Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

No! Wapi nimesema mwarabu ndio mtu? Ninachosema huyo mzungu kawaonyesha wagalatia wa tz kuwa hata wazungu sio watu likija suala la rangi, ni wabaguzi kama waarabu
Hapo sawa,wazungu nao ni vile vile tu.
Wanakuonesha wanakukubali ila deep down ni mashetani sana tu.
 
Mama wa msichana mweusi ambaye hakupewa medali katika sherehe ya michezo ya sarakasi nchini Ireland anasema msamaha aliopokea "hauna maana".

Video iliibuka hivi karibuni ikionyesha madai ya ubaguzi wa rangi ya kijana mweusi akipuuzwa na afisa ambaye alikuwa akigawa medali katika hafla iliyofanyika mjini Dublin mwaka jana.

Mama huyo alisema kuwa kutazama tukio.

View attachment 2769782
Hilo wakati huo ilikuwa "tisho".

Taasisi ya michezo ya viungo -Gymnastics Ireland iliomba msamaha "kwa hasira ambayo iliyosababishwa" na tukio hilo.By BBC
Wazungu hawatakuja kuacha ushenzi wao kamwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu weusi tulitakiwa kuishi kivyetu

Mi naamini waafrica Kuna kitu tulikuja kufanya duniani
Ila kwa sababu Fulani Fulani tumejikuta tunapoteza lengo hivyo kuanza kuiga kwa wenzetu ambao wao lengo la kua hapa duniani wanalijua
Tuna sahau malengo hayo hayafanani
 
Mama wa msichana mweusi ambaye hakupewa medali katika sherehe ya michezo ya sarakasi nchini Ireland anasema msamaha aliopokea "hauna maana".

Video iliibuka hivi karibuni ikionyesha madai ya ubaguzi wa rangi ya kijana mweusi akipuuzwa na afisa ambaye alikuwa akigawa medali katika hafla iliyofanyika mjini Dublin mwaka jana.

Mama huyo alisema kuwa kutazama tukio.

View attachment 2769782
Hilo wakati huo ilikuwa "tisho".

Taasisi ya michezo ya viungo -Gymnastics Ireland iliomba msamaha "kwa hasira ambayo iliyosababishwa" na tukio hilo.By BBC
Weka video
 
Mimi nadhani ifike mahala tuwakomoe hao. Tuongee na waafrika wenzetu warudi kwenye nchi zao za asili na wengine tuwashauri wahamie Uchina, Urusi, India na Uarabuni.
Waafrika wangekubaliana tu kwamba hakuna kwenda Ulaya na Marekani. Waafrika hawajui ushawishi na nguvu yao ilivyo kubwa.
 
Mh hapana aisee ,Kuna ubaguzi mwingine ni jami8 fulani..Kwa mfano Kuna dini mafundisho yake yanawabagua wasio wa Dini Yao....Kuna demu aliwahi niambia amefundishwa kuwa akizini n wa Dini yake msamaha wake ni kwenda kuoga bahari ya pili.Lakini akizini nakafiri Msamaha wake ni mpaka avuke Bahari 7 Ndio akaoge🤭🤭🤭😂😂😂
Huyo demu alishaisoma akili yako akakuona kua kipa katoka ndio maana akacheza na akili yako kwa kukuongopea na wewe ukameza tu.
 
Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.

Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.
Mgaratia umemind🤣
 
Mh hapana aisee ,Kuna ubaguzi mwingine ni jami8 fulani..Kwa mfano Kuna dini mafundisho yake yanawabagua wasio wa Dini Yao....Kuna demu aliwahi niambia amefundishwa kuwa akizini n wa Dini yake msamaha wake ni kwenda kuoga bahari ya pili.Lakini akizini nakafiri Msamaha wake ni mpaka avuke Bahari 7 Ndio akaoge🤭🤭🤭😂😂😂
Mwenyewe niliambiwa hiyo kaka na Malaya mmoja anaejitanda mchana.
Cha ajabu alinitongoza mwenyewe tukalana haswaaaa kisha akaamua akaendelee kuzini na wa dini yake baada ya kuona nimegoma kubadili dini🤣
 
Hawa jamaa hawatupendi kabisa yaani kuishi na sisi huwa wanajikaza tu, kwa masilahi yao.
Mtu mweupe ni mshenzi sana bahati mbaya sisi weusi ndiyo huwa tunajipendekeza kwao.

Viongozi wetu wakionyesha nia ya kujitenga nao tunaanza kuwakatisha tamaa kwamba hatuwezi bila wao lakini ukweli kama tukiamua tunaweza tukapiga hatua japo kwa kuchelewa ila tutafika tu.
 
Kimsingi ngozi nyeusi tunadharaurika sana.
Ni kweli, ila kwa akili za wapuuzi puuzi wanaotuwakilisha huko majuu unategemea hata wewe ungekua ngozi nyeupe usingetudharau?? Wametuacha tujitawale miaka zaidi ya 70 iliyopita lakini hadi leo bado tunaomba msaada wa mbolea na nafaka kutoka kwenye taifa linalopigana vita. Hata hivyo Sikufurahishwa na kitendo alichofanyiwa huyo binti ila ndio hivyo hakuna namna.
 
Mgalatia naona povu limekutoka mpaka umesahau kua hawa wazungu hua mnawaona kama miungu watu,usijisahau sana,comment zako nyingi hua zimekaa kiudini halafu hapa unajaribu kujifanya mtakatifu.
Wewe natafuta namna niwe naku-ignore tu maana kupitia ujinga uliorithishwa unaamini mtu kuandika kitu fulani kumuhusu fulani unayedhani mnafanana itikadi kwake ni chuki kumbe yote ni namna ya ku-refresh uelewa wetu.

Nadhani na naamini nikikupa kazi week hii yote utafute ktk post zangu hapa Jamiiforums unipandishie link hapa ya post yangu hata moja,just one ambayo nimeegemea kumshangilia mtu mweupe huwezi kuileta,hao watu ni tatizo nipo Kariakoo hapa mwaka wa 24 naishi nao awe na dini asiwe na dini wewe mweusi kama humchangii kitu ktk circle yake wewe ni nyani kama wale wanaoishi msituni.

Toa kichwa kwenye box ulimokificha waza nje ya dini utapata faida zaidi.
 
Wewe natafuta namna niwe naku-ignore tu maana kupitia ujinga uliorithishwa unaamini mtu kuandika kitu fulani kumuhusu fulani unayedhani mnafanana itikadi kwake ni chuki kumbe yote ni namna ya ku-refresh uelewa wetu.

Nadhani na naamini nikikupa kazi week hii yote utafute ktk post zangu hapa Jamiiforums unipandishie link hapa ya post yangu hata moja,just one ambayo nimeegemea kumshangilia mtu mweupe huwezi kuileta,hao watu ni tatizo nipo Kariakoo hapa mwaka wa 24 naishi nao awe na dini asiwe na dini wewe mweusi kama humchangii kitu ktk circle yake wewe ni nyani kama wale wanaoishi msituni.

Toa kichwa kwenye box ulimokificha waza nje ya dini utapata faida zaidi.
U can't run from yourself,umeandika gazeti ila huwezi kuubadili ukweli,punguza unafiki,

Hapo ulipoandika kuniambia ''Kupitia ujinga uliorithishwa'' ndio panaelezea jinsi ulivyo,nikikuuliza huo ujinga nimerithishwa na nani? japo najua ulichokilenga,

Wewe ndio unatakiwa kutoka nje ya box,mimi ni mbeba box na sijakutana na ubaguzi wowote ule,toka usingizini,badili mazingira.
 
Ukweli ni kuwa Tunaweza kuwa wamoja katika kuona maovu mengi ya hawa kenge weupe dhidi yetu, Ila likishakuja swala la Ukristo na Uislamu ninyi watu wa dini mnageuka walevi na vipofu kabisa juu yao.
Mko radhi kuuza Umma kwa gharama ya Imani yako, NINYI NI TATIZO KUBWA PIA.
Upo sahihi sana,sikupingi.

Ni kitu nimeki-expirience mimi mwenyewe lakini baada ya kutafakari vizuri na kwa kina nimekuja kugundua kabisa jamii hiyo sina ninachohusiana nayo ktk maisha halisi zaidi nipo na sisi sisi weusi kama wakawa watu wa dini au wasiokuwa na dini ila tunaishi vizuri na salama kuliko kuishi katikati ya jamii hiyo.

Shida hatuamki kwa wingi wetu ni wachache sana tunafunguka ufahamu.
 
Back
Top Bottom