Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Taarifa inadai huyo msaidizi wa marehemu ndo kahusika na hivyo vifo na baadaye kukamatwa akiwa na TV, king’amuzi cha DSTV na remote, hii inakuingia akilini???
taaarifa yenyewe imekuja ikiwa imetokea bar,ata mshana jr anajua , ndio maana tunakorogana kujua ukwel ...
 
mku umalaya unaingiaje kwenye mauaji ya familia yote, mama na watoto?
Atazinije na house boy?? na inavyoonyesha walianza kitambo, by the way, kwani mume hasa wa huyo mama alikufa kifo gani?
 
Wanawake tumekuwa na shida kubwa, kuendekeza nye ge, mume akifa tu hujatulia tayari ushasogeza, ukiachika ndo hivyo hivyo,

Yawezekana mke alishirikiana na huyo benten akamwondoa mume or whatever the case ila ndo yamerudi.

Huruma kwa hao mabinti sijui ndo walifunga tu shule maskini na kuja kupata balaa kubwa hilo.

Hao wauwaji walaaniwe milele.
Ni haki yake kuwa kwenye mahusiano,siyo mbaya mbona
Lazima awe na mtu wa kumtoa upweke
Sema inategemeana atakuwa na mtu wa aina gani
Mm binafsi kuwa na mwanamke age iliyozidi 40
Poa tu

Ova
 
Atazinije na house boy?? na inavyoonyesha walianza kitambo, by the way, kwani mume hasa wa huyo mama alikufa kifo gani?
inaonekana unajua kitu, nenda basi polisi ukasaidie haki kutendeka.
kumbuka kujua sababu ya mauaji ni muhimu sana kwa sababu inasaidia jamii iliyo baki kuishi kwa tahadhari.
 
Mimi masuala ya kusuguana lisaa au 30min( i mean unapump tuuuuu [emoji57][emoji19] sitaki...huna technques bas uniache..khaa..kuchoshana mm sitak kbs...
Hizo 'rough' saazingine huchezwa kutokana na kinyongo cha mwanaume kunyanyasika kwa njia alizotumia kupata.

Mfano wakati akitongoza, ashadhalilishwa sana kwa matusi ya wangu wangu na maneno ya kejeli hadi akajidharau.

Kufanikiwa hadi akatumia washenga ama makuwadi na kupewa sharti la 'pesa ndefu'.

Sharti kalitimiza kapata, tena huenda kwa masharti mengine ya...'baada ya hapa tusijuane'... hapo kuna kushuka haraka kweli!

Kwenye 'kumalizia mode' kuna wanaume huwa wanalia kabisa, usidhani kwa kupagawa, bali kwa kukumbuka manyanyaso na masharti kibao aliyopewa hadi kupelekea kulifanikisha tendo analolifanya muda huo.
 
Nimejaribu kufatilia kidogo issue kusikia baadhi ya majirani especially walinzi wa majumba huko
Inaonekana huyo mama alikuwa hana time wala mawasiliano na watu huko,akitoka akirudi yeye kama yeye!!

Life style hizo siku zote siyoooo kabisa

Ova
Sasa Masaki unaishi vipi na majirani? Nyumba yako mbele wachina, kushoto muitaliano kulia mhindi. Sio kama kwenu Kimara Mwisho mtaa mzima mko kwenye group la WhatsApp mtu akivamiwa na wezi mnajadili wiki nzima
 
Sasa Masaki unaishi vipi na majirani? Nyumba yako mbele wachina, kushoto muitaliano kulia mhindi. Sio kama kwenu Kimara Mwisho mtaa mzima mko kwenye group la WhatsApp mtu akivamiwa na wezi mnajadili wiki nzima
Hahahhahahaa nimecheka sana jamani
 
Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33]
Very sad story

Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend akapata tamaa, akapanga na mlinzi wakwakata mapanga wakawaua! Wakachukua pesa! Ila boyfriend akamzika mlinzi pesa! Mlinzi akatoa siri! Wote wamekamatwa

Zaidi soma hapa
Dar Es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Shadrack Kapanga (34) kwa tuhuma za mauaji ya mama na watoto wake wawili eneo la Masaki mtaa wa Maryknol.

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa jana Ijumaa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni akiwa kwenye harakati za kutoroka baada ya kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 12, 2021 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa na baadhi ya vitu alivyoviiba baada ya kufanya tukio hilo.

“Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni simu za marehemu, televisheni, king’amuzi cha DSTV na rimoti,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Muliro ameeleza kuwa upelelezi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo la mauaji Juni 9, 2021 baada ya kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha.

“ Baada ya kuwaua aliwafungia ndani na kutoroka. Upelelezi wa shauri hili unaendelea ili kujua sababu za msingi za mauaji hayo na mara utakapokamilika mhusika/wahusika watafikishwa Mahakamani haraka iwezekanavyo,” inaeleza.


Soma pia

1). Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

View attachment 1816190
Asante mshana. Umenipa kamwanga kidoogo kuhusu hili jambo. Nimesoma magazeti mengi lakini sijapata kitu
 
Sasa Masaki unaishi vipi na majirani? Nyumba yako mbele wachina, kushoto muitaliano kulia mhindi. Sio kama kwenu Kimara Mwisho mtaa mzima mko kwenye group la WhatsApp mtu akivamiwa na wezi mnajadili wiki nzima

[emoji23]
 
Sasa Masaki unaishi vipi na majirani? Nyumba yako mbele wachina, kushoto muitaliano kulia mhindi. Sio kama kwenu Kimara Mwisho mtaa mzima mko kwenye group la WhatsApp mtu akivamiwa na wezi mnajadili wiki nzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti afu mbele za watu khaaah.
 
Hizo 'rough' saazingine huchezwa kutokana na kinyongo cha mwanaume kunyanyasika kwa njia alizotumia kupata.

Mfano wakati akitongoza, ashadhalilishwa sana kwa matusi ya wangu wangu na maneno ya kejeli hadi akajidharau.

Kufanikiwa hadi akatumia washenga ama makuwadi na kupewa sharti la 'pesa ndefu'.

Sharti kalitimiza kapata, tena huenda kwa masharti mengine ya...'baada ya hapa tusijuane'... hapo kuna kushuka haraka kweli!

Kwenye 'kumalizia mode' kuna wanaume huwa wanalia kabisa, usidhani kwa kupagawa, bali kwa kukumbuka manyanyaso na masharti kibao aliyopewa hadi kupelekea kulifanikisha tendo analolifanya muda huo.
Kwenye paragraph ya mwisho sasa naamini ni kweli, maan kuna watu km wawili wameshawahi nambia, sikua naamini.
 
Back
Top Bottom