Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Huyo demu alishaisoma akili yako akakuona kua kipa katoka ndio maana akacheza na akili yako kwa kukuongopea na wewe ukameza tu.
Alijiongipea mwenyewe kamaalivyo ongooewa na Mwalimu wake! Mm hayanihusu ,kikubwa alikuwa anajihalqlisha kwangu!
 
Dini hizi ndo zimelaza akili za watu weusi ww jiulize mpaka majina ya kwetu tumeona ni ya kishetani !??Hivi kweli babu zetu walikua na ushetani upi mpaka leo hata majina yao hatutaki kuyatumia ila ya waarabu na wazungu ndo majina safi...mamaaaeee huu upuuzi mkubwa sana.Sasa cha ajabu jitu kutwa nzima linaombea rehema mwarabu na muisraeli lakini hajawahi kuwaombea babu zake rehema hata siku moja wakati hao walipambana sana mpaka leo watu weusi tupo lakini hatuwathamini hio akili sasa itatoka wapi km hatudhamini vya kwetu tu.
 
Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.

Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.
Saint Anno II huko nyuma hawa wazungu walikuwa na ufahamu mbovu kuhusu waafrika, kwani walijua waafrika wametokana na Ham mtoto wa Noah ambaye alilaaniwa na baba yake kama ilivyoandikwa kwenye Biblia Genesis 9:22-29, kutokana na ufahamu huo ndiyo walipata leseni ya kutudharau na kutunyanyasa, laikini kuna wazungu waliyostaarabika na bado wapo wachache wenye fikra za kibaguzi mpaka hii leo.
 
Kwanza huyo Mohammad unayemuabudu alichukia sana weusi, alilinganisha weusi shetani, pia ukizingatia Waarabu walivyo na chuki kwa weusi.
Duuuh! Tafuta kwenye uislam mtu anaetwa Bilal alikuwa ni nani kwa mtume na alikuwa mweusi ama mweupe. Hao wazungu mnaowaabudu ndio hao wanatubagua magiza
 
U can't run from yourself,umeandika gazeti ila huwezi kuubadili ukweli,punguza unafiki,

Hapo ulipoandika kuniambia ''Kupitia ujinga uliorithishwa'' ndio panaelezea jinsi ulivyo,nikikuuliza huo ujinga nimerithishwa na nani? japo najua ulichokilenga,

Wewe ndio unatakiwa kutoka nje ya box,mimi ni mbeba box na sijakutana na ubaguzi wowote ule,toka usingizini,badili mazingira.
Nakutaka sasa wewe uubadili uwongo wangu kuwa ukweli kwako nipe hapa ushahidi wa mimi kumtetea mzungu,mchina,muhindi,mexican etc walipomfanyia ubaya mweusi mwenzangu(muarabu simtaji najua mindset yako inaamini ndiye peke yake nipo against nae).

Nasisitiza wa kutoka nje ya box ni wewe na kazi yenyewe umejipambanua kama mbeba box upo uwezekano ukitua box chini akili unaziacha humo.
 
Saint Anno II huko nyuma hawa wazungu walikuwa na ufahamu mbovu kuhusu waafrika, kwani walijua waafrika wametokana na Ham mtoto wa Noah ambaye alilaaniwa na baba yake kama ilivyoandikwa kwenye Biblia Genesis 9:22-29, kutokana na ufahamu huo ndiyo walipata leseni ya kutudharau na kutunyanyasa, laikini kuna wazungu waliyostaarabika na bado wapo wachache wenye fikra za kibaguzi mpaka hii leo.
Akili yangu inaniambia hao weupe wote hawatupendi sisi weusi,wanatupenda pale tu tuna kitu cha kuwa-offer kwenye muingiliano nao nje ya hapo hamna kitu.

Nikisema weupe jumlisha wote,wachina hao wazungu waarabu wahindi in short wote weupe ondoa albinism
 
Duuuh! Tafuta kwenye uislam mtu anaetwa Bilal alikuwa ni nani kwa mtume na alikuwa mweusi ama mweupe. Hao wazungu mnaowaabudu ndio hao wanatubagua magiza

Moha hated blacks

Narrated 'Abdullah: The Prophet said, "I saw (in a dream) a black woman with unkempt hair going out of Medina and settling at Mahai'a, i.e., Al-Juhfa. I interpreted that as a symbol of epidemic of Medina being transferred to that place (Al-Juhfa)."

Sahih Bukhari 9:87:161

"I have heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy black man with long flowing hair, Ishaq:243

Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."

Sahih Bukhari 9:89:256

In another Hadith, Mohammed is quoted as saying that Blacks are, "pug-nosed slaves". (Sahih Moslem vol. 9 pages 46 and 47).

However Arabs had negative perception of Turks and Kurds also

This is not the only example of Muhammad using negative physical descriptors for non-Arabs. He describes Turks “as if their eyes are the pupils of locusts and as if their faces are hammered shields” or “shields coated with leather.” (Bukhari 2928, Ibn Majah 4099)

Muhammad’s Arab bias is also found in his preference for freeing Arab slaves. While blacks were obviously disproportionately enslaved compared to Arabs in 7th century Arabia (including by Muhammad himself), Muhammad nevertheless highlights in multiple hadiths the superiority of freeing Arabs. (Bukhari 2543, Abu Dawud 5077, note that the term “descendant of Ishmael” means an Arab)
 
Mama wa msichana mweusi ambaye hakupewa medali katika sherehe ya michezo ya sarakasi nchini Ireland anasema msamaha aliopokea "hauna maana".

Video iliibuka hivi karibuni ikionyesha madai ya ubaguzi wa rangi ya kijana mweusi akipuuzwa na afisa ambaye alikuwa akigawa medali katika hafla iliyofanyika mjini Dublin mwaka jana.

Mama huyo alisema kuwa kutazama tukio.

View attachment 2769782
Hilo wakati huo ilikuwa "tisho".

Taasisi ya michezo ya viungo -Gymnastics Ireland iliomba msamaha "kwa hasira ambayo iliyosababishwa" na tukio hilo.

By BBC
Ireland kwenda kuishi mwafrika ni kujitakiwa kubaguliw tu ni nchi yenye umimi mwingi na wanajijali wao sana...
 
Nakutaka sasa wewe uubadili uwongo wangu kuwa ukweli kwako nipe hapa ushahidi wa mimi kumtetea mzungu,mchina,muhindi,mexican etc walipomfanyia ubaya mweusi mwenzangu(muarabu simtaji najua mindset yako inaamini ndiye peke yake nipo against nae).

Nasisitiza wa kutoka nje ya box ni wewe na kazi yenyewe umejipambanua kama mbeba box upo uwezekano ukitua box chini akili unaziacha humo.
Jibu swali nililokuuliza post #58 acha porojo,

Ukisikia kubeba box unafikiri ni kubeba box kichwani sio? upo nyuma sana ya muda,
Jibu swali kisha uliza swali.
 
Jibu swali nililokuuliza post #58 acha porojo,

Ukisikia kubeba box unafikiri ni kubeba box kichwani sio? upo nyuma sana ya muda,
Jibu swali kisha uliza swali.
Post #58 haina swali ila kuna swali umejiuliza na kujijibu mwenyewe.

Chochote unachokifanya kwa jina la kubeba iwe ni maarifa kichwani au kubeba mzigo mabegani au kwenye makalio hicho hicho ndiyo kinaichukua akili yako kwa % kubwa.
 
Mbulaa huyo mzunguu anaweza kumuwekea mwafrika sumuu afeee
 
Wewe Kenge muovu mwenye chili kubwa,wangekua Waarabu ungeshaanza kejeli kwa uislamu hapa unajizima data hautukani Ugalatia.

Nimetoa generization,ngozi nyeupe wote wanatuona ngozi nyeusi kama manyani.
 
Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.

Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.
Huyo angefanya Muarabu huu uzi Wagalatia wengi haswa ambao wenye akili finyu wangeuchukia katika mtazamo wa kidini na kuanza kejeli ,matusi ,dhihaka na maneno ya hovyo dhidi ya Uislamu.

Kiufupi kunaGenge la Wagatia humu wana akili finyu na mitizamo ya hovyo sana ,na chuki zao za kijinga ndizo ambazo zimetufikisha stage hii ya kuanza kushambuliana kipuuzi wenyewe .
 
Nimetoa generization,ngozi nyeupe wote wanatuona ngozi nyeusi kama manyani.
Wamefanya Wazungu ingependeza vilevile kutoa generalization kuwa Bible ndivyo inaelekea hivyo na Ukiristo ni dini ya hovyo sana kama ambavyo ungefanya na unavyofanya inapokuwa kwa Waarabu.

Fanya uadilifu katika hilo .
 
Akili yangu inaniambia hao weupe wote hawatupendi sisi weusi,wanatupenda pale tu tuna kitu cha kuwa-offer kwenye muingiliano nao nje ya hapo hamna kitu.

Nikisema weupe jumlisha wote,wachina hao wazungu waarabu wahindi in short wote weupe ondoa albinism
Sisi sote wanadamu tuna tabia ya ubaguzi kwa asili ya ubinadamu wetu, hata sisi waafrika huwa tunabaguana kutokana na makabila yetu, ukanda wetu, imani zetu n.k. Lakini ubaguzi mbaya ni ule ambao unamuathiri mbaguliwa uhuru wake, uchumi wake na saikolojia yake. Kikitokea chama kinapinga ubaguzi kwa maneno na vitendo hicho ni chama sahihi, ikitokea imani inapinga ubaguzi kwa maneno na vitendo hiyo ni imani sahihi.
Akitokea mtu anapinga ubaguzi kwa maneno na vitendo huyo ni mtu sahihi.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-10-02 at 10.28.54.mp4
    31 MB
Ubagizi ni nature ya binaadamu afu kwanza kwann mnalazimisha mtu mweusi asaminiwe kwa wazungi si aje kwao kenya au ghana aje athaminike

Ubaguzi saiv imekua ni siasa tena siasa za wajinga ata sisi wenyewe watu weusi tunabaguana sudan na morocco hawataki kiutwa watu weusi ukienda kule south africa weusi kwa weusi tunachomana visu na kuuwana wenyewe kwa wenyewe ukienda kenya jaguar aliwai kukaliliwa akibagua watz

Waafrika tuache kutumika km kondomu kunasema wazungu ni wabaguzi ila tukipata chance ya kuchagua pa kwenda kunaenda lwa wazungu mbona atuchagui wachina ambao kla sku tunawasifia

Lep waafrika tunafia majini wengne wanafia angani wakijificha kwenye tairi za ndege ili waende ulaya

Ubaguzi upo utakuepo na utaendelea kuepo ad sku Mungu akirudi ata sisi weusi sku uchumi wetu ukikuta tutawabagua watu weusi kwaiyo kla mtu atumie nafas yake kwa mda wake
 
Back
Top Bottom