Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Kwa hii style sioni unafuu wa case ya Musiba hata baada Membe kufariki!
 
Kesi ile haijaisha wanataka nyingine tu.
Kwanza kiutaratibu dajtari hawezi kueleza maradhi ya mgonjwa au marehemu bila idhini ya mgonjwa mwenyewe (kama yupo hai na ana ufahamu) au familia (kama mgonjwa hana ufahamu au mgonjwa amefariki).

Kama daktari hakuwa na mamlaka ya familia, ashtakiwa na awe suspect wa kwanza, kama itaonekana kifo cha Membe hakikuwa natural. Huenda daktari kwa kupitia fani yake, alitumika na wabaya wa Membe kummaliza marehemu.

Yawezekana daktari alikuwa anafahamu kuwa marehemu atakwenda hospitali kwa checkup ya kawaida, na hivyo alivyoenda kwenye uchunguzi wa kawaida, alipandikizwa mwilini vitu vya kuundoa uhai wake, maana tunaambiwa tatizo lilianza baada ya yeye kwenda kwenye checkup ya afya yake ambayo huifanya kila mwaka.
 
Mbona hawajamtaja huyo Dr au yule professa wa JKCI?
 
kuna watu wanaenda kufa so soon
 
Atakuwa na lake alilokuwa anawai kufumba watu midomo, mbona aliongea kama anaongelea mbuzi tu na si kifo cha binadamu, na alikuwa na haraka gani kuongea bila makubaliano ya wanafamilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…