjinga mjinga hawakupi chance hata ya kumsalimia..
Umeongea kweli tupu mkuu, pia mapungufu makubwa ni kupeleka hawara yake nyumbani kwake. Na hicho ndio kimesababisha hata watoto wasio na hatia kuuliwa kinyama.
 
Mbona story yako haingii akilini kabisa?House boy au boyfriend kumuua huyo dada kisa mali? labda uniambie kama walijua kuna kiasi cha pesa kiko ndani ya nyumba na walishindwa kukichukua kwani wao walikuwa kikwazo na bado njia hii mbona haiingii akilini kwanini wasingelikodi majambazi wakaiba hiyo pesa kama pesa ilikuwa ndani bila kuacha mianya wao kujulikana walikuwa bedhind.?

Kw mbinu hii ni wazi wahusika sio walio tajwa maana watajwa hawawezi kunufaika na hizo mali ambazo haziamishi na ziko kwenye maandishi ,labda ndugu wa mama au mume na kwenye hili ni ndugu wa mume wanaweza kuwa suspect no 2 kama sio n0 1 maana wao ndio wanaweza kumtuma yeyote kati ya watajwa kutekeleza mauaji maana wao ndio watakuwa wanufaika wa mali baada ya wahusika muhimu kutangulia mbele ya haki..

Hivi mahusiano ya huyu dada na ndugu wa mume na ndugu zake wa tumbo moja yalikuwa ya aina gani? ukitaka kujiuliza zaidi jaribu kufikiri kuhusu mtu kuamua kuishi na watoto wake tuu na mfanyakazi wa kiume na sio wakike..... huyu mtu hakuwa na watu wa karibu au ndugu hata mmoja wa kuishi nae au hata ndugu yake? kuna shida hapa hasa ukifikiria mazingira ya kitanzania.

Hivi vifo vinaweza kuwa na sababu nyingine kabisa kama house boy ni muhusika wa moja kwa moja lakini kama ametumwa basi si muhusika wa moja kwa moja na pesa itakuwa imechangia na wahusika wakuu hawawzi kuwa boyfriend na house boy,
Kumbuka wenye pesa wengi huwa hawataki misongano ya ndugu kwenye majumba yao. Kama ni msaada unatumiwa huko huko uliko, kwa hyo isikupe shida kukaa na wanae tu na kijana wa kazi wa kiume.
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story

Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa

Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.


Soma pia

1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

View attachment 1816190
Umalaya haufai kabisa
 
Wanawake tumekuwa na shida kubwa, kuendekeza nye ge, mume akifa tu hujatulia tayari ushasogeza, ukiachika ndo hivyo hivyo,

Yawezekana mke alishirikiana na huyo benten akamwondoa mume or whatever the case ila ndo yamerudi.

Huruma kwa hao mabinti sijui ndo walifunga tu shule maskini na kuja kupata balaa kubwa hilo.

Hao wauwaji walaaniwe milele.
 
Wanawake tumekuwa na shida kubwa, kuendekeza nye ge, mume akifa tu hujatulia tayari ushasogeza, ukiachika ndo hivyo hivyo,

Yawezekana mke alishirikiana na huyo benten akamwondoa mume or whatever the case ila ndo yamerudi.

Huruma kwa hao mabinti sijui ndo walifunga tu shule maskini na kuja kupata balaa kubwa hilo.

Hao wauwaji walaaniwe milele.
Maneno mazito Sana haya khaaaa
 
Taarifa ya police ya kwanza walitunga Basi sijui kwa faida gani , wanasema walimkuta house boy anauza Simu ili apate nauli ya kutoroka Kwenda kwao walivyomuoji house boy akasema majambazi wamemuua boss wake walimuhoji tena house boy akasema ameua alitumwa kuua na huyo boyfriend

boyfriend alivyomdhulumu akatoa siri so which is which wananchi walivyoanza Kuhoji kwenye mitandao police wakaona aibu wakatoa maelezo mengine Kua wanafatilia kujua chanzo cha house boy kuua au nini kiini cha mauaji

kuna kitu police wanataka kuficha au Kuna mtu wanataka kumlinda kwa faida zao (RIP JPM)

Roho yangu inaniambia ndugu wa mume wanahusika kwa asilimia kubwa msiba wameupelekwa ( kiumeni ) jamani jeshi la police lifanye uchunguzi kuwahoji hao Nshomile hawana uchungu na ndio maana msiba wameuwahi ili wachukie Mali pia

marehemu alikua na mji wake kwa nini wakimbilie kupeleka msibani ukweni ni huruma wanatafuta au kujivua waoenekane hawajausika?

Wala haihitaji hata kuumiza akili katika hili....Huo ulioandikwa na jeshi la polisi ni uongo mtupu, mazingira ya vifo vya watu watatu kwa wakati mmoja yamerahisishwa sana. Huyo house boy abanwe tu vizuri awaseme wauaji. Na kama wauaji wanajulikana basi wasizunguke zunguke kisa pesa, pesa ni nini mbele ya roho ya mtu???
 
nadhani remote na tv+kingamuzi alichukua mlinzi ili na yy akafurahie maisha.

Taarifa inadai huyo msaidizi wa marehemu ndo kahusika na hivyo vifo na baadaye kukamatwa akiwa na TV, king’amuzi cha DSTV na remote, hii inakuingia akilini???
 
Back
Top Bottom