FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hukususikia mkurugenzi wa hospitali ya Kairuki kwenye mahojiano na waandishi wa Habari siku ya kwanza tu akieleza kwamba amefariki kwa kifua?, huyo daktari yeye katoa taarifa gani ambayo hospitali haikuwa imeitoa?Aliyeongea na tulimsikia alisema yeye ni daktari wa familia hakusem yeye ni hospitali
Kwani hata huyo Dr unayemtetea alitoa taarifa lini???Hukususikia mkurugenzi wa hospitali ya Kairuki kwenye mahojiano na waandishi wa Habari siku ya kwanza tu akieleza kwamba amefariki kwa kifua?, huyo daktari yeye katoa taarifa gani ambayo hospitali haikuwa imeitoa?
Huyo Dokta yeye katoa taarifa gani? Kwamba kafariki kwa ugonjwa upi?Kwani hata huyo Dr unayemtetea alitoa taarifa lini ???
Si siku hyo hyo tu, alafu kule kairuki hawakukazia na kusema kafa kawaida kama huyo Dr unayemtetea alivyosema, wao walisema tu mara ya mwisho alikuwa akisumbuliwa na kifua.
Alisema Pulmonary embolism na kututoa hofu kuwa amekufa natural death.Huyo Dokta yeye katoa taarifa gani? Kwamba kafariki kwa ugonjwa upi?
Halafu Membe alikuwa kiongozi wa kampuni binafsi au taasisi ya umma?
Mh Rais Samia anasemaje kuhusu u mauti wa Benard Membe?Familia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia...
Hujaelewa madaHuyo Dokta yeye katoa taarifa gani? Kwamba kafariki kwa ugonjwa upi?
Halafu Membe alikuwa kiongozi wa kampuni binafsi au taasisi ya umma?
Kwani hospitali ni nini? Ni matofali?Sasa kama waliotoa taarifa za kufariki kwa kifua ni hospitali ya Kairuki, kwanini anatishiwa kushtakiwa daktari?
Hiyo familia ni ya kubburuza tu watu mahakamani hahahahFamilia ya marehemu Bernard Membe kupitia mwana familia anayeitwa Steven Membe wamemkana aliyejitambulisha kama daktari wa familia ...
Kwahiyo lengo lilikuwa kutaja ugonjwa wake au kuondoa wananchi hofu? Maana huyo alikuwa kiongozi wa umma, kwanini ungekufa wewe kuna mtu hata angeuliza umekufa na nini? Ukishaamuwa kuishi kwa public intrest (kiongozi) kuna Sacrifices unakuwa umezifanya tayari. Mfano mimi nikienda gesti hakuna mtu atakuwa na muda na mimi. Ila waziri mkuu akiingia tu gesti, waandishi wote wa habari watakuwa nje ya geti kumsubiri akitoka wamhoji, kwanini? Kwa sababu kuna maslahi ya umma ndani yake, huweZi kupenda asali halafu uking’atwa na nyuki kidogo uanze kulia lia.Alisema Pulmonary embolism na kututoa hofu kuwa amekufa natural death.
Kuwa mtumishi wa uma haiondoi ubinadamu wake, hakuna daktari anaruhusiwa kutoa taarifa za mgonjwa bila idhini yake au familia yake.
Hata kifo cha Mzee mkapa, familia ndio iliyotoa sababu ya kifo
Siri ya mgonjwa ni baina yake na Daktari ! Period.Kwahiyo lengo lilikuwa kutaja ugonjwa wake au kuondoa wananchi hofu? Maana huyo alikuwa kiongozi wa umma, kwanini ungekufa wewe kuna mtu hata angeuliza umekufa na nini? Ukishaamuwa kuishi kwa public intrest (kiongozi) kuna Sacrifices unakuwa umezifanya tayari. Mfano mimi nikienda gesti hakuna mtu atakuwa na muda na mimi. Ila waziri mkuu akiingia tu gesti, waandishi wote wa habari watakuwa nje ya geti kumsubiri akitoka wamhoji, kwanini? Kwa sababu kuna maslahi ya umma ndani yake, huweZi kupenda asali halafu uking’atwa na nyuki kidogo uanze kulia lia.
Kilichofanyika ni kwa maslahi mapana ya taifa, kuna watu huvunjiwa nyumba zao kupisha barabara, kwa sababu maslahi ya umma huwa yanaanza kwanza.
Elezea ulivyoielewa sasaHujaelewa mada
Huyo ni mkurugenzi wa hispitali na alizungumza kwa niaba ya hospitali, ashtakiwe huyo. Sio huyo daktari mwingine.Kwani hospitali ni nini? Ni matofali?
Haiwezekani daktari wa hospitali akatoa kauli kwa niaba ya hospitali na hivyo akashitakiwa daktari?
Hujaona hii video mkuu?
Wamesema kabisa "mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, aliyekuwa anamtibu Membe".Huyo ni mkurugenzi wa hispitali na alizungumza kwa niaba ya hospitali, ashtakiwe huyo. Sio huyo daktari mwingine.
Unachanganya, kuna huyu mzee na kuna daktari mwingine kijana anaetishiwa kushtakiwaWamesema kabisa "mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, aliyekuwa anamtibu Membe".
Mimi namuongelea huyu Mzee aliyetoa habari za Membe bila idhini ya familia, kwa nini kafanya hivyo?Unachanganya, kuna huyu mzee na kuna daktari mwingine kijana anaetishiwa kushtakiwa