Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ni kweli, pia tunawashobokea sana wazungu.Kimsingi ngozi nyeusi tunadharaurika sana.
Kabisa kakaKimsingi ngozi nyeusi tunadharaurika sana.
Subiri wagalatia waje wakupe sifa nzuri za wazunguNi kweli, pia tunawashobokea sana wazungu.
Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tarajiwa tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.Subiri wagalatia waje wakupe sifa nzuri za wazungu
Ubaguzi ni tabia ya mtu binafisi sio tabia ya jamii flaniSubiri wagalatia waje wakupe sifa nzuri za wazungu
Naunga mkono hojaUbaguzi ni tabia ya mtu binafisi sio tabia ya jamii flani
Sio wazungu tu, tunawashobokea mpaka Waarabu.Ni kweli, pia tunawashobokea sana wazungu.
Haya maneno waambie wagalatia wenzio wanaoona mzungu ndio kila kitu na mwarabu ndie mbaguziKila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.
Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.
Leo ndio mnayasema haya?Ubaguzi ni tabia ya mtu binafisi sio tabia ya jamii flani
Naunga mkono hojaHaya maneno waambie wagalatia wenzio wanaoona mzungu ndio kila kitu na mwarabu ndie mbaguzi
ulitaka niseme lini?Leo ndio mnayasema haya?
Siko zote ambazo ikitokea mwarabu kafanya ubaguziulitaka niseme lini?
Soma post #18Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.
Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.